Najuta kuwa Mwafrika

Najuta kuwa Mwafrika

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao namna ya kutengeneza sabuni ya maji kwa material ya watu wengine.
Afrika yai la kuku wa kisasa tunadanganyana kuwa linaeneza ushoga, mara linapunguza nguvu za kiume.
Kijana akitaka kwenda kufanya zinaa anakula dona jingi. Ukimuuliza hilo dona linahusika vipi na mfumo wa manii hajui.
Najuta kuwa Mwafrika.
 
Kibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao namna ya kutengeneza sabuni ya maji kwa material ya watu wengine.
Afrika yai la kuku wa kisasa tunadanganyana kuwa linaeneza ushoga, mara linapunguza nguvu za kiume.
Kijana akitaka kwenda kufanya zinaa anakula dona jingi. Ukimuuliza hilo dona linahusika vipi na mfumo wa manii hajui.
Najuta kuwa Mwafrika.
Duh,nafurahi kuwa mwafrika
 
Kama wewe waona hivyo sawa we baki neutral utakufa so miaka mingi na na uafrika wako utapotea relax
 
Kibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao namna ya kutengeneza sabuni ya maji kwa material ya watu wengine.
Afrika yai la kuku wa kisasa tunadanganyana kuwa linaeneza ushoga, mara linapunguza nguvu za kiume.
Kijana akitaka kwenda kufanya zinaa anakula dona jingi. Ukimuuliza hilo dona linahusika vipi na mfumo wa manii hajui.
Najuta kuwa Mwafrika.
maisha ni haya haya kuywa maji mengi ufurahi acha makasiriko utazeeka kabla ya wakati..!
 
Kibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao namna ya kutengeneza sabuni ya maji kwa material ya watu wengine.
Afrika yai la kuku wa kisasa tunadanganyana kuwa linaeneza ushoga, mara linapunguza nguvu za kiume.
Kijana akitaka kwenda kufanya zinaa anakula dona jingi. Ukimuuliza hilo dona linahusika vipi na mfumo wa manii hajui.
Najuta kuwa Mwafrika.
Vipi bado hamjafungua shule tu? Rudisha simu ya shemeji yako,
Code:
 
kuywa maji mengi
Kuna ugonjwa unaitwa water poisoning ukinywa maji mengi yanajaa kwenye mapafu mapafu yakiwa full ndio yanaenda kujaa kwenye cell za ubongo, kunywa maji kwa kiasi glass 1 inatosha sana usinywe maji mengi

Nitaendelea..
 
Once you are born in Africa life is automatically leading you 1-0.

If you are not educated that is 2-0.

If your parents are poor and they don't have money that's 3-0.

If you are dumb and lazy that is 4-0.

At this point you have no option than Hustling like a Donkey....

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao namna ya kutengeneza sabuni ya maji kwa material ya watu wengine.
Afrika yai la kuku wa kisasa tunadanganyana kuwa linaeneza ushoga, mara linapunguza nguvu za kiume.
Kijana akitaka kwenda kufanya zinaa anakula dona jingi. Ukimuuliza hilo dona linahusika vipi na mfumo wa manii hajui.
Najuta kuwa Mwafrika.
Tafuta hela wewee
 
Hamia Marekani ili uwe Black American. Acha kulia lia.

Halafu hakuna aliyekuzuia kula hayo mayai ya kisasa. Hivyo huna sababu ya kulalamika.
 
Kibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao namna ya kutengeneza sabuni ya maji kwa material ya watu wengine.
Afrika yai la kuku wa kisasa tunadanganyana kuwa linaeneza ushoga, mara linapunguza nguvu za kiume.
Kijana akitaka kwenda kufanya zinaa anakula dona jingi. Ukimuuliza hilo dona linahusika vipi na mfumo wa manii hajui.
Najuta kuwa Mwafrika.
Sasa kwanini ulichagua kuzaliwa Afrika? Au haukuwa na akili nzuri
 
Muafrika ananawa mikono bila sabuni kabla ya kula halafu ananawa mikono na sabuni baada ya kula!
 
Muafrika ananawa mikono bila sabuni kabla ya kula halafu ananawa mikono na sabuni baada ya kula!
,zipo sabuni ambazo ni sumu ukinawa kabla ya kula utakua unakula sumu kila siku labda zile sabuni zenyewe za kunawia...
 
Back
Top Bottom