K kibobori mahoro JF-Expert Member Joined Dec 12, 2022 Posts 7,452 Reaction score 10,785 Apr 2, 2023 #21 Usijute, Mungu kaamua uwe hivyo ili Wazungu wapate watu wa kuonea. Waliokuletea imani zao na ukakubali, Mungu aliamua wewe ni mtu wa ndio tu kwa mzungu.
Usijute, Mungu kaamua uwe hivyo ili Wazungu wapate watu wa kuonea. Waliokuletea imani zao na ukakubali, Mungu aliamua wewe ni mtu wa ndio tu kwa mzungu.
Saidama JF-Expert Member Joined Jun 10, 2022 Posts 598 Reaction score 1,151 Apr 2, 2023 #22 Afrika tumechelewa ila angalau tunaelekea pazuri. Watu wanaanza kua na akili na kuachana na imani na mila potofu ambazo tumeishi nazo kwa miaka mingi
Afrika tumechelewa ila angalau tunaelekea pazuri. Watu wanaanza kua na akili na kuachana na imani na mila potofu ambazo tumeishi nazo kwa miaka mingi
Muccigang JF-Expert Member Joined Apr 9, 2022 Posts 1,313 Reaction score 1,918 Apr 2, 2023 #23 Sema Iyo ishu ya kunywa maji[emoji23][emoji23]