Colecole
Senior Member
- Oct 1, 2021
- 144
- 190
Vifaa vyao vinatumika kwa mchanganyiko wa mafutaMasafi nj yanayowekewa jik au?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vifaa vyao vinatumika kwa mchanganyiko wa mafutaMasafi nj yanayowekewa jik au?
Ina Tatizo mbona yangu haili Mafuta kiasi hichoNilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Point of corrections mkuu, Posta mpaka Mlandizi ni 66kmToka Posta mpaka Mlandizi ni km 40+
Manake lita 10 za gari yako zingetosha kufika kama ingekuwa inakula 1l/4km.
Toka kimara mpaka kkoo ni kama 20km. Manake kwa lita 10 zako inatumia 1l/2km?
Kwamba VXR yenye 5.7l inakula mafuta vizuri kuliko harrier yako yenye 3l?
Something must be wrong, unless unakuza mambo.
mkuu vipi kuhusu engine za 3s,huwa ni nzuri kwenye fuel consumptions?vipi uimara wake...Ili uondokani na tatizo hilo unatakiwa ubadilishe engine na uweke 5s engine,mimi ninayo hiyo tangu nibadilishe engine huu ni mwaka wa tano ipo vizuri sana na fuel consumption iko poa.
Nna kigali changu lit 10 naenda 170kmNilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Lina mbio?Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Yup kidebeHahahahah wese la kibaba ni noma kweli yani😅
40km aisee, ile reserve hua ni lita ngapi?labda kuna shida...
Me nimeshatembea na Harrier 40+ Km huku taa ya mafuta inawaka.
Japo ilikuwa ni Haarier ya Cc2360
Af Kimara mwisho mpaka Kkoo hazifiki hata 15Km
10lts40km aisee, ile reserve hua ni lita ngapi?
Mkuu bado ipo?10lts
Bado IPO hiii?Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Umeona uniwahi kiongozi basi malizana naeKama halina tatizo lingine..tumalizane kwa 10mln.
Njoo chumbani.
😀😀😀Kimeumana. Pole ndugu pambana na ndoa ya kikatoliki hiyo. Mkiambiwa acheni kutafuta sifa mnatuona wazushi
Pole sana mkuu,usiuze hiyo gari nafuta mpunga kafunge gesi utaenjoy maisha[emoji3][emoji3][emoji3]