Naona wamekusema sana mdogo wangu, usijali, Nitakusaidia mimi. Naomba lakini unieleze hapo pekundu ulimaanisha nini hasa...Nilikuwa naye kwa miaka miwili, tukawa tunaona wakati wa likizo, we were making love except sex.! Coz nlikuwa naskia matetesi..doo ni mkali ile mbaya, walikuwa wanamgwaya ndo wakasambaza mastori ya ajabu. Siku moja ikatokea nikampa ,..then nikarudi zangu dsm xcul, nikapata mrembo mwengne ye nikamsahau (nilimtosa infact).! Shida imekuwa kubwa she want again and again, anataka nitangaze ndoa kabisa, mara ya mwisho kuonana naye april 2010. Sijamjibu bado, niko single kwa sasa.
Naona wamekusema sana mdogo wangu, usijali, Nitakusaidia mimi. Naomba lakini unieleze hapo pekundu ulimaanisha nini hasa...
Yaani huelewi utafiki unataka kutunga mashairi ya Bongo Flava, mimi ni mkale ile mbaya, aliyekuambia wewe mkali nani, na umejipima kwa stds zipi kuthibitisha hilo?
hahahahaha, Kutafakari kwa kimatumbi ndio kutafakari vipi tena?nilijaribu kuitafakari kwa kimatumbi lakini sikufanikiwa....hebu atusaidie tujue....
hahahahaha, Kutafakari kwa kimatumbi ndio kutafakari vipi tena?
Nimekusoma...we were not doin' sex, everythng except sex..
Nilikuwa naye kwa miaka miwili, tukawa tunaona wakati wa likizo, we were making love except sex.! Coz nlikuwa naskia matetesi..doo ni mkali ile mbaya, walikuwa wanamgwaya ndo wakasambaza mastori ya ajabu. Siku moja ikatokea nikampa ,..then nikarudi zangu dsm xcul, nikapata mrembo mwengne ye nikamsahau (nilimtosa infact).! Shida imekuwa kubwa she want again and again, anataka nitangaze ndoa kabisa, mara ya mwisho kuonana naye april 2010. Sijamjibu bado, niko single kwa sasa.