Najuta kutembea na binti wa kirangi

Acha Kumloga binti wa watu
 
Kwa michango ya wadau nimeamin kweli zile tafit kwamba Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye waamin wengi wa ushirikina
M1 wapo ni wee, subirii kuumbukaa Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Badala ya kujua namna ya kutatua changamoto zao wao wana kimbilia kwa mganga. Kazi ipo.
 
wazee wa juju shrine.. haya sasa X kishakukamata kwenye Tv asilia.. hebu rudi kilingeni mshirika tujue tunafanyaje!!
 
Kifuatacho aitivii ni hao warangi kuanza kukurushia makombora kupitia waganga wao...
 
Nilikua nasikiliza mahubiri jana,yanasema "kila dhambi unayoifanya lazima iache alama kwenye maisha yako"sasa hapa nawaza tu sijui kuna ukweli...
 
Waganga wa ovyo,,,tena kwa sasa wamejaa hawa wa majini,,bora kidogo wa mizimu sema kwa sasa ni wachache sana,,,,waganga wa majini wepesi sana,,hao kazi ikiwa ngumu atapindisha mambo ila hawez akasema hawezi,,,akute aliekuroga kamzidi nguvu atapindisha, akute aliekuroga ni mwanachama mwenzie kwenye mambo yao atapindisha,,...shida inakuja tena kama kazidiwa utaalam na mwenzie( kuna wachawi wanatumia vivuli vya watu wengine kuroga ili wasionekane, sasa kama huyo mganga sio mtaalam atakua anaona tu watu wasio husika ila mhusika hamuoni na hio ishu yako inaweza ikawa imedondokea hapa, inawezekana mchawi anatokea humohumo kwenye familia yao ila kwakua anakufaham basi anatumia kivuli chako kufanyia mambo yake, sasa hao wakienda kwa wataalam wao wanakuona wewe)
 
Wacha uwoga mkuu wee endelea na mambo yako ya Maisha.

Wanataka kukutoa kwenye mstari na ukiingia kingi tu asee Mzee wangu umepotea.
 
Sipo Arusha Kwa zaidi ya miaka 8 sasa.

Mimi ni wale wasio amin ushirikina na Imani yangu hainiruhusu kupiga ramli
Hupo Arusha, mwanamke ulishaachana naye, umejuaje kuwa mama yake huwa anasema hivyo? Umejuaje kuwa wanakwenda kwa waganga? napeta kero gani wakati uko mbali na tena ni muda mrefu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…