Najuta kuwa Mwafrika

Usijute, Mungu kaamua uwe hivyo ili Wazungu wapate watu wa kuonea. Waliokuletea imani zao na ukakubali, Mungu aliamua wewe ni mtu wa ndio tu kwa mzungu.
 
Afrika tumechelewa ila angalau tunaelekea pazuri. Watu wanaanza kua na akili na kuachana na imani na mila potofu ambazo tumeishi nazo kwa miaka mingi
 
Sema
Iyo ishu ya kunywa maji[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…