Najuta kumkaribisha demu wangu JF

Najuta kumkaribisha demu wangu JF

Duh kumbe pm kuna mambo mengi yanendelea ehh!!! Ngoja na mimi nianze michakato.
 
Si ushasema ni demu tu sasa kama unataka kujua yaliyomo weka appointment na akija jidai we kama vile umepita hapo kumcheki mshikaji wako one time then muulize anafanya nini hapo!!!????

Usikae sana muage timka yeye akiwepo uone reaction yake then mtumie text kuwa arudi home as umekamilisha zoezi lako!!!!!!!

Halafu fanya yauridhishayo moyo wako sababu ukweli utakuwa nao!!!!!!!

Ewaaaaa. Mzima weye?
 
kwanza kitendo cha yeye kukupa namba yake alaf hakufaham na pia anajijua ana mpenz ni dalili tosha huyo ndio tabia yake kua makini.
 
Back
Top Bottom