Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Enjoy broo! I regret being a man, I survive terribly because of man identity
You gogoz!Have you already taken the staftahi itself?Yearning and longing for being a super "shosti"?Really?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona umekata tamaa mapema au na ww miongoni mwao.polic wa zanzibar
 
Nimewahi ku hustle sana tuu ikiwa Dar,Singida na Dar najua hasa shubiri,Mungu tuu aliingilia kati kupata ahueni..

But with all those miseries siwezi kamwe kutamani kuwa mwanamke..

Ili mwanaume u survive kwenye hardships hizo uwe na matumaini na Nguvu ya Imani Kwa sababu ukifeli hapo ukakata tamaa aisee ndio inaharibika mazima.
 
Mkuu ukipata mtoto wa kiume kwa dunia ya sasa mtengenezee mazingira e.g biashara halafu muweke kwenye mfumo tangu akiwa mdogo hautajuta.
 
Yaani utatamanije kuwa mwanamke?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu ukipata mtoto wa kiume kwa dunia ya sasa mtengenezee mazingira e.g biashara halafu muweke kwenye mfumo tangu akiwa mdogo hautajuta.
Ndo manake Kwa sababu kinyume na hapo ana nafasi kubwa ya kupotea hata kuwa shoga ,Mashoga wanaoliwa licha maisha mazuri ni shida za hormone ila wengi wao wameingia huko kutokana na shuruba za maisha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…