Najuta kuvunja nyumba yangu Ubungo Kibo sababu ya utanuzi wa barabara, ambao hawajabomoa wanakula maisha

Najuta kuvunja nyumba yangu Ubungo Kibo sababu ya utanuzi wa barabara, ambao hawajabomoa wanakula maisha

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Yaani kila nikipita pale Kibo naumia sana tulikuwa na nyumba tatu zilizoungana ambazo moja tukiishi zingine zilikuwa za kibiashara tukaja kubomoa baada ili kupisha barabara eneo ambalo kwasasa wamekuja watu wamevamia na kujenga mabanda ya biashara.

Ukija maneno mengine kama Kona na Baruti kuna watu hawajabomoa maisha yanaendelea kama kawaida sasa hii Sheria sijui ilikuwa ya wachache yaaani Kimara kuna watu hawajaboa Korongwe pia na serikali ipo jamani nchi yetu sote.
 
Back
Top Bottom