Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Jamaa umenishangaza sana kuwa na mawazo kama haya. Hapo umesema ukienda kuomba kazi anapata mwanamke sababu bosi kashakula tayari. Umejiuliza kwanini bosi ni mwanaume na sio mwanamke? Ushawahi kujiuliza kwanini yeye aweze kuwa bosi na wewe ushindwe? Hiyo ilitakiwa kuwa inspiration sio kuwa demotivated. Maana una uwezo na potential ya kufika viwango vyovyote.

Mwanaume nimepewa uwezo wa akili, nguvu za kimwili, uwezo wa kutawala na kuamua nitakalo na special zaidi nimepewa mamlaka juu ya kiumbe cha kike. Uanaume ndio ukamilifu wa kuwa binadamu sababu mwanamke alitoka ubavuni kwangu.
 
Kipindi hicho kitu cha naibu katibu mkuu wa UN ilikuwa lazima kikaliwe na mwanamke, go and read
 
Ndo maana wanaume tumeumbwa kuteseka,tupo tofauti sana nawanawake kwakila idara,mimi napitia msoto sana ila siwezi kutamani kuwa mwanamke hata kidogo
Mimi natamani ila haiwezekani kuwa mwanamke ko acha yaishe tu, tufe tuzikwe fullstop
 
Jikaze kijana acha kulialia akuna uraisi kwenye mafanikio, unalia kuliko wanawake wenyewe[emoji2957]
 
Nenda wewe na demu wako Kariakoo mkaibe simu, halafu utajua kwann wewe uchomwe Moto ila demu wako anapelekwa polisi
 
Umeelewaka mkuu! Unamsaidiaje kijana mtoa uzi kimawazo! Maana hii ngoma ilikua kama kitchen part ya kumuaga huku kiumeni!
 
Nashukuru sana Kwa kuelewa hili Mungu akutunze
 
smartphone wanafuatilia homosexial content kwetu ni siri ila kwao sio siri...
Yaani hizi siwezi kuziangalia Ila za kawaida nacheki. Kuna muda nimebaki hostel Ile likizo ya wiki tatu ivi nikapangwa chumba na shoga ilibidi nihame ujue,Kuna siku nikaomba pc yake, kucheki Kuna picha imeandikwa my diki,Mara my esi,Kuna video za mashemale, halafu alikuwa msafi balaa ilibidi nihame chumba. Yaani mwanaume kuwa mwanamke jamani Ni kinyaa pia Hawa jamaa wazungu Kuna vitu nadhani huwa wanaweka kwenye via huko na baadhi ya vyakula ama vinywaji ili kupunguza homoni za kiume na kuongeza za kike zaidi ili wanawake wasifanyiwe ukatili zaidi. Ndio Mana unaona mababu zetu walikuwa wakali mno Ila siku hizi tunajifanya walaini eti tumeelimika na ndio Mana jitahidi ule chakula natural direct from Shamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…