Siyo mchochezi per se....labda nikuite mchechemuaji. Mjanja sana wewe aisee!π€£π€£π€£ Hivi ni MCHOCHEZI kwani??
Hili ni trela tu...Bado hujathema[emoji23]
Haya mambo haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Hili ni trela tu...
Atakumbuka mpaka pisi zake za standadi foo maana inavyoonekana huko ndani kwake hakukaliki. Mpaka maji atayaita mma!
π€£π€£π€£ Me napenda watu watoe ya moyoni, sio vizuri kukaa na vinyongo.Siyo mchochezi per se....labda nikuite mchechemuaji. Mjanja sana wewe aisee!
Hiyo LA kwenye jina lako inawakilisha Los Angeles ama? Just curious...
Mjukuu πππππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈHaya mambo haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Acheni tu[emoji16]
Endelea tu na uchechemuaji wako. Huwa nacheka sana nikikukuta pembeni mwa moto watu wanaunguzana we na kidumu chako cha petroli ili tu uhakikishe moto hauzimiki mpaka kieleweke! ππ€£π€£π€£ Me napenda watu watoe ya moyoni, sio vizuri kukaa na vinyongo.
Ndiomana nawachochea wayatapike wagombane yaishe!!!
Umelipenda jina langu? Lina swagger za mamtoni? π Lamomy nitakwambia siku nyingine
Katika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu...
yaani haya mambo yanakatisha tamaa kiasi kwamba unawaza na Mimi siku moja nitakuwa 'muhanga' wa afya ya akili..??Lawama ndoani zimekuwa nyingi
Hivi huwa mnaongea na wapendwa wenu kuhusu magumu ya kuishi nao ama mnatua mizigo mitandaoni?
π€£π€£π€£ Napenda kweli uwe unanitag ukiona sehemu mambo yamepamba moto nije kuwaongezea morali.Endelea tu na uchechemuaji wako. Huwa nacheka sana nikikukuta pembeni mwa moto watu wanaunguzana we na kidumu chako cha petroli ili tu uhakikishe moto hauzimiki mpaka kieleweke! π
Kama upo hapa LA sema bana tujuane kha! πππ
Stress za maisha kawaida ila sitofika kwenye changamoto ya afya ya akiliJamaa nilichobaini ana stress,akili yake inamdanganya mwishowe mental illness..
Ok sawaKatika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.
Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.
Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.
Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Nimekomea hapo babu yangu[emoji16]Mjukuu [emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Ishia hapo hapo please [emoji16]
Mkuu mkeo amekufanya nini tena huko ndoani?Katika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu...