marisi schwein
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 1,037
- 3,146
Ngoja ukutane na mwalimu hana madeni uone atakavyokushughulikia huku ukipiga yowe la ukungaMshahara kadi imejaa madeni wakiappload salary ni ndefu kama nyoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja ukutane na mwalimu hana madeni uone atakavyokushughulikia huku ukipiga yowe la ukungaMshahara kadi imejaa madeni wakiappload salary ni ndefu kama nyoka
Kwahiyo unaona bora ungekuwa unapumuliwa kisogoniKama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Mbona mnawaza ngono tu jamani! Ko mwanamke ni ngono tu hakuna kingineDaah! [emoji848] Bado naendelea kutafakari
Yaani unatamani kuwa mwanamke kabisaaa [emoji15]
Loh! Najaribu kukufikiria mbali kidogo! Yaani saizi ungekuwa kwenye Bodaboda unapelekwa kw3nye nyumba fulani hivi lijamaa limoja limekupakia mkongo linakusubiri ulikatikie[emoji24][emoji24] [emoji2297]
Hayupo mwalimu huyoNgoja ukutane na mwalimu hana madeni uone atakavyokushughulikia huku ukipiga yowe la ukunga
Sana [emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe umeonelea sisi tunafaidi sana? Acha mambo yako
Msaidie bana wewe si upo Jada ya afya mwanaume anatamani Kama angezaliwa ke,uwe unamnanihii kweli
Fikra zenu dumafu sanaAre you proud kupigwa mkuyenge na kutawaliwa na mwanaume?
Kwani Kuna ubaya kutoa K?Yaan Mpwayungu anataka awe mwanamke ili mambo yake yawe mepesi, awe anahongwa .
Kwan ukihongwa , siunatoa K?.
Ndio maana tunasema mwanamke ni chombo ya starehe ya Mwanaume, mvuja jshoooo
Kwahiyo kazi ya mwanamke ni kupumuliwa kisogoni tu?Kwahiyo unaona bora ungekuwa unapumuliwa kisogoni
We ni cocasticEnjoy broo! I regret being a man, I survive terribly because of man identity
Kwa sababu kasema Wana fursa nyingi kuliko yeye mwanaume. So issue hapa ni namna gani tunapo embrace mambo ya feminism na gender empowerment basi wanaume tusiachwe nyuma otherwise mwanamke anavyopandishwa Hadhi ndio mwanaume anazidi kupotezewa.Acha apate alichokitaka wala hatutoi ushauri wala nini, mwanaume unatamani kuwa jike? Serious? Nyie haki za binadamu naona mnataka kuvamilia uzi, mnataka kuhalalisha wazo la jamaa kutamani kuwa jike?.
Toka lini bichwa komwee likawa na akili? Kwanza ukifuatilia comments zako humu ndani wewe ni kitu lenye wivu, roho mbaya, husda na kijicho juu. Halafu kwa uandishi wako ni lazima elimu yako ni ya kuunga unga ( a.k.a hapa na pale)Wewe hujawajua watu wa humu mtandaoni ni WAJUVI MAFYATU.
Wengi wao ni hawa makurumbembe yaliyosoma shule za kata na senti kajamba.
Ni kundi linalowakilisha jamii ambayo inaamini kuwa mwanaume hapaswi kueleza hisia za maumivu au uchungu.
Ndio maana watu wanajinyonga hovyo kwa sababu ya kuhofia kujieleza.
Mtu kasema genuinely kwamba anatamani kuwa mwanamke, lakini cheki comments za hawa WAJUVI UCHWARA.
Kwanza wanawadharau wanawake kwa kiasi kikubwa sana.
Asante Kwa ushauri [emoji120]Pole sana
I know how your feel!
Japo hicho unachowaza sio SAHIHI!
Mimi nime hustle sana Mkuu!
TOKA primary hadi udsm,Bila true mama or true Baba,kwa msaada wa walimwengu tu,mbeleni ya jk ikanibeba nikapata ajira ambayo umeitukana Sana humu jf,lakini muda sio mrefu naingia kwingine kwa connection fulani fulani !!
Lakini sijawahi waza kua mwanamke,bali nimewahit mlaumu Mungu kwaninie alinipatia wazazi wajinga wajinga vile!kwa MAAMUZI mabovu mabovu yale waliyoyafanya!!
Usilaumu jinsia yako Mkuu! hustler's tupo wengi usituone tnacoment kizungu humu mkuu!
"Wengi wetu tupo kama paulo mtume kwamba,anaijua njaa,anaijua na shibe,amepigwa Hadi ngumi katika hustle zake za kupambania kusudi lake Mungu!!
Nashauri Rudi katubu coz utafanya Mungu ahairishe mambo mazuri aliyoyaweka mbele ya MAISHA yako Mkuu!!
Rudi madhabahuni mkuu!!!
Namalizia
"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"
Dishi lako limeshayumba tayariStrong point I ever expect. Shida wengi wanawaza ngono nasio unafuu wa maisha btn man and woman, namm hapa nimesema kabla ya Kuja Duniani tuwe tunaulizwa ili tuchague kuwa either KE or ME. Sasa wao wanasema ushoga kwani shoga ni mwanamke?
Nilikua najibu hoja ya huyo jamaa, anayesema Et wanaume wanamchukulia mwanamke kama chombo Cha starehe.Kwani Kuna ubaya kutoa K?
hakuna Mkuu hata kama huna K wapo wanaotumia ulichonachooo...tangaza dauKwani Kuna ubaya kutoa K?
Hongera, huku tulipo tunaipata ngondo joto la jiwe [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]I’m proud to be a woman, hata kama kuna kuzaliwa tena nataka nizaliwe mwanamke [emoji3590][emoji182]