financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ulipenda big bum, ukasahau maadili na tabia njema, pole ila endelea kupambana na msalaba wako mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hilo ndilo linalomsumbua uchumi wake chechefu kaoa mke mzuri lakini katoka familia masikini haoni dalili ya kuwa na mafanikio makubwa, kama tujuavyo ukioa basi umeoa familia nzima ya ke, mara usaidie hili mara lile, unaoa familia baba mstaafu mama mkwe ni mama wa nyumbani, inabidi muoaji upige tafu kuokoa jahazi la ukweni kila mara.Huyu jamaa anakumbuka kuwa bora angeoa mwanamke ambaye kwao kuna fedha tayari, kuliko alivyooa mwanamke mzuri lakini masikini, anajikuta hapigi hatua kwa haraka!
Si kweli......hata huyo ungekuwa nae ungesema heri ungekuwa nae wa sasa. Ridhika na ulichonachoKatika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.
Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.
Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.
Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Umeenda kwa gume gume limekuchuna mpaka akili imekukaa sawa.Katika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.
Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.
Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.
Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Kwa Hali hiyo ndio maana "KATAA NDOA" Wanachukua point Kila siku🤔Katika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.
Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.
Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.
Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Leta picha yake tuconfirmKatika harakati za kutafuta mke wa kuoa, classmate wangu mmoja ni mwanamke aliniunganisha na mfanyakazi mwenzake ni mwalimu.
Kweli tukapanga nikaenda kuonana nae mchumba mtarajiwa nyumbani kwao kabisa. Kwao maisha mazuri, na mtoto mwenyewe alikuwa ni mshika dini.
Lakini sikuvutiwa na muonekano wake kwa hivyo sikuendelea na mchakato wa kumuoa. Hiyo ni kama miaka 15 iliyopita.
Hivi sasa nina mke na watoto wawili lkn nimemkumbuka yule mchumba naona nilikosea kwani nimejua kuwa mambo ya muonekano kwa mwanamke utaeishi nae kwenye ndoa si muhimu ispokuwa ni akili na awe na tabia njema.
Hiyo ni kweli kabisaNdoa ni zaidi ya uzuri wa sura na umbo.