Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
madhara ya wese kibaba.. lazima ucheze na taaa paka ukomeLita 10 Kimara hadi Kariakoo?
Kwamba ukiweka wese la 25,000tsh hivi halitoshi safari ya Kimara<>Kariakoo<>Kimara
Hili ndio solution ya kukwepa kataaa.. ila kibaba lazima uone mateso kabisa.. ajipinde ajaze full tank.. inakuwa ikifika karibia na nusu anatupiaUkiweka mafuta ya kidumu kwenye gari zenye engine kubwa lazima ulie. Hapo ajipinde ajaze full tank then yakipungua kidogo anaongeza juu kwa juu.
Hahahahah wese la kibaba ni noma kweli yani😅Hili ndio solution ya kukwepa kataaa.. ila kibaba lazima uone mateso kabisa.. ajipinde ajaze full tank.. inakuwa ikifika karibia na nusu anatupia
Hakikisha mfumo wa uchomaji uko sawa, safisha nozzle, badili spark plugs, safisha MAF sensor, Throttle body na cheki Air Filter kama bado iko makini. Likiendelea kula na hapo jua ni jini hilo lazma upate mganga toka pemba tulitoe chapu😅Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Linakutia aibu kabisaaHahahahah wese la kibaba ni noma kweli yani😅
Gari raha itembelee mswaki mpk half-tankLinakutia aibu kabisaa
MahabaJini
eeeh! ikifia nusu tu unajazaGari raha itembelee mswaki mpk half-tank
Mpaka Pump Ife Ndiyo Akili Itakaa SawaGari raha itembelee mswaki mpk half-tank
😅😅😅😅😅😅 atajiongezaMpaka Pump Ife Ndiyo Akili Itakaa Sawa
Eeh mkuu ndio burudani ya gari bana sio unatembelea kitaa jau sanaeeeh! ikifia nusu tu unajaza
Pole mkuuNilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934