Najuta kumkaribisha demu wangu JF

kwa mfano wewe ntakutongoza sababu ya urembo wako. forget about ukarimu, waweza japo kunifikiria?

Ha ha aaaah a talented brother hivi bado unapenda kuongelea present kama future?????!!!!!
Hivi simple present ya ntakutongoza ni nakutongoza au nakutongoza sasa?????!!!
 
😕Pole sana kijana.... umesema mlikutania wapi?
 
Hehehe ndio imetoka hio! Na JF ilivyo more addictive then herroine and crack cocaine kaka atahitaji rehab ya nguvu amabayo hakuna East Africa.
Wanawake inabidi kuishi nao kama watoto wadogo! (hivi nani alisema hio statement?)
 
sasa mbona kaishasoma hapa! au ndo ulikuwa unamfikishia ujumbe kiaina?
hiki ndicho alichokuwa anakitaka huyu bwana jeki ili aweze kumfikishia mchumba wake ujumbe kiaina aache kutongozwa na wengine,,,
 
Ha ha aaaah a talented brother hivi bado unapenda kuongelea present kama future?????!!!!!
Hivi simple present ya ntakutongoza ni nakutongoza au nakutongoza sasa?????!!!

Shiii mdogomdogo mpwa, utaniharibia move ujue.
 
ha ha ha ha unampeleka kwenye utamu mwenzio allafu unamwambia asile ..... jiongeze mkuu
 

si bora sasa ushajua kwamba mapenzi anaweza yachakachua hivyo uanze ustaarabu mpya. Mi ningesema nashukuru kumkaribisha.
 
Mwanamke ni waziri Asie na Wizara maalum yeye mtu yoyote twende haijarisha katongozewa wapi...
 
GoodLord above!!
Ni kwanini nina salivate nikiona demu hivi sijui? Kuna mwingine ana weakness hii? Yani mate yanajaa kwa mdomo!
Mi sijui bhana! !!!
Bora wewe yanaishia mdomoni wenzio wanatembea na pads kabisa maana sio salivation ni irrigation!!!!!
Halafu kwa nini unachanganya weakness na strength!!!!!!
 
Reactions: Paw
Mkuu mbona umeniibia swali langu??? Nataka nijue kama nimeshamkagua then ntakuachia huyo jamvi la wageni.

Wewe tena..!
kama hajakaguliwa hahahahaha sijui bahati yake itakuwa mbaya.
 
mkuu mbona umeniibia swali langu??? Nataka nijue kama nimeshamkagua then ntakuachia huyo jamvi la wageni.
kabla jogoo hajawika, nilijua utanikana! Hubby nina hamu nawe, uwahi kurudi leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…