Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Mkuu gonga tano, wengi watakuja kusema ni upinde
 
Mkuu uandishi huu unakosa akisi ya kimaudhui ladha ya lugha yako mtiririko, rythm huna pesa umevaa koti sio lako, wewe ni wa kawaida sana sana, the complaining rythm iko so natural to equate the reality of yours. Money speaks so smooth and straight. 🤣🤣🤣 Sente tewari, utali na mahera , mahera yalaheze
 
Kwa hiyo ulikuwa unataka uwe una pelekewa Motooo!!!

Wewe nahisi kuna nati imekatika kichwani leo....!!!
 
Ndo maana hamuishi mpo wengi kumbe wapenda mserereko, kwa hiyo mnaona wanawake wanafaidi sana ee.
 
View attachment 2564951
Uwe hauna likitambi ujikunje uzame katikati ya hilo paja, Uanaume raha, kuzaliwa mwanaume ni fahari, kwa siku hospitali zote duniani watoto wa kiume wanaozaliwa ni wachache kulinganisha na watoto wa kike,
Tunawaza fursa za maisha mkuuuu sio kuwaza uchafu wa ngono tuu, hujui kilichomfanya Asha migiro kuwa vice secretary wa umoja wa mataifa ni kwasababu ya kuwa mwanamke?
 
Kubali tu Leo umetoa boko, sasa uulizwe jinsia kipindi unazaliwa kwani unakuwa na utambuzi wowote? Unakuwa unatambua ugumu wa kuwa dume na ugumu wa kuwa jike?.

Itoshe tu kusema Leo umetoa boko, kubali yaishe.
Mkuu rudia kusoma, nimesema kabla ya Kuja Duniani tuwe tunaulizwa tunapenda kuwa wanawake au wanaume ila tu huu ufahamu ni non existence lakini hii option imekuwepo ingesaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…