Najuta kupoteza muda wangu kuangalia Ujinga uliopo Kwenye series ya money heist

Najuta kupoteza muda wangu kuangalia Ujinga uliopo Kwenye series ya money heist

nashukuru mkuu,ngoja niitafute hiyo app
Screenshot_20200902-235417.jpg
 
Traveller....walitukosea sana kuachana kitu..tangu miaka hiyo hadi Leo jina la Will Traveller halitoki kichwani mwangu.
Money Heist imepoteza mvuto kiasi baada ya watu kuanza kuifananisha na Prison Break tatizo likaanzia hapo.
Angalia tu "Banshee" ni ya muda but inaonekana inakufaa kwa Series ulizo mention hapo zipo 4 seasons mzigo ulishaishaga.

Yan nnazo zote za S1 0-7 daaah traveller walishindwana mikataba, ila kiukweli list yangu ni hii

1. PB hii haijawah kupata mpinzani
2.24 mzee jack ni noma
3. Ni traveller japokuwa haikuisha ila kina Tyler fog walifanya kazi ya kuibeat hiyo MH,
 
Mkuu achana na hizo kina traveller sijui,yani eti wanafananisha na mashine yenyewe prison break, kuna watu wapuuzi sana

PB ilishashindikana, mambo mengi mule wanasema yalishaga tokea kama db cooper, au sara kusoma kitabu kama kile The big AA book na namna chapter zilivyopangwa nilifuatilia vyote vipo mambo yalipangwa yakapangika sasa me 24 ilivyoanza tu profesor anaenda kumwokota yule demu nikafuta series yote sitak upuuz mimi
 
Hizi nyingi ninezitazama na kuzikubali, The Wire, Sopranos, Breaking Bad, Homeland etc

Ila hii Money Heist Ni rubbish, total rubbish,. Haina uhalisia, inawafanya wale Polisi kuwa incompetent kupita kiasi na yule professor kuwa mtu nwenye6 bahati kupita uhalisia Ni ujinga
Money Heist ipo overrated sana, na ninashangaa sana watu wanapofikia hadi kumlinganisha Professor na Michael Scofield wakati Michael kafanya yote kwa kutumia kichwa 99% huku Professor akisaidiwa sana na tech
 
Ngono nyingi halafu za wazi wazi kama unaangalia porno halafu ni story sana. Angalia Into the badlands (kama umeshaangalia) kisha angalia Wu Assassins kama haujaangalia wu assassins kaitafute. Series kama hizo ndizo napenda.
Naona tumetofautiana kwenye taste honestly napenda series za ngumi zenye story nzuri kuliko zile zenye ngumi mwanzo mwisho no story na banshee imenikamata kweli kweli although kulikuwa na ngono lakini haiondoi ubora wake.
 
Absolutely. Totally waste of time
Binafsi tokea nilivyoangalia season 1 sikuwa na mzuka Tena wa kuangalia season zinazofuata tatizo la hii series Ni Kutaka kuirefusha bila kuwa na matukio ya kuvutia
 
Money Heist Ni rubbish, total rubbish,. Honestly sikumaliza hata season 1 kitu ambacho Ni nadra Sana kwangu

Haina uhalisia, inawafanya wale Polisi kuwa incompetent kupita kiasi na yule professor kuwa mtu nwenye bahati kupita uhalisia Ni ujinga
Sawa
 
Huo ni mtazamo wako, hata hizo wewe unaziziona za maana wengine wanaona ni upuuzi tu. Maisha ndio yako hivyo.
Ni mapenzi tu ya kitu ndio hufanya kila mtu awe na mtazamo wake, Money Heist ni series nzuri tu na huenda main character angekua Michael Scofield angekiri ni series poa, sababu kuna watu mpaka leo wanaamini Michael Scofield ana akili sana wakati ile ni character tu.
 
Breaking bad niliangalia epsode 1 tu ikanishinda. Sipendi series zenye story tu. Nataka za mkono, ngumi, bunduki (muda wote watu wamechafukwa). Money Heist ilinishinda hata kipande kimoja kukimaliza. Lost na The 100 nimeangalia mpaka epsd 5 sijazielewa. Watu bado wapo maporini tu wanazunguka zunguka, hakuna mishe ya kutisha. Wanataka mpaka uangalie mpaka season 3. Series za hivi waangalie wengine
WU ASSASSINS kidogo nimeilewa kama hizo. Muda wote watu wamechafukwa.
Aisee kila mtu ana taste yake Wu Assassins sijaelewa kabisa namkubali sana Iko Uwais ila katika hii series sijamuelewa.
 
Ipo hivi huwezi kufatilia kitu ambacho huna interest nacho. Kama ilikuwa haipo interested umewezaje kuangalia season zote na hiv sasa unasubir inayofata kwa hamu?
 
Breaking bad niliangalia epsode 1 tu ikanishinda. Sipendi series zenye story tu. Nataka za mkono, ngumi, bunduki (muda wote watu wamechafukwa). Money Heist ilinishinda hata kipande kimoja kukimaliza. Lost na The 100 nimeangalia mpaka epsd 5 sijazielewa. Watu bado wapo maporini tu wanazunguka zunguka, hakuna mishe ya kutisha. Wanataka mpaka uangalie mpaka season 3. Series za hivi waangalie wengine
WU ASSASSINS kidogo nimeilewa kama hizo. Muda wote watu wamechafukwa.
Bora hata ungesena into the bad land kuliko wu assasin
 
Movie ikashakuwa na scene za kishoga inanipotezea mvuto kabisa, Karibu kila series siku hizi kuna mende
 
Movie ikashakuwa na scene za kishoga inanipotezea mvuto kabisa, Karibu kila series siku hizi kuna mende
Hii kitu siku hizi ipo kimkakati kabisa ni lazima iwepo. Juzi tu nilikua naangalia series ya South Africa Blood and Water nao pia wameweka
 
Yan nnazo zote za S1 0-7 daaah traveller walishindwana mikataba, ila kiukweli list yangu ni hii

1. PB hii haijawah kupata mpinzani
2.24 mzee jack ni noma
3. Ni traveller japokuwa haikuisha ila kina Tyler fog walifanya kazi ya kuibeat hiyo MH,
Pamoja sana mkuu
 
Back
Top Bottom