Unamanisha nini kuni mention hapa
Si ushasema ni demu tu sasa kama unataka kujua yaliyomo weka appointment na akija jidai we kama vile umepita hapo kumcheki mshikaji wako one time then muulize anafanya nini hapo!!!????
Usikae sana muage timka yeye akiwepo uone reaction yake then mtumie text kuwa arudi home as umekamilisha zoezi lako!!!!!!!
Halafu fanya yauridhishayo moyo wako sababu ukweli utakuwa nao!!!!!!!
Duh kumbe pm kuna mambo mengi yanendelea ehh!!! Ngoja na mimi nianze michakato.
na wewe Je??Ewaaaaa. Mzima weye?
Ewaaaaa. Mzima weye?
Afanaaleki!!!!!
Kifo hakina breki
Nahusikaje hapa mimi na mademu wa wengine??!
Hahaha chapchap sana...
Hahaha chapchap sana...
hahaaaa
halafu hujanimalizia ile kitu ndo nini kunipa nusu nusu na kuniacha roho juu mtoto wa mwenzio
Jomba fanya uchawi PM ulotuma iji un do..
ile ntaimalizia kwa vitendo. Nimeshanunua godoro jipya.
na wewe Je??
ile ntaimalizia kwa vitendo. Nimeshanunua godoro jipya.
M good..you???!!!