Najuta kumiliki Harrier 2990cc (Petrol)

Najuta kumiliki Harrier 2990cc (Petrol)

Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.

View attachment 2124934
nyani.jpg
 
Toka Posta mpaka Mlandizi ni km 40+

Manake lita 10 za gari yako zingetosha kufika kama ingekuwa inakula 1l/4km.

Toka kimara mpaka kkoo ni kama 20km. Manake kwa lita 10 zako inatumia 1l/2km?

Kwamba VXR yenye 5.7l inakula mafuta vizuri kuliko harrier yako yenye 3l?

Something must be wrong, unless unakuza mambo.
Duuh mpaka nimeogopa mkuu hii chuma ya huyo mwamba itakuwa na tatizo kwakweli labda Kama maelezo hayajanyooka.
 
Kafanye service gari inachomaje lita 10 per single trip ya kilometers ambazo hazizidi hata 40km
 
Toka Posta mpaka Mlandizi ni km 40+

Manake lita 10 za gari yako zingetosha kufika kama ingekuwa inakula 1l/4km.

Toka kimara mpaka kkoo ni kama 20km. Manake kwa lita 10 zako inatumia 1l/2km?

Kwamba VXR yenye 5.7l inakula mafuta vizuri kuliko harrier yako yenye 3l?

Something must be wrong, unless unakuza mambo.
labda kuna shida...

Me nimeshatembea na Harrier 40+ Km huku taa ya mafuta inawaka.

Japo ilikuwa ni Haarier ya Cc2360

Af Kimara mwisho mpaka Kkoo hazifiki hata 15Km
 
Tatizo la wamiliki wengi wa toyota wanadanganywa na kale kaneno VVTi......

Variable Valve Timing with Intelligence.....
Hako kaneno intelligence kamekaa kinafiki sana...na ndipo watu wanapigwa hapa...kwamba inabana mafuta.....

Maana siku hizi Brands nyingi zina mfumo wa VVT.....sema kila kampuni wanita kwa jina lake..Toyota wao wameongza Intelligence..[emoji2957][emoji2957]

Mazda wana kamsemo kao, Nissan wana kamsemo kao....Honda wana kamsemo kao....lakini yote ni lugha za biashara tu.....kinacholwngwa hapa Injini nyingi siku hizi zina VVT....ambayo infact ni solenoid ya kucontrol oil kwenye camshaft ili kusaidia Timing za valves katika uingizaji wa mafuta kweny combustion chamber..

Sawa, hatukatai, inasaidia kuwa na ulaji mzuri wa mafuta lakini siyo kama inavyoongelewa huko mtaani..

Mtu nanaweza akaona injini ya cc 3000 imeandikwa VVTi akajifanriji kuwa hiyo injini inakula mafuta vizzuri kuliko injini mfano ya Nissan yenye cc 2000..

Kabla hujanunha gari, omba ushauri kwa watu wenye uelewa, achana na hawa mafundi wa mitaani...wamekariri.......Wanakwambia Toyota yoyote yenye VVTi haili mafuta mengi..[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Nimeku DM mkuu, nimetoa offer ya 12 mil leo leo ukitaka hata saa hii nivunje kibubu
 
Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.

View attachment 2124934
Ili uondokani na tatizo hilo unatakiwa ubadilishe engine na uweke 5s engine,mimi ninayo hiyo tangu nibadilishe engine huu ni mwaka wa tano ipo vizuri sana na fuel consumption iko poa.
 
Back
Top Bottom