GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,007
- 5,290
DuhhBado hujasema,na utasema tu[emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhhBado hujasema,na utasema tu[emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Kama ulienae pasua kichwa we tafuta njia ya kumshughulikia bwana sio kuanza kukumbuka pisi ambayo hukuridhika nayo.Katika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu...
Hajafanya baya ila naamini yule angekuwa bora zaidi kwani kama nilivyosema ni mshika dini hata utii wake kwangu ungekuwa tofauti na huyu na hicho ni muhimu sana kwa sisi wanaume.Muhimu ni ule ushauri nilotoa wanaume tusiangalie sana muonekano na jinsi tunavyovutiwa na mwanamke kuna zaidi ya hilo tutizame na future ya maisha na familiaMkuu mkeo amekufanya nini tena huko ndoani?
UnderlinedHivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Hajafanya baya ila naamini yule angekuwa bora zaidi kwani kama nilivyosema ni mshika dini hata utii wake kwangu ungekuwa tofauti na huyu na hicho ni muhimu sana kwa sisi wanaume.Muhimu ni ule ushauri nilotoa wanaume tusiangalie sana muonekano na jinsi tunavyovutiwa na mwanamke kuna zaidi ya hilo tutizame na future ya maisha na familia
msifu huyo uliyenae na kama ana dosari pambana kuziondoa,ndio wako mileleKatika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.
Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.
Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.
Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Katika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.
Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.
Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.
Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Sasa ni Bora huyo ambaye moyo wako unampenda maana unamvumilia,Sisi wenyewe mungu anatuvumilia sababu anatupendaKatika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.
Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.
Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.
Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Mkuu, Mungu huwa anatupa wa kufaana na sisi, wale wanaotufaa huwa wako wengi sana, katika hao wengi wewe ulimuona huyo mama wa watoto wako anafaa zaidi hivyo endelea tu mkuu. Najua ndani ya ndoa kuna changamoto sana. Mwaka 2006/2007 wakati naanza kazi huko vijijini sana sina mke sina hata mchumba wazee wenye familia zao walikuwa wanakuja kunieleza matatizo ya familia zao, asee nilikuwa nachoka sana hasa ukizingatia sikuwa na uzoefu wowote wa mambo ya ndoa wakati unaona kabisa mtu kaja na shida yake anategemea useme kitu labda shida yake/ nafsi yake ipate ahueni. Ndoa ni changamoto.Hajafanya baya ila naamini yule angekuwa bora zaidi kwani kama nilivyosema ni mshika dini hata utii wake kwangu ungekuwa tofauti na huyu na hicho ni muhimu sana kwa sisi wanaume.Muhimu ni ule ushauri nilotoa wanaume tusiangalie sana muonekano na jinsi tunavyovutiwa na mwanamke kuna zaidi ya hilo tutizame na future ya maisha na familia
Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.
Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.
yaani haya mambo yanakatisha tamaa kiasi kwamba unawaza na Mimi siku moja nitakuwa 'muhanga' wa afya ya akili..??
Yaani mpaka useme, yaani hapo badoo🤣🤣Bado hujasema,na utasema tu🤣🤣🤭
🥴😉Yaani mpaka useme, yaani hapo badoo🤣🤣
Huyu jamaa anakumbuka kuwa bora angeoa mwanamke ambaye kwao kuna fedha tayari, kuliko alivyooa mwanamke mzuri lakini masikini, anajikuta hapigi hatua kwa haraka!Jambo la kawaida sana kukumbuka mambo yaliyopita kwa kuwa na imani kwamba hali ingekuwa nzuri zaidi ukweli ni kuwa hizo ni imagination tu haimaanishi mngekuwa vizuri.