Najuta kupoteza muda wangu kuangalia Ujinga uliopo Kwenye series ya money heist

Najuta kupoteza muda wangu kuangalia Ujinga uliopo Kwenye series ya money heist

Mkuu sipendekezi bali nataja zile ambazo mimi nimeziangalia na zikanivutia! Naamini filamu/music is all about personal taste... nilizopenda mimi kwako zinaweza kuwa Upumbavu Mtupu kama mleta mada alivyosema kuhusu Money Heist!

Kwa nilizoangalia, nimezipenda zifuatazo:-

Spy Drama/Series and Related

1. The Americans:-


Kama hujaingilia, basi nitoe kwanza angalizo kabka hujatumia bundle yako!! Hii ni 100% SPY DRAMA with Spies operating in a foreign soil (KGB Spies in the US)!

Na kwavile ni 100% Spy Drama basi usitarajie yale ya 24 or from any action movie coz' that's not how spies operate in foreign country!

All in all, hiyo ndo my favorite Spy Series!

2. Homeland

Na yenyewe ni Spy Series! Hii actions zipo na ukiangalia how CIA now operates in the Middle East huwezi kushangaa kukuta actions though hapo juu nimesema that's not how spies work in a foreign soil work! Sababu kubwa bila shaka maeneo hayo ni unstable lakini kwa nchi kama Iran kwa mfano, there's no way CIA wanaweza kuwa violent kwa sababu hiyo itakuwa ni ku-blow cover yao! Na inapotokea violency basi ni through proxies.

Even in a real world kule ME, CIA wanakaanga mbuyu, wanawapa proxies!

3. The Spys (Mossad)... Is kinda boring lakini sababu ni zile zile ambazo nimetaja kwenye #1 hapo juu... that's how spies in foreign soil work!

4. Strike Back na Seal Team: Hizi nimezeweka pamoja kwa sababu ideas zinafanana! Special Military Unit inapewa mission most likely to a foreign soil, nao wanaenda ku-excute! Hawa ni Elite Soldiers and not pure spies, but huwezi kuwa na mission ng'ambo bila ya kuanza intelligence... for this matter military intelligence! And I hope you know what does soldiers do to their targets!

If it were me, I'd start with Strike Back from British Defence Intelligence Service.

5. S.W.A.T:- As the name suggests, hawa ni kikosi kazi cha LAPD na kazi zao ni kama za hao #4, the only difference wao mission zao ni ndani ya nchi huku ku-deal na district criminals!

6. The Blacklist: Hii sidhani kama inahitaji maelezo manake na yenyewe ni maarufu kama ilivyo 24

7. The Last Ship:- Dunia ilivyokuwa imetaharuki kuhusu COVID-19 ndicho kinatokea kwenye The Last Ship where Admiral Tom Chandler's led team ilikuwa kwenye mission ya kutafuta tiba dhidi ya serious pandemic ambayo ilishaangamiza 80% of world population!

Haikuwa mission rahisi kama kukaa maabara kufanyia utafiti sample hizi na zile, bali ilikuwa ni deadly mission k

8. Alias:- Good stuff to watch; hawa nilipenda sana idea yao ambapo Operatives wa SD-6 kwa muda mrefu waliamini wapo chini ya CIA kumbe ni SD-6 is just a criminal organization! Creator wa Alias ndie Creator wa Lost... kwahiyo kama umewahi kuingalia Lost basi nadhani unaweza kufanya maamuzi ikiwa the same creator anaweza kufanya kazi mzuri!!

9. Tom Clancy's Jack Ryan- Great Stuff to watch! Nilipenda sana pale walipotupia jicho nje ya maeneo yaliyozoeleka kama vile Middle East, Russia and Asia! Kwenye Season 2, walihamia Venezuela na ilikuwa ni bonge season. It's CIA Stuff!

10. Deep State... British Spy/Espionage series

11. Blindspot
: Good stuff too

12. Fauda... Israel Series! Sina shaka unafahamu tunapoitaja Israel mkono wa kulia basi kushoto kuna Palestine

13. Ozark... Bonge la show

14. Killing Eve... Good stuff

Political Drama. Hapa chini ni my favorite Political Drama

1. House of Cards

2. The West Wing

3. The Bodyguard

4. Scandal

5. Designated Survival

6. Ingobernable... Mexican

Crime Drama, and Drugs related

1. Sopranos... Mafia Stuff; one of the best series of all time.

2. Breaking Bad... Season 1 inaweza kukuboa, lakini ukivuka salama season 1, I guess hautajuta unless kama sio taste yako! Sawa na hiyo hapo juu, na yenyewe ni one of the best series of all time.

3. The Wire... Great series

4. Power... nashangaa kidogo watu wanavyoilalamikia Money Heist eti ina sex stuff za kumwaga, sasa Power sijui watasemaje, manake ilifikia hadi aunt yake 50Cents kum-text 50 "what's fvck is that? Why didn't you tell me"!! Shangazi ali-mind kuona dushe la mwanae live!!!

5. Queen of The South

6. Narcos

Legal Drama...

1. Suit

2. The Practice

Everything Else...

1. Empire... Music

2. Grey's Anatomy... Medical

3. The Good Doctor... Medical

4. Shameless... Comedy Drama

5. Silicon Valley... Comedy Drama from tech guys

6. Locked-up... Spanish series! Angalizo ni kwamba, hao waliokuwa locked up ni mademu, kwahiyo don't be surprised utakapokutana na mambo ya usagaji.

7. Orange is a New Black... It's American, but like #6 above.

8. Game of Throne... Fantasy Drama! Kama wewe ni mmishenari, na hupendi kuona tupu za waanadamu zinagusana, then don't watch it kwa sababu ni show inayozungumzia karne hizo ambazo mwanamke alikuwa anaonekana kama chombo tu cha kustarehesha.

Na yenyewe ni one of the greatest shows in history, huku ikiwa imezoa matuzo makubwa lukuki!

9. The Walking Dead... Zombies but great series.
Mkuu Chige ,tuko pamoja kwenye taste ya series.
 
Kwa mara ya Kwanza toka 2009 nilipoanza kuchek series za 24 na prison break nilishamaliza kufananisha na series yeyote duniani nakumbuka mwaka 2010 nilichek pia series moja tamu Sana inatwa traveller,hii movie haikutoka tena na sielew sababu ya kushindwa kuchezwa mpaka leo..

Miaka mingi imepita bila kujichosha akili Yangu Kwa kuangalia UJINGA wa kile kinachoitwa series Kali mpaka mwaka huu nilipoamua kuchek series ya money heist (baada ya watu wengi kuifananisha na prison break na 24 hasa hapa jamiiforum).
Jumamosi iliyopita niliona Bora na Mimi nijiridhishe na hiyo movie kama kawaida nikaanza na season ya Kwanza nikaona holaaa!!! Sioni cha kutumia akili wala nini!! Nikajipa moyo nikamaliza Ila kikubwa nilichokuta ndani ya hiyo movie ni upumbavu na upuuzi tu.

Season 1: jamaa wameingia ndani ya bank na kinachofanyika humo ndani ni mapenzi Tu badala ya kupanga namna ya kuondoka na pesa hawa wezi wanaanza kuchagua kila mmoja na hostage pia kuna mdada mmoja Kwenye hii movie anaitwa Tokyo huyu muda wote anapigwa miti Tu na kusagana(movie imejaa ngono kama porn)

Season 2: huku nako hamna kitu kabisaaa nilishangaa kuona hawa wezi hawana hata mpango wowote wanaofanya ili watoroke zaidizaid ni hizo mishe za kitoto za professor za kumtongoza inspector...
Tukirudi Kwa professor ambae wadau wanamfananisha na jack Bauer au Michael Scofield ni bure kabisa Hana lolote la maana, huyu lofa(professor) kazi yake ni kujifungia ndani Kwenye chumba cha Siri na kupiga simu ndani ya bank na kuwapa mbinu za kutoroka Kwa kifupi Hana tofauti na operator wa tigo .

Season 3 nayo hakuna maajabu zaidi ya Tokyo kutoka ndani ya mint na kwenda nje pia anakamatwa na baadae anafanikiwa kuwatoroka polisi Ila cha ajabu anarudi tena ndani ya bank ili akagongwe miti(ebu fikiria mtu anatoroka polisi chini ya ulinzi mkali lkn baadae anaamua arudi tena ndani akakutane na wenzake badala ya kupanga mipango ya kuwaokoa wenzake akiwa nje)

Season 4: mara baada kufanikiwa kuiba pesa(movie haijatuonesha waliondoka vipi Spain na kukimbilia Caribbean countries Ila tunaona Tu jamaa wapo huko wanakula bata).
Nilishangaa kuona Kwa mara ya Kwanza majambazi ni mashoga kuna kipande kinaoneshwa jamaa wanakula mate(hii movie haifai kuangalia na watoto Hilo ni angalizo hata Kwa wale wenye kuipenda hii movie Yao watakubaliana na Mimi)

Mwisho katika season zote 4 sijaona sehemu yeyote ambayo professor ametumia akili au tukio Fulani ambalo Lina uhalisia hakuna kitu kama hicho, Kwa wale ambayo wanataka kuitafuta hii movie nawasihi haina haja ya kusumbua muda wao... Movie ambayo muda wote Tokyo anapigwa miti itakusaidia nini?

Kuifananisha money heist na 24, traveller na prison break ni dhambi kubwa tena Kwa mtu ambaye asiyejua lolote na mshamba wa movie asifananishe na UJINGA wa professor na akina jack Bauer

wewe wazo lako kama langu, traveller walishindwana kwenye mikataba, ila me nasema PRISON BREAK NOMA SANA
 
Mimi nilimwelewa sana Berlin alivyokuwa smart kwenye kazi yake kuanzia episode ya kwanza.
"First thing, good evening! I start by offering apologize, this is not a good way to end the weekend, but you are here as the hostages. Follow the instruction, then you wil be safe" Sasa anavyoongea hadi unasema kama ujambazi ni taaluma basi huyu kasomea kweli. Mimi binafsi Berlin alivyokufa na mimi nikaacha kuangalia kwa umakini, nikarusha rusha tu.
 
Nilichogundua hapa tatizo lako ni moja tu, mkurugenzi...hujui kingereza,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivyo ukikutana na series ambayo scene nyingi ni drama kuliko action lazima upagawe utaona sio tamu kabisa.
 
Mimi nimeishia ep ya 4
IMG_20200720_033112_461.jpg
 
Mbona hata PB mna i overrate sana ile kitu ya kawaida mno
 
Mkuu sipendekezi bali nataja zile ambazo mimi nimeziangalia na zikanivutia! Naamini filamu/music is all about personal taste... nilizopenda mimi kwako zinaweza kuwa Upumbavu Mtupu kama mleta mada alivyosema kuhusu Money Heist!

Kwa nilizoangalia, nimezipenda zifuatazo:-

Spy Drama/Series and Related

1. The Americans:-


Kama hujaingilia, basi nitoe kwanza angalizo kabka hujatumia bundle yako!! Hii ni 100% SPY DRAMA with Spies operating in a foreign soil (KGB Spies in the US)!

Na kwavile ni 100% Spy Drama basi usitarajie yale ya 24 or from any action movie coz' that's not how spies operate in foreign country!

All in all, hiyo ndo my favorite Spy Series!

2. Homeland

Na yenyewe ni Spy Series! Hii actions zipo na ukiangalia how CIA now operates in the Middle East huwezi kushangaa kukuta actions though hapo juu nimesema that's not how spies work in a foreign soil work! Sababu kubwa bila shaka maeneo hayo ni unstable lakini kwa nchi kama Iran kwa mfano, there's no way CIA wanaweza kuwa violent kwa sababu hiyo itakuwa ni ku-blow cover yao! Na inapotokea violency basi ni through proxies.

Even in a real world kule ME, CIA wanakaanga mbuyu, wanawapa proxies!

3. The Spys (Mossad)... Is kinda boring lakini sababu ni zile zile ambazo nimetaja kwenye #1 hapo juu... that's how spies in foreign soil work!

4. Strike Back na Seal Team: Hizi nimezeweka pamoja kwa sababu ideas zinafanana! Special Military Unit inapewa mission most likely to a foreign soil, nao wanaenda ku-excute! Hawa ni Elite Soldiers and not pure spies, but huwezi kuwa na mission ng'ambo bila ya kuanza intelligence... for this matter military intelligence! And I hope you know what does soldiers do to their targets!

If it were me, I'd start with Strike Back from British Defence Intelligence Service.

5. S.W.A.T:- As the name suggests, hawa ni kikosi kazi cha LAPD na kazi zao ni kama za hao #4, the only difference wao mission zao ni ndani ya nchi huku ku-deal na district criminals!

6. The Blacklist: Hii sidhani kama inahitaji maelezo manake na yenyewe ni maarufu kama ilivyo 24

7. The Last Ship:- Dunia ilivyokuwa imetaharuki kuhusu COVID-19 ndicho kinatokea kwenye The Last Ship where Admiral Tom Chandler's led team ilikuwa kwenye mission ya kutafuta tiba dhidi ya serious pandemic ambayo ilishaangamiza 80% of world population!

Haikuwa mission rahisi kama kukaa maabara kufanyia utafiti sample hizi na zile, bali ilikuwa ni deadly mission k

8. Alias:- Good stuff to watch; hawa nilipenda sana idea yao ambapo Operatives wa SD-6 kwa muda mrefu waliamini wapo chini ya CIA kumbe ni SD-6 is just a criminal organization! Creator wa Alias ndie Creator wa Lost... kwahiyo kama umewahi kuingalia Lost basi nadhani unaweza kufanya maamuzi ikiwa the same creator anaweza kufanya kazi mzuri!!

9. Tom Clancy's Jack Ryan- Great Stuff to watch! Nilipenda sana pale walipotupia jicho nje ya maeneo yaliyozoeleka kama vile Middle East, Russia and Asia! Kwenye Season 2, walihamia Venezuela na ilikuwa ni bonge season. It's CIA Stuff!

10. Deep State... British Spy/Espionage series

11. Blindspot
: Good stuff too

12. Fauda... Israel Series! Sina shaka unafahamu tunapoitaja Israel mkono wa kulia basi kushoto kuna Palestine

13. Ozark... Bonge la show

14. Killing Eve... Good stuff

Political Drama. Hapa chini ni my favorite Political Drama

1. House of Cards

2. The West Wing

3. The Bodyguard

4. Scandal

5. Designated Survival

6. Ingobernable... Mexican

Crime Drama, and Drugs related

1. Sopranos... Mafia Stuff; one of the best series of all time.

2. Breaking Bad... Season 1 inaweza kukuboa, lakini ukivuka salama season 1, I guess hautajuta unless kama sio taste yako! Sawa na hiyo hapo juu, na yenyewe ni one of the best series of all time.

3. The Wire... Great series

4. Power... nashangaa kidogo watu wanavyoilalamikia Money Heist eti ina sex stuff za kumwaga, sasa Power sijui watasemaje, manake ilifikia hadi aunt yake 50Cents kum-text 50 "what's fvck is that? Why didn't you tell me"!! Shangazi ali-mind kuona dushe la mwanae live!!!

5. Queen of The South

6. Narcos

Legal Drama...

1. Suit

2. The Practice

Everything Else...

1. Empire... Music

2. Grey's Anatomy... Medical

3. The Good Doctor... Medical

4. Shameless... Comedy Drama

5. Silicon Valley... Comedy Drama from tech guys

6. Locked-up... Spanish series! Angalizo ni kwamba, hao waliokuwa locked up ni mademu, kwahiyo don't be surprised utakapokutana na mambo ya usagaji.

7. Orange is a New Black... It's American, but like #6 above.

8. Game of Throne... Fantasy Drama! Kama wewe ni mmishenari, na hupendi kuona tupu za waanadamu zinagusana, then don't watch it kwa sababu ni show inayozungumzia karne hizo ambazo mwanamke alikuwa anaonekana kama chombo tu cha kustarehesha.

Na yenyewe ni one of the greatest shows in history, huku ikiwa imezoa matuzo makubwa lukuki!

9. The Walking Dead... Zombies but great series.
Vikings
Billions
Nimeongezea hapo
 
Nilichogundua hapa tatizo lako ni moja tu, mkurugenzi...hujui kingereza,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivyo ukikutana na series ambayo scene nyingi ni drama kuliko action lazima upagawe utaona sio tamu kabisa.
Traveller, prison break na 24 wametumia lugha gani?
Au walikuwa wanaongea kisukuma?
 
Storyline yake sio mbaya. Nadhani shida ipo kwa Director. Wameweka matukio mengi sana yasio make sense. Kuna scene moja ya Tokyo ametoroshwa akakosa muelekeo baada ya kumpigia sana simu professor bila mafanikio. Akili yake ikamtuma arudi kule bank. Yani bank nzima imezungukwa na mapolisi lakini yeye akawapita na pikipiki yake mpaka ndani ya bank bila kuguswa hata na risasi moja. Hii scene ilikua ya kipuuzi sana. Hata ile "plan paris" ya kumtorosha raquel mahakamani ina makosa mengi sana ya kiufundi.

Ofcourse kila movie huwa na goofs, lakini inatakiwa hizo mistakes zisionekane kirahisi na mtazamaji kama zinavyoonekana kwenye money heist. Kwa sababu makosa ya kiuhalisia yakiwa mengi yanapelekea movie kuwa boring. Unaweza angalia series kama the blacklist mpaka season ya 7 usishtukie kosa hata moja. Na ndio kitu kinafanya Hollywood wazidi kuwa juu kwenye production!

Lakini upande wa character selection, money heist wamejitahidi sana. Binafsi, waigizaji bora kwangu kwenye money heist nawapa raquel (yule inspector) na Arturo (aliyekua manager wa bank). The way raquel ana.play emotional scene lazima akuchukue. Na huyu Arturo ameweza sana kufanya watazamaji tumchukie kwa kiherehere chake (ananikumbusha yule king Joffrey wa Game of Throne). Jamaa anajua kuigiza kiherehere mpaka unatamani umpige ngumi kila unapomuona. Hata Berlin ana style nzuri sana ya kuigiza smart, binafsi nadhani yeye ndio angependeza zaidi kuwa professor.

Sijajua kwa upande wako lakini binafsi huwa napendelea zaidi performance kuliko storyline. Yani mimi kuna movie huwa nabaki nazo miaka nenda rudi kwa sababu ya performance ya waigizaji iliyotukuka.

Kama ww ni mpenzi pia wa single movies hata za zamani jaribu kuangalia movie moja hivi inaitwa "the pianist" ya 2002 kuna mwamba humo ndani (jina lake halisi ni Adrien Brody) ameigiza haijapata kutokea. Alishinda mpaka oscar kwa performance yake!

Lakini kuna movie pia ambazo ni fikirishi kama "the hidden figures", 2016 ni nzuri, "beautiful mind", 2000 (hii nayo ina performance moja hivi imesimamia kucha). "Pursuit of Happiness", 2006 na "the banker", 2020

Kwa upande wa spain kuna jamaa mmoja hivi anaitwa Javier Bardem, huyu mwamba naye ni bingwa wa kuigiza jaribu kuangalia movie yake ya "Loving Pablo", 2017 utamkubali.

Kama hujawahi kuangalia movie yoyote kati ya hizo hapo juu, jaribu kuzitafuta..watu wameigiza vizuri sana humo ndani!
Asante mkuu Kwa kunijuza nitajitahid kuzitafuta hizo movie ni muda mrefu Sana huwa nachek single movie tu.
 
Storyline yake sio mbaya. Nadhani shida ipo kwa Director. Wameweka matukio mengi sana yasio make sense. Kuna scene moja ya Tokyo ametoroshwa akakosa muelekeo baada ya kumpigia sana simu professor bila mafanikio. Akili yake ikamtuma arudi kule bank. Yani bank nzima imezungukwa na mapolisi lakini yeye akawapita na pikipiki yake mpaka ndani ya bank bila kuguswa hata na risasi moja. Hii scene ilikua ya kipuuzi sana. Hata ile "plan paris" ya kumtorosha raquel mahakamani ina makosa mengi sana ya kiufundi.
Mkuu Laskaboza, kwamba Money Heist ina scenes nyingi za hovyo nakubaliana na wewe!!

Ukijiuliza lile swali la msingi katika utengenezaji filamu kwamba "hivi hii scene ingekuwa ni kwenye real world, ningefanya kama alivyoona Mwandishi?" Ukijiuliza hilo swali, utakuta Money Heist ina scenes nyingi ambazo hazi-make sense in a real world.

Kinyume chake, hiyo scene uliyoitolea mfano, kajaribu kuiangalia tena na utaona ina-make sense! Unfortunately sikumbuki ilikuwa episode ipi lakini naikumbuka ile scene!

Mosi, Tokyo hakutokea eneo la tukio kama Tokyo basi alikuwa ameji-impersonate as a Police Officer in a police uniform huku kichwa chote kikiwa kimefunikwa na bike protective gear.

Na wakati anaingia eneo la tukio, team mzima ya mapolisi ilikuwa ndani ya hema lakini polisi mmoja aliyekuwa nje, akawa amem-suspect Tokyo lakini hakuwa na uhakika kwa sababu alikuwa kichwa chote kipo kwenye protective gear!

Afande alipoanza kum-suspect Tokyo, akajaribu kutaka kumsimamisha... Tokyo akaona isiwe taabu, akakanyaga mafuta! Baada ya kukanyaga mafuta, ndipo yule afande akapata uhakika kwamba "huyu ni intruder" lakini nae wala hakufahamu kwamba ni Tokyo kwa sababu wakati anapiga radio call, alisema "...another unauthorized vehicle is entering the perimiter" wakati ile ilikuwa ni "no-pass zone" for unathorized vehicles.

Na kama ujuavyo mambo ya kijeshi... you can't just shoot kwa kitu usichokifahamu bila order ya kufanya hivyo! Lucky for Tokyo, hadi Snipers wanapata "a shoot order" ilishakuwa kind of too late (though it's within seconds) coz' tayari Tokyo alikuwa close to gate!

Na mbali ya Sniper Team, pale chini kulikuwa na team nyingine wakisubiri order! A moment wanapewa order kwamba " a target is in your range" hapo hapo wakaanza ku-shoot toward a high speeding bike!

Lakini sekunde chache baadae, wakajikuta wanashambuliwa kutoka nyuma na Tokyo's Team ambao walikuwa wameshafungua gate na kuwafyatulia risasi jamaa kama namna ya ku-divert attention yao, na walifanikiwa kwa sababu wakalazimika kugeuka kutupiana risasi na wale waliokuwa ndani wakiwashambulia wao!!

Na ukiangalia hata yule Team Leader wakati anatoa order to shoot, nae wala hakuwa na uhakika kwamba ni Tokyo... it's just a military intuition kwamba atakuwa " a daughter's mother"!

So, kwangu ile scene naona kama ina hitilafu, basi itilafu zake ni za kifilamu zaidi kuliko illogical errors!
 
Storyline yake sio mbaya. Nadhani shida ipo kwa Director. Wameweka matukio mengi sana yasio make sense. Kuna scene moja ya Tokyo ametoroshwa akakosa muelekeo baada ya kumpigia sana simu professor bila mafanikio. Akili yake ikamtuma arudi kule bank. Yani bank nzima imezungukwa na mapolisi lakini yeye akawapita na pikipiki yake mpaka ndani ya bank bila kuguswa hata na risasi moja. Hii scene ilikua ya kipuuzi sana. Hata ile "plan paris" ya kumtorosha raquel mahakamani ina makosa mengi sana ya kiufundi.

Ofcourse kila movie huwa na goofs, lakini inatakiwa hizo mistakes zisionekane kirahisi na mtazamaji kama zinavyoonekana kwenye money heist. Kwa sababu makosa ya kiuhalisia yakiwa mengi yanapelekea movie kuwa boring. Unaweza angalia series kama the blacklist mpaka season ya 7 usishtukie kosa hata moja. Na ndio kitu kinafanya Hollywood wazidi kuwa juu kwenye production!

Lakini upande wa character selection, money heist wamejitahidi sana. Binafsi, waigizaji bora kwangu kwenye money heist nawapa raquel (yule inspector) na Arturo (aliyekua manager wa bank). The way raquel ana.play emotional scene lazima akuchukue. Na huyu Arturo ameweza sana kufanya watazamaji tumchukie kwa kiherehere chake (ananikumbusha yule king Joffrey wa Game of Throne). Jamaa anajua kuigiza kiherehere mpaka unatamani umpige ngumi kila unapomuona. Hata Berlin ana style nzuri sana ya kuigiza smart, binafsi nadhani yeye ndio angependeza zaidi kuwa professor.

Sijajua kwa upande wako lakini binafsi huwa napendelea zaidi performance kuliko storyline. Yani mimi kuna movie huwa nabaki nazo miaka nenda rudi kwa sababu ya performance ya waigizaji iliyotukuka.

Kama ww ni mpenzi pia wa single movies hata za zamani jaribu kuangalia movie moja hivi inaitwa "the pianist" ya 2002 kuna mwamba humo ndani (jina lake halisi ni Adrien Brody) ameigiza haijapata kutokea. Alishinda mpaka oscar kwa performance yake!

Lakini kuna movie pia ambazo ni fikirishi kama "the hidden figures", 2016 ni nzuri, "beautiful mind", 2000 (hii nayo ina performance moja hivi imesimamia kucha). "Pursuit of Happiness", 2006 na "the banker", 2020

Kwa upande wa spain kuna jamaa mmoja hivi anaitwa Javier Bardem, huyu mwamba naye ni bingwa wa kuigiza jaribu kuangalia movie yake ya "Loving Pablo", 2017 utamkubali.

Kama hujawahi kuangalia movie yoyote kati ya hizo hapo juu, jaribu kuzitafuta..watu wameigiza vizuri sana humo ndani!

Mkuu naheshimu maoni yako lakini nataka nipingane na wewe kidogo
Hizo scene umetolea mfano hembu ziangalie tena kwa utulivu utaona zina make sense
Hadi Tokyo anaingia ndani hakuna mtu alikua anahakika yule ni nani, na kumbuka polisi wote pale attention yao ilikua ndani na sio nje
Kumbuka pia Tokyo aliingia pale akiwa na uniform za polisi na helmet so hakuna mtu alimtambua zaidi ya yule askari aliye suspect kuna polisi kaingia bila utaratibu......so order ya kushoot ilikuja too late wakati lango linafunguliwa

Kuhusu kutoroshwa kwa Requel bado sijaona makosa makubwa kulinganisha na stori za kisinema sinema

Kitu pekee nakubaliana na wewe ni kwamba kuna kitu kina miss ukilinganisha na series za hollywood
Series za Hollywood zimetuharibu mind set zetu
Inakua ni vigumu sana kuanza kuangalia movie au series za kutoka nje ya Hollywood na ukazielewa bila kutoa kasoro

But all in all series ipo poa sana inaangalika
 
Traveller....walitukosea sana kuachana kitu..tangu miaka hiyo hadi Leo jina la Will Traveller halitoki kichwani mwangu.
Money Heist imepoteza mvuto kiasi baada ya watu kuanza kuifananisha na Prison Break tatizo likaanzia hapo.
Angalia tu "Banshee" ni ya muda but inaonekana inakufaa kwa Series ulizo mention hapo zipo 4 seasons mzigo ulishaishaga.
"Banshee" hii series sijui watu hawaijui au ila ni series tamu balaa......ni among ya my favourite series.Ingawa sikupenda jinsi ilivyoisha.
 
Bora niendelee kuiangalia The walking died wanapambana hasa but not money heisty ovyo poor poor poor poor
 
"Banshee" hii series sijui watu hawaijui au ila ni series tamu balaa......ni among ya my favourite series.Ingawa sikupenda jinsi ilivyoisha.
Hata me naona banshee Ni moja Kati ya series yangu Bora kabisa sijui kwanini watu hawaizungumzii?au watu wengi hawajaiona? Pia Kuna into the Badlands nayo Ni nzuri ebu naomba unitajie series inafanana na banshee
 
Kama ndivyo, how come tena anadai miaka mingi imepita bila kujichosha akili yake kwa kuangalia UJINGA wa kile kinachoitwa series?! Alijuaje kwamba series za takribani miaka 10 iliyopita zilikuwa ujinga mtupu wakati alikuwa haziangalii?!

That's one but again, unatoa wapi appetite ya kuangalia episodes 31 ambazo ni upumbavu mtupu?! Huna kazi zingine za kufanya?! Au unaamua kupoteza muda ili ufanye kile alichoamini ni analysis?!

Tunaposoma uandishi wa script tunafundiswa kwamba, the first 10 pages of your scripts are of essence coz' ndizo zita-determine kama Reviewer aendelee kuisoma script yako au aitupe kapuni!!

Kwanini tunaambiwa hivyo?! Kwa sababu there's no way mtu anaweza kusoma 45-120 pages script wakati ni boring script! Kwa maana nyingine, no one will watch the whole episode or the whole feature film wakati ni upumbavu mtupu!

Lakini wakati anataka kuonesha kwamba ni "series za siku hizi" kwa upande mwingine anaonesha sio mtu wa series at all unless kama maelezo yake siyo ya kweli!

Ninachokiona toka kwake ni ile hali ya Wabongo wengi series zao za kwanza kuwa ni Prison Break na 24, na matokeo yake inakuwa ni kama ile simulizi ya Kipofu Kaona Mwezi! Kwao hakuna best series kama PB na 24 !!

Kingine ninachokiona kwa jamaa kuanza kuangalia wakati tayari alishakuwa na perception yake kichwani kwamba PB, 24 na Traveler ndo kila kitu, na series za siku hizi ni upumbavu mtupu!!!

Ni kutokana na hilo, ndo maana mapema tu akatarajia watu wafanye tukio na kusepa zao bila kufahamu jamaa hawakuingia benki ambako tayari kuna noti bali waliingia sehemu ambayo walitakiwa kuchapisha noti!!!

Ameshindwa kuona ni namna gani Stockholm syndrome si kitu cha ajabu kwenye situation kama zile! Fanya homework upate mkasa wa Norrmalmstorg Robbery, jijini Stockholm, mkasa ambao ndio ulizaa the so-called Stockholm syndrome!

Binafsi Money Heist sio my top series,na haipo hata kwenye my Top Ten; na nimeshawahi kuandika humu ni namna gani huwezi kumlinganisha Michael Scofield na Professor coz' Michael is far smarter compared to Professor!

But seriously mtu aliyeangalia Money Heist critically anaweza kusema badala ya kufanya mishe za kuondoka ndo kwanza kunatokea "...mishe za kitoto za professor za kumtongoza inspector." Like serious?! Hivi aliangalia na kuelewa mazingira yaliyomkutanisha Professor na Inspector Raquel?!

Kukosoa kwamba eti movie haioneshi walitoka vp Spain hadi Caribbean inaonesha wazi hana ufahamu wa mambo ya filamu! Ni filamu za wapi hizo zinaonesha kila kitu?!

Kanuni moja wapo ya uandishi wa script ni kwamba, "write a scene that will push a story forward"!

Kuandika scene ikionesha wanaondoka Spain to Caribbean ingekuwa ni wastage of resources coz scene kama hiyo could never push the story forward unless ndani yake waingize additional twisting!

Kinyume chake, angalia scene iliyowakutanisha Professor na Raquel ilivyoweza ku-push story forward lakini yeye ndo kwanza anaponda!!

Unachambua halafu unashangaa mambo ya mapenzi... are you guys serious?! Hivi mmeona ni namna gani mambo ya mapenzi yalivyoweza ku-push story forward?! Kwanza aliyeangalia vizuri atagundua unlike PB ambayo characters walikutana gerezani, Money Heist walikutana uraiani na wakatumia siku kadhaa kupanga mipango!

Ingawaje Prof alikuwa against mahusiano among the Team Members lakini jambo hilo halikuwezekana kwa sababu there's no way unaweza kuweka watu wazima pamoja halafu wasianzishe mahusiano!!

Lakini kile kile ambacho Professor kilimfanye apinge mahusiano, ndivyo ambavyo mahusiano ya Tokyo na Rio yalivyoleta tafurani zilizoweza kufanya story iende mbele! Ni baada ya Tokyo kumwacha Rio kule batani, siku zilizofuata Rio recklessly akampigia simu Tokyo na hivyo kusababisha kuwa tracked!

Akawa tracked na kukamatwa, jambo ambalo lilizaa a new heist ambayo ililenga kwenda kumwokoa Rio!

Ni mapenzi ndiyo yalileta yote hayo!

Ni mapenzi ya Professor kwa Raquel ndiyo yalimfanya Professor apoteze dira baada ya kuhisi Raquel ameuawa!!! Ni mapenzi ya mama kwa mwana ndiyo pia yalisababisha Nairobi kupigwa risasi na kuleta tafurani kundini! Bogota's strong feelings kwa Nairobi ndizo zilimfanya hatimae aondoke kwenye reli na kutumia muda mwingi kumuhudumia Nairobi!

Mleta mada anaisifia PB... anasahau ni mapenzi ya Sarah kwa Michael ndiyo yaliwezesha Michael kutoroka! Ni mapenzi ya Warden Pope kwa mke wake ndiyo yalimpa access Michael ofisi ya Warden!! Ni mapenzi ya Sucre kwa Maricruz ndiyo yalimfanya Sucre ajiunge na mpango wa prison breaking!! Ni mapenzi ya T-Bag kwa Suzan Hollander ndiyo yalithibitisha hakuna mkate mgumu kwenye chai manake na ujanja wake wote ule, kwa mara ya kwanza tukamshuhudia T-Bag analia!!!

Mifano kama hiyo pia ipo mingi hata kwenye 24!

Hapa itoshe tu kusema kwamba, kwenye uandishi kuna kitu kinaitwa kutengeneza conflicts! Mapenzi ni moja ya vyanzo vikuu vya conflicts kwenye literature coz yanafanya watu wawe stupid! Haya yalimkuta hadi Mmatumbi mwenzetu Ngoswe!

Hali ya watu kuwa idiot ndiyo inazaa mikasa na twisting nyingi kwenye uandishi! Lau kama Money Heist isingekuwa na zile vurugu za mapenzi basi kuna hatari story ingekuwa flat, na hatimae kuwa totally boring!!
Chukua pepsi big hapo ntakuja kulipia
 
Mkuu naheshimu maoni yako lakini nataka nipingane na wewe kidogo
Hizo scene umetolea mfano hembu ziangalie tena kwa utulivu utaona zina make sense
Hadi Tokyo anaingia ndani hakuna mtu alikua anahakika yule ni nani, na kumbuka polisi wote pale attention yao ilikua ndani na sio nje
Kumbuka pia Tokyo aliingia pale akiwa na uniform za polisi na helmet so hakuna mtu alimtambua zaidi ya yule askari aliye suspect kuna polisi kaingia bila utaratibu......so order ya kushoot ilikuja too late wakati lango linafunguliwa

Kuhusu kutoroshwa kwa Requel bado sijaona makosa makubwa kulinganisha na stori za kisinema sinema

Kitu pekee nakubaliana na wewe ni kwamba kuna kitu kina miss ukilinganisha na series za hollywood
Series za Hollywood zimetuharibu mind set zetu
Inakua ni vigumu sana kuanza kuangalia movie au series za kutoka nje ya Hollywood na ukazielewa bila kutoa kasoro

But all in all series ipo poa sana inaangalika
Duh, kazi ipo.

Umeeleza vizuri. Nisingependa tuhadithiane Movie humu ndani lakini anyway, acha nijikumbushie enzi zangu pale Kijenge Juu wakati nimewakusanya watoto wa majirani na story zangu za Tai Chi..Lol

Here we go ...

Kwanza Suala la Tokyo kuwaza kurudi Bank anayojua imezungukwa na mapolisi wenye silaha kali ni kitu cha ajabu sana. Sijui waliwaza nini kuipenyeza hii scene. Kama walitaka Tokyo abaki kule ndani bora wangeipotezea tu ile idea ya Berlin kumsukuma Tokyo nje. Japo najua walifanya hivyo ili kuivuta episode iwe ndefu, lakini idea yao ya kumrudisha tokyo ndani imekosa uhalisia fulani.

Mbili, Tokyo alivyofika maeneo ya ile Bank na ile pikipiki aliongea na Rio kwenye simu lakini hakumwambia kuwa anampango wa kurudi kule Bank. Alifanya kama anamuaga tu Rio. Lakini Rio akajiongeza kuwa Tokyo anampango wa kurudi Bank, kitu ambacho kina utata kidgo maana mazungumzo hayakuendana kabisa na suala la yeye kurudi kule Bank. Actually sio rahisi kuwaza kitu kama hicho kama huja.trace hata location ya simu uliyopigiwa. Kumbuka Rio alitoa taarifa kwa wenzake kuwa tokyo anarudi Bank bila hata kumuona Tokyo anashambuliwa na ma polisi kule Nje.

Tatu, mnasema order ya shoot ilichelewa kutolewa. Sio kweli. Tokyo alivyoanza tu kukimbia na pikipiki taarifa ikatolewa saa hiyo hiyo na shooting zikaanza. Snipers walikua kama wa 4 hivi na wakashindwa kumlenga muendesha pikipiki mmoja anayenyooka na barabara kuelekea kwenye lango la bank, achilia mbali shooting za mapolisi wengine. Kitu kingine cha kushangaza tokyo aliwapita mpka baadhi ya policia waliokua kwenye ground pembezoni mwa zile njia za kwenda bank and yet, they failed to do anything na order ilishatolewa. Keep in mind all this happening kabla kina Rio hawajafungua mlango wa Bank na kuanza kum.cover tokyo.

So to cut the story short. Mambo mawili niliona hayana uhalisia.

Moja, wazo la Jambazi wa Bank (Tokyo) aliyeponea chupuchupu kuwekwa jela, kuamua kurudi kwenye bank iliyozungukwa na mapolisi. Hakuna mhalifu anaweza kufanya jambo la kipuuzi kama hili.

Mbili, eneo lililozungukwa na polisi wengi wenye silaha za moto mpaka na snipers zaidi ya mmoja, na kushindwa kumlenga Jambazi (Tokyo) anayekimbia na pikipiki eneo la wazi kabisa. Halafu cha ajabu walifanikiwa kumshoot moscow aliyekua kule juu mbali karibu na mlango wa bank tena akiwa amezungukwa na zile nguzo za bank. This is a Joke!


Nime share link (youtube) ya tukio zima lilivyokua. So watch it ni tukio la dk 2:45 so it won't cost much of your Data.

 
Homeland wengi iliwashinda, na wengine waliachana nayo a moment Sgt Brody aliouawa! Binafsi wakati mwingine huwa naangalia series just for learning... mazombi kwa mfano, hayo akina The Walking Dead, sio mishe zangu kabisa but wakati mwingine nalazimika kuangalia!

Nami kuna season moja sema tu siikumbuki, ilibaki kidogo tu niachane nayo kabla hawajaanza kupita tena kwenye njia zangu!
Kwangu Hom land bado ipo
Poa
 
Duh, kazi ipo.

Umeeleza vizuri. Nisingependa tuhadithiane Movie humu ndani lakini anyway, acha nijikumbushie enzi zangu pale Kijenge Juu wakati nimewakusanya watoto wa mtaani na story zangu za Tai Chi..Lol

Here we go ...

Kwanza Suala la Tokyo kuwaza kurudi Bank anayojua imezungukwa na mapolisi wenye silaha kali ni kitu cha ajabu sana. Sijui waliwaza nini kuipenyeza hii scene. Kama walitaka Tokyo abaki kule ndani bora wangeipotezea tu ile idea ya Berlin kumsukuma Tokyo nje. Japo najua walifanya hivyo ili kuivuta episode iwe ndefu.

Mbili, Tokyo alivyofika maeneo ya ile Bank na ile pikipiki aliongea na Rio kwenye simu lakini hakumwambia kuwa anampango wa kurudi kule Bank. Alifanya kama anamuaga tu Rio. Lakini Rio akajiongeza kuwa Tokyo anampango wa kurudi Bank, kitu ambacho kina utata kidgo maana mazungumzo hayakuendana kabisa na suala la yeye kurudi kule Bank. Actually sio rahisi kuwaza kitu kama hicho. At least basi wangeonesha kuwa Rio ame.trace location ya ile line aliyopigiwa na Tokyo then ndio ahisi kuwa Tokyo ana mpango wa kurudi kule Bank. Kumbuka Rio alitoa taarifa kwa wenzake kuwa tokyo anarudi Bank bila hata kumuona Tokyo anashambuliwa na ma polisi.

Tatu, mnasema order ya shoot ilichelewa kutolewa. Sio kweli. Tokyo alivyoanza tu kukimbia na pikipiki taarifa ikatolewa saa hiyo hiyo na shooting zikaanza. Snipers walikua kama wa 4 hivi na wakashindwa kumlenga muendesha pikipiki mmoja anayenyooka na barabara kuelekea kwenye lango la bank, achilia mbali shooting za mapolisi wengine. Kitu kingine cha kushangaza tokyo aliwapita mpka baadhi ya policia waliokua kwenye ground pembezoni mwa zile njia za kwenda bank. And yet, they failed to do anything na order ilishatolewa. Keep in mind all this happening kabla kina Rio hawajafungua mlango wa Bank na kuanza kum.cover tokyo.

So to cut the story short. Mambo mawili niliona hayana uhalisia.

Moja, wazo la Jambazi wa Bank (Tokyo) aliyeponea chupuchupu kuwekwa jela, kuamua kurudi kwenye bank iliyozungukwa na mapolisi.

Mbili, eneo lililozungukwa na polisi wengi wenye silaha za moto mpaka na snipers zaidi ya mmoja, na kushindwa kumlenga Jambazi (Tokyo) anayekimbia na pikipiki eneo la wazi kabisa. Halafu cha ajabu walifanikiwa kumshoot moscow aliyekua kule juu mbali karibu na mlango wa bank tena akiwa amezungukwa na zile nguzo za bank. This is a Joke!


Nime share link (youtube) ya tukio zima lilivyokua. So watch it ni tukio la dk 2:45 so it won't cost much of your Data.

Huu mjadala hatuwezi fikia muafaka as long as haya ni maoni na mitatzamo yetu tofauti
ITOSHE TU KUSE NAHESHIMU MAWAZO NA MAONI YAKO MKUU
 
Back
Top Bottom