Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Ndio maana nikakwambia ukiona upendeleo unafanyika kwa mwanamke sababu inaweza kuwa anapewa haki aliyowahi kunyimwa hapo kabla!
Haki ipi wewe, mbona hizo haki ni kwawanawake tu why isiwe nakwawanaume, ivi unaelewa kuwa chuo kikuu wadada wengi wanafaulu nasapp nyingi nizawanaume? Jiulize why sekondari ni vice versa
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Haya ni matamanio ya kishoga kbs,
Ipo siku utaliwa tarko kwa fikra hiz!
 
Sasa mpwayungu village umesema tayari umeshafanikiwa na tayari una pesa. Sasa kwa nini utamani kuwa mwanamke tena [emoji28][emoji28]
Hebu eleweka basi
Kuwa na pesa bado hakuzuii changamoto tunazopitia sisi wanaume, hata mahari tu ukitaka kuoa hatoi mwanamke unatoa wewe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Yamekua hayo tena
 
Kwa comment za Uzi huu nimegundua vitu kadhaa

1. Tatizo la afya ya akili litatuua sana wanaume maana tukieleza changamoto zetu tunaonekana tumelegea, tunataka mteremko, au tunakua mashoga??!;

2. Pia nimegundua wanaume wengi wanawachukulia wanawake kama chombo Cha starehe tu. Yaani 90% ya comment zinasema hawatamani kuzaliwa wanawake sababu tu wangekua wanatumika kitandani??.

Nadhani ifike mahala mtu akiwa na stress za jambo Fulani ajibiwe kama inavyopaswa sio kusema ni shoga au ana shida ya akili n.k kwa style hii wengi watakufa na tai shingoni kwa hofu ya kuonekana hawajikazi wakipitia shida!!

Cc Proved Kalamu
Hatari kweli kweli..
 
Local Andrew Tate lazima ushangae
Jamaa umenishangaza sana kuwa na mawazo kama haya. Hapo umesema ukienda kuomba kazi anapata mwanamke sababu bosi kashakula tayari. Umejiuliza kwanini bosi ni mwanaume na sio mwanamke? Ushawahi kujiuliza kwanini yeye aweze kuwa bosi na wewe ushindwe? Hiyo ilitakiwa kuwa inspiration sio kuwa demotivated. Maana una uwezo na potential ya kufika viwango vyovyote.

Mwanaume nimepewa uwezo wa akili, nguvu za kimwili, uwezo wa kutawala na kuamua utakalo na special zaidi nimepewa mamlaka juu ya kiumbe cha kike. Uanaume ndio ukamilifu wa kuwa binadamu sababu mwanamke alitoka ubavuni kwangu.
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]

Daaah katika kitu sijawai kujuta niku zaliwa wakiume na nina mshukuru mungu kwa hili..... achana kabisa na ayo masazo yakuwa msichana narudia wacha kabisa aisee
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
"...wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake"
[emoji115][emoji115][emoji115]
We' matakle nini? Ulilazimishwa? Mq#nd wewe
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Daah! [emoji848] Bado naendelea kutafakari
Yaani unatamani kuwa mwanamke kabisaaa [emoji15]
Loh! Najaribu kukufikiria mbali kidogo! Yaani saizi ungekuwa kwenye Bodaboda unapelekwa kw3nye nyumba fulani hivi lijamaa limoja limekupakia mkongo linakusubiri ulikatikie[emoji24][emoji24] [emoji2297]
 
Nani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini

Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
Acha udwanzi. Akiolewa si ni yeye kwani wewe?! Mwenyewe natamernee ningezaliwa mwanamke.
 
Kwa comment za Uzi huu nimegundua vitu kadhaa

1. Tatizo la afya ya akili litatuua sana wanaume maana tukieleza changamoto zetu tunaonekana tumelegea, tunataka mteremko, au tunakua mashoga??!;

2. Pia nimegundua wanaume wengi wanawachukulia wanawake kama chombo Cha starehe tu. Yaani 90% ya comment zinasema hawatamani kuzaliwa wanawake sababu tu wangekua wanatumika kitandani??.

Nadhani ifike mahala mtu akiwa na stress za jambo Fulani ajibiwe kama inavyopaswa sio kusema ni shoga au ana shida ya akili n.k kwa style hii wengi watakufa na tai shingoni kwa hofu ya kuonekana hawajikazi wakipitia shida!!

Cc Proved Kalamu
Wewe hujawajua watu wa humu mtandaoni ni WAJUVI MAFYATU.

Wengi wao ni haya MAKURUMBEMBE yaliyosoma SHULE ZA KATA na SENTI KAJAMBA.

Ni kundi linalowakilisha jamii ambayo inaamini kuwa mwanaume hapaswi kueleza hisia za maumivu au uchungu.

Ndio maana watu wanajinyonga hovyo kwa sababu ya kuhofia kujieleza.

Mtu kasema genuinely kwamba anatamani kuwa mwanamke, lakini cheki comments za hawa WAJUVI UCHWARA.

Kwanza wanawadharau wanawake kwa kiasi kikubwa sana.
 
Back
Top Bottom