Duh!! Mbona unaniogopesha!!Hilo lipo wazi hawezi kukupenda wewe kuliko mwanae maana bondi yenu inaweza vunjika wakati wowote
Naona nikianzisha naye familia mambo yatakua mengi. Ni Bora niutue huu mzigo mapema kabla vitu havijawa vigumumpe mimba
Kitu cha kwanza wanawake kinachowaangamiza ni kujilinganisha na mwanaume,Mwanaume na mwanamke ni viumbe 2 tofauti kuanzia tabia mpaka akili.Mwanaume ana uwezo wa ku control mambo-mwanamke hana uwezo huo.Mtoto yoyote kwa sheria za kidunia na kidini ni wa Mwanaume na sio wa Mama hii ni duniani kote.so,mfano wako hauna mlinganisho sawia.Angekuwa ni mwanamke ameolewa mwanaume mwenye mtoto akawa anapitia changamoto kama hizi ungetoa ushauri mwingine au ndo huu huu both sides?
Nashukuru sana. Vipi wewe kama Mzazi utakubali mwanao akuletee mwanamke mwenye mtoto ikiwa yeye Hana?Acha ufala Kijana, ungekuwa mwanangu ningekugonga ngumi za uso ili akili yako ikawe sawa, badala ya kumshughulikia mkeo apate ujauzito unaleta habari za kijinga. Usitupotezee muda pambana ukishindwa omba msaada kwa marijali wakusaidie.
Samahani kama nimekukwaza ila nimekuambia ukweli mchungu.
A simp is a shame to his friends, parents and ancestorsKila siku anatusanua Kuna neno huwa analitumia ana sema tusiwe masimp
Angalia sasa ndugu yetu ana Lia Lia wakati angemsikiliza Natafuta Ajira haya yote yasinge mkuta
Mimi kuanzia nianze kumsoma huyu jamaa nimekuwa makini sana na hawa single maza
Kichwa Cha habari kimejieleza kabsa Mkuu labda kama hujasoma, umekimbilia kutoa comment.Umeoa au umesogeza?
Kuoa namaanisha kama ulifuata taratibu zote za kisheria.
Kama umeoa, wazazi wako hasa mama aliridhia?
Mkeo ushawahi kumpeleka kwenu?
Mzazi mwenzake wa huyo mtoto unamfahamu?
Wazazi wako walimpokeaje?
Kama ulisogeza ni kitu gani kinakufanya ujute na kuanza kulialia, kwamba umeshindwa kumtema kwa kutumia tu uongo kidogo kabla unyumba wenu haujaota mizizi, hadi utumie ushauri wa watu?
Una umri gani kwani!
Mkuu mada tukiikandamiza maswali hii, naiona eti kama inaelea haina uzito wowote kama puto ama kwa lugha nyingine 'chai jaba'?
Nimeongea naye hivyo amekataa. Nifanyeje hapo sasaHuyo mtoto Hana kosa mkuu usimchukie tafafhari..
Kaa chini na Mama yake akubali mtoto akaishi kwa baba yake kama Bado yupo hai au kwa Bibi.
Mkuu najilazimisha sana kumpenda huyu mtoto lakini nafsi yangu imegoma kabsa. Na sijui nifanyeje.Nikajua labda tatizo ni mawasilino kati ya mkeo na mzazi mwenzake, kumbe ni huyo mtoto! Unatia aibu, mtoto ni malaika, ulivyoamua kumlea mwanzo ulitakiwa kufikiria yote pamoja na huyo mtoto.
Kama mama yake hakusumbui, lea mtoto, ni sadaka unatoa. Huyo mpuuzi aliyeacha damu yake bila kuiangalia wala usimfikirie.
Nakubali mzee endelea kutusanua ndugu yetuA simp is a shame to his friends, parents and ancestors
Utoto unakusumbua,miaka ya 60 kuna mzee alioa mama wa watoto wawili kwa mwanaume mwingine,yule baba wa watoto alienda pwani kutafuta maisha,baba wa kambo alilea kwa miaka kumi hawa watoto mpaka walipochukuliwa na baba yao,huko pwani walisoma,wakawa na maisha, watoto wa baba wa kambo hawakusoma,wale watoto hawakumsahau baba wa kambo,alipougua waligharamia matibabu kwa kuwa watoto wa baba wa kambo hawakuwa na uwezo,alifariki,waligharamia mpaka mazishi,kabla walikua wakimkumbuka kwa mavazi na sukariWanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.
Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.
Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.
Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.
Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Kama moyo haupo Fanya tu maaumiza kila mtu awe huru.Duh!! Mbona unaniogopesha!!
Hakika mwanzo shida haikuwepo, na nilimpenda sana huyu mwanadada shida imekujaa baada ya kuingia kwenye ndoa. Ninafanya kila mbinu ya kumpenda huyu mwanae nimeshindwa kabsa. Nafsi yangu nailazimisha but ndiyo hivyo imegoma.Aisee pole sanaa, kwa jinsi ulivyoandika inaonyesha kama kweli upo SERIOUS.
Kwa kweli hiyo scenario inahitaji moyo sanaa. Mimi nilikubali matokeo nilimpenda mdada mmoja alikuwa ni mwenye kila sifa ya kuwa mke lakini ilinibidi nimuache tuu kwa sababu AKILI ilikuwa inakataa kila nikilazimisha naona hii issue sina misuli ya kulibeba hili Suala. Ila nilimpenda sanaa na kweli alikuwa na heshima! Ila daaah...namlaumu sanaa yule aliyemuacha na mtoto wa kiume. Amemchafua mdada wa watu mzuri tuu! 😪😪😪
Siyo wote wanakua hivyoUtoto unakusumbua,miaka ya 60 kuna mzee alioa mama wa watoto wawili kwa mwanaume mwingine,yule baba wa watoto alienda pwani kutafuta maisha,baba wa kambo alilea kwa miaka kumi hawa watoto mpaka walipochukuliwa na baba yao,huko pwani walisoma,wakawa na maisha, watoto wa baba wa kambo hawakusoma,wale watoto hawakumsahau baba wa kambo,alipougua waligharamia matibabu kwa kuwa watoto wa baba wa kambo hawakuwa na uwezo,alifariki,waligharamia mpaka mazishi,kabla walikua wakimkumbuka kwa mavazi na sukari
Umesema ndio?you have a problem somewhere, unapata wapi mda wa kufukunyua thread ya two years ago? Na huyo niliyemuombea ushauri he was my young Bro.
Mkuu tafadhari stay aside this's serious issue nahitaji msaada zaidi ya hichi unacho fanya.
Unaona shida binadam wa miaka mitatu mpaka 15 kula ugali wako,kumpa malazi,makazi,mavazi!!?.. binaadam mmerudi nyuma sana kiutuSiyo wote wanakua hivyo