Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Duh,nafurahi kuwa mwafrikaKibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao namna ya kutengeneza sabuni ya maji kwa material ya watu wengine.
Afrika yai la kuku wa kisasa tunadanganyana kuwa linaeneza ushoga, mara linapunguza nguvu za kiume.
Kijana akitaka kwenda kufanya zinaa anakula dona jingi. Ukimuuliza hilo dona linahusika vipi na mfumo wa manii hajui.
Najuta kuwa Mwafrika.
maisha ni haya haya kuywa maji mengi ufurahi acha makasiriko utazeeka kabla ya wakati..!Kibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao namna ya kutengeneza sabuni ya maji kwa material ya watu wengine.
Afrika yai la kuku wa kisasa tunadanganyana kuwa linaeneza ushoga, mara linapunguza nguvu za kiume.
Kijana akitaka kwenda kufanya zinaa anakula dona jingi. Ukimuuliza hilo dona linahusika vipi na mfumo wa manii hajui.
Najuta kuwa Mwafrika.
Vipi bado hamjafungua shule tu? Rudisha simu ya shemeji yako,Kibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao namna ya kutengeneza sabuni ya maji kwa material ya watu wengine.
Afrika yai la kuku wa kisasa tunadanganyana kuwa linaeneza ushoga, mara linapunguza nguvu za kiume.
Kijana akitaka kwenda kufanya zinaa anakula dona jingi. Ukimuuliza hilo dona linahusika vipi na mfumo wa manii hajui.
Najuta kuwa Mwafrika.
Kuna ugonjwa unaitwa water poisoning ukinywa maji mengi yanajaa kwenye mapafu mapafu yakiwa full ndio yanaenda kujaa kwenye cell za ubongo, kunywa maji kwa kiasi glass 1 inatosha sana usinywe maji mengikuywa maji mengi
Mlinzi huyo kuna mlinzi mwenzie wamemkata shingo kahama wapo kwenye maombolezo,Vipi bado hamjafungua shule tu? Rudisha simu ya shemeji yako,
Tafuta hela weweeKibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao namna ya kutengeneza sabuni ya maji kwa material ya watu wengine.
Afrika yai la kuku wa kisasa tunadanganyana kuwa linaeneza ushoga, mara linapunguza nguvu za kiume.
Kijana akitaka kwenda kufanya zinaa anakula dona jingi. Ukimuuliza hilo dona linahusika vipi na mfumo wa manii hajui.
Najuta kuwa Mwafrika.
Sasa kwanini ulichagua kuzaliwa Afrika? Au haukuwa na akili nzuriKibaya zaidi Mwafrika hataki kabisa kukiri kuwa akili zake ni finyu au hana akili kabisa.
Kila mtu hapa Afrika ni daktari, ukiumwa kidogo utasikia kunywa maji mengi. Kula matunda. Ukimuuliza hayo maji yanafanya vipi moa mtu apone hana jibu.
Karne hii bado kuna watu wanawafundisha Waafrika wenzao namna ya kutengeneza sabuni ya maji kwa material ya watu wengine.
Afrika yai la kuku wa kisasa tunadanganyana kuwa linaeneza ushoga, mara linapunguza nguvu za kiume.
Kijana akitaka kwenda kufanya zinaa anakula dona jingi. Ukimuuliza hilo dona linahusika vipi na mfumo wa manii hajui.
Najuta kuwa Mwafrika.
Kwa swali hili nadhani wewe ndie ulifaa utafakari akili yako [emoji2960]Sasa kwanini ulichagua kuzaliwa Afrika? Au haukuwa na akili nzuri
Kumbe wajinga nanyi mna umoja wenu? 🙌🙌Kwa swali hili nadhani wewe ndie ulifaa utafakari akili yako [emoji2960]
Ahahahaha.Cha muhimu subiri ustaafu ukunje hiyo mil 20 kutoka kwa muhindi uende Canada 2037
,zipo sabuni ambazo ni sumu ukinawa kabla ya kula utakua unakula sumu kila siku labda zile sabuni zenyewe za kunawia...Muafrika ananawa mikono bila sabuni kabla ya kula halafu ananawa mikono na sabuni baada ya kula!
,zipo sabuni ambazo ni sumu ukinawa kabla ya kula utakua unakula sumu kila siku labda zile sabuni zenyewe za kunawia...