Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Kwahiyo unataman sana kupelekewa Moto? Fala kabisa ww
 
[emoji23][emoji23].

Mimi tokea afungue Uzi anajaribu kujitetea lakini bado simuelewi mpaka sasa.
Badala ya kupuliza ili azime yeye anakaza fuvu ana puliza huku anakokeza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23]

Sasa wewe unatamani kuwa jike halafu uwe pambo? Lazima ukazwe, ngoja tukupe taarifa mapema inaonekana unatamani tu kuwa jike halafu hujui majukumu ya kuwa jike.

Ndugu ukiwa jike inatakiwa uwe mpishi halafu ukimaliza kupika chakula na wewe unaliwa[emoji2]
Umeona, Nani Kasema natamani kua mwanamke ili nikazwe
 
LGBTQ Supporters

Trust me Mwanaume kuwa na haya mawazo its not normal.
Namie nimwambia hivyo sema yeye atatetea akili zake kisa kusaidiana na ke kwenye familia. Wewe me ndiye mwenye familia Kama ke wako anayo kazi iyo Ni just bonus kwenye package ya ndoa yako, atajihudumia atasaidia kwao ukiondoka mapema wanao wataishi life like previously. Anakusaidia kidogo mno yaani mno. Wewe you've to hustle that's what we have born be proud to go to forest hunting and came home with antelope or wild beast in your shoulder. That's the meaning of being real. After that you get food while you brought antelope home
 
Unajuaje jogoo, swala na wanyama wengine hawalalamiki kuwa wanaume, au unaongea nao mkuu, afu hatuwez kufanana so get out of me as soon as you may
 
One man down....
 
aaah leo mpwayungu kapuyanga......... Kama ni pepa hili yani unaanza tu ushakatwa marks 100 zote
 
Tufanye wewe tayari ni mwanamke ,haya utaulizwa chura unayo? Uli upate hivyo unavyo taka.
 
Mkuu umesahau pia ungekuwa mwanamke ungekuwa unapelekewa moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…