Gesi 2.4m TZSPole sana mkuu,usiuze hiyo gari nafuta mpunga kafunge gesi utaenjoy maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gesi 2.4m TZSPole sana mkuu,usiuze hiyo gari nafuta mpunga kafunge gesi utaenjoy maisha
.Thread 'MADA: Fahamu kuhusu matumizi au ulaji wa mafuta kwenye gari aina ya Toyota harrier 3.0L (2990CC)' MADA: Fahamu kuhusu matumizi au ulaji wa mafuta kwenye gari aina ya Toyota harrier 3.0L (2990CC)
Kwa uzoefu wangu, Toyota huwa wanakuwa na reserve kubwa. Taa inaweza ikawaka huku una lita unazoweza kutumia kama 10 hivi.labda kuna shida...
Me nimeshatembea na Harrier 40+ Km huku taa ya mafuta inawaka.
Japo ilikuwa ni Haarier ya Cc2360
Af Kimara mwisho mpaka Kkoo hazifiki hata 15Km
Kwenye uimara hapo umefika. Fanyia maintenance inavyopaswa tu. Kwenye consumption inategemea na gari. Nilikuwa napata kama 12kmpl kwenye Rav4.mkuu vipi kuhusu engine za 3s,huwa ni nzuri kwenye fuel consumptions?vipi uimara wake...
Lita 10 eti kwenda kkoo taa iwake?Hebu rudia ni lts 10 au mafuta ya 10k.kama ni ya 10k sio mbaya .ila kwako sio size yako.
Hii ni chaiLita 10 Kimara hadi Kariakoo?
Kwamba ukiweka wese la 25,000tsh hivi halitoshi safari ya Kimara<>Kariakoo<>Kimara
Kuna 11m mkuu iachieNilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Full tank lita 45?HYO GARI ITAKUWA NA SHIDA.
MIMI NINAYO NIMEINUNUA LAST YEAR MWEZI WA 6. REG DWE.
ULAJI WA MAFUTA NI WA KAWAIDA TU.
MJINI LITA MOJA KWA KM 9 NA SAFARINI LITA 1 KWA KM 12.5 MBAKA 13.
UKITAKA KUIELEWA GARI YAKO ITUNZE VIZURI IFANYIE SERVICE YA KUTOSHA.
NJOO MOROGORO MJINI HAPA NIKUPE UFANYE TEST KAMA NAKUDANGANYA NARUDISHA FEDHA YAKO.
LITA 46(FULL TANK) NATOKA MORO NAENDA DAR NAZURURA SIKU 5 NDIO NAJAZA TENA MAFUTA KURUDI MOROGORO.
FULSA.
MWENYE CASH ANITAFUTE NIMUUZIE. AU MWENYE GARI YA WATU 7 MBAKA 10 AJE TUFANYE EXCHANGE NATAKA KUINGIA KWA BIASHARA YA USAFIRISHAJI SAIZI.View attachment 2167605View attachment 2167606
fact mkuu.Kwa uzoefu wangu, Toyota huwa wanakuwa na reserve kubwa. Taa inaweza ikawaka huku una lita unazoweza kutumia kama 10 hivi.
Majuto ni mjukuu!Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Mkuu unafutaje gari?Me natafuta gari lakini hili hapana ase!!
Nilishawahi kuwa na harrier ya 65 ltr.capacity ni 50ltr kwa zilizozalishwa na lexus haswa zile za 1998.
ila ukienda sheli ucpoitikisa utapata 46/7 liters.
zipo za liter 65 na 75 pia matoleo ya mbeleni.
Ahahahah..wakati mimi hapo natoka Mkuranga Naingia mbagala huyoo ubungo napitiliza hadi Kibamba karib na mloganzila kule Then Narud Mkuranga 😂😂😂😂😂.Lita 10 Kimara hadi Kariakoo?
Kwamba ukiweka wese la 25,000tsh hivi halitoshi safari ya Kimara<>Kariakoo<>Kimara
[emoji1][emoji1][emoji1]Full tank lita 45?
🤣🤣🤣huu uzi wako umenichekesha sana.Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
🤣🤣🤣🤣Herrier gani inakula mafuta kama jini anakunywa damu.Kimeumana. Pole ndugu pambana na ndoa ya kikatoliki hiyo. Mkiambiwa acheni kutafuta sifa mnatuona wazushi
Kwa magari mengi ya Toyota taa ya low-fuel inawaka mafuta yanapokuwa 6-10l kutegemea na aina ya gari, ila inaonesha wewe ukiona taa imewaka ujumbe unaopata ni kwamba mafuta yote yameisha, kitu ambacho sio kweli, wakati taa inawaka huenda kwenye tank kuna reserve ya 5-7l. ili kupata picha kamili ya ulaji wa mafuta ya gari yako weka mafuta full tank, reset odometer, endesha walau km 100. Jaza tena mafuta full uone zitaingia lita ngapi. Gawanya hizo km/lita zilizoingia upate consumption. Kama wengine wallivyoshauri ni vizuri ku-refuel kila inapokuwa half tank, ila ukitaka hizo lita 10 zote ziwe zinaisha ndipo uongeze mafuta mengine taa ya low-fuel itakuletea stress isiyo ya lazima.Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Hii ina cc ngapiMimi nilinunua Suzuki Jimny.mafuta ya 20000 From Arusha to Marangu mtoni .View attachment 2168415