Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Mkuu tuwaombee hekima wake zetu, bila mke kuwa na hekima hata uwe Mo Dewji hutoboi.
 
Ila za wanawake sio za kupigia hesabu otherwise ziwe chini yako yaani atoe aweke mezani mjue Cha kufanya Kwa pamoja
Afadhali wew alikushirikisha kununua kiwanja kunawenzio wakezao Wana nyumba Hadi 3 za maana na waume hawajui
Hiyo nzuri kuna wanaume ni wabishi sana, kila kitu yeye ndiye kichwa cha familia ushauri wa mke hataki anapokea ushauri wa marafiki, dawa zao ndiyo hizo hakuna nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vip mzigo anakupa kweli? Kama anakubania na mzigo.. hapo jua kuna njemba inapiga... ashaota mapembe huyo mpandishe cheo awe mke wa kwanza
 
Kumbuka kwamba mkeo ni mama mzazi wa wanao. Wewe shupaza kichwa halafu siku wanao wakikugeuka hauna rangi utaiona.
Hiyo kadi ya watoto ndio JOKER wanalotumia kutulambisha Saba Kisha kwao kwao Wanamaliza mchezo,
 
Ila za wanawake sio za kupigia hesabu otherwise ziwe chini yako yaani atoe aweke mezani mjue Cha kufanya Kwa pamoja
Afadhali wew alikushirikisha kununua kiwanja kunawenzio wakezao Wana nyumba Hadi 3 za maana na waume hawajui
Sasa kama ni hivi si bora usioe
 
Kuoa ni maamuz ya mtu na mke utaeoa wew sio ataeoa mwingine
Sema kama masikini Oa ili usiteseke kutafuta mademu ila kama Cash ipo kama mondo we wapelekee moto tu, make masikini hamna mtakacho gawana
 
Kumbe hata kiwanja huna? Mmmh😂😂😂 ndoa zina mambo mengi. Pole sana mwana jf
 
Ila
na nyie mnaooa wanawake wawili wawili mnanishangazaga sana
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…