Najuta kumkataa

Najuta kumkataa

Stop building castles in the air. Your ex would have even been worser than your current wife.
 
Huyu jamaa anakumbuka kuwa bora angeoa mwanamke ambaye kwao kuna fedha tayari, kuliko alivyooa mwanamke mzuri lakini masikini, anajikuta hapigi hatua kwa haraka!
Na hilo ndilo linalomsumbua uchumi wake chechefu kaoa mke mzuri lakini katoka familia masikini haoni dalili ya kuwa na mafanikio makubwa, kama tujuavyo ukioa basi umeoa familia nzima ya ke, mara usaidie hili mara lile, unaoa familia baba mstaafu mama mkwe ni mama wa nyumbani, inabidi muoaji upige tafu kuokoa jahazi la ukweni kila mara.

Ndoa ni zaidi ya uzuri wa sura na umbo.

Nb: wengi wanaoweka criteria za mpenzi awe na sifa hizi na zile ili awe mke/mume huwa wanaangukiaga pabaya mwisho wa siku.
 
Katika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.

Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.

Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.

Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Si kweli......hata huyo ungekuwa nae ungesema heri ungekuwa nae wa sasa. Ridhika na ulichonacho
 
Katika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.

Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.

Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.

Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Umeenda kwa gume gume limekuchuna mpaka akili imekukaa sawa.
 
Katika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.

Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.

Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.

Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Kwa Hali hiyo ndio maana "KATAA NDOA" Wanachukua point Kila siku🤔
 
Katika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.

Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.

Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.

Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Leta picha yake tuconfirm
 
Back
Top Bottom