Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Kwahiyo kazi ya mwanamke ni kupumuliwa kisogoni tu?

Mama ako alipumuliwa mara ngapi hadi akakuzaa wewe!?

Hii mitandao inafichua matatizo makubwa sana ambayo tulikuwa hhatuyajui.
Kwakweli sikumbuki maana hata huyo mama sijawahi kumuona ila kwa wanawake wa sasa ni kila kukicja kupumuliwa kisogoni
 
Duh na hii mvua Kuna mwamba angekua amekukunja Dogstyle akijiandaa kukojolea ndani.
S.jpeg
 
hakuna Mkuu hata kama huna K wapo wanaotumia ulichonachooo...tangaza dau
Hiyo ndo mbaya, ushindwe Kwa jina la Yesu shetani mwanaibilisi wewe unaewaza ngono za kimasikhara tu zenye uzinifu, ulaaniweee
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Unakitia aibu kijiji chako cha Mpwayungu kule Dodoma, tena tunapanga kupeleka miradi ya maendeleo kijijini kwenu lakini ni afadhari tuache tu
 
Yaani hizi siwezi kuziangalia Ila za kawaida nacheki. Kuna muda nimebaki hostel Ile likizo ya wiki tatu ivi nikapangwa chumba na shoga ilibidi nihame ujue,Kuna siku nikaomba pc yake, kucheki Kuna picha imeandikwa my diki,Mara my esi,Kuna video za mashemale, halafu alikuwa msafi balaa ilibidi nihame chumba. Yaani mwanaume kuwa mwanamke jamani Ni kinyaa pia Hawa jamaa wazungu Kuna vitu nadhani huwa wanaweka kwenye via huko na baadhi ya vyakula ama vinywaji ili kupunguza homoni za kiume na kuongeza za kike zaidi ili wanawake wasifanyiwe ukatili zaidi. Ndio Mana unaona mababu zetu walikuwa wakali mno Ila siku hizi tunajifanya walaini eti tumeelimika na ndio Mana jitahidi ule chakula natural direct from Shamba.
Mkuu

Utambue kwamba

Bia za miaka ya 1995 kurudi nyuma zilikuwa na kiwango kikubwa cha testosterone homorne ya kiume ambayo iliwafanya WALEVI wa kiume kuwa wakorofi Sana!

Sasa kanisa katoliki likapiga marufuku viwanda kutengeneza vileo hivyo coz ya crimes na unyanyasaji majumbani wa hao WALEVI wanapolewa kuwafanyia wanafamilia,ndipo ikapigwa U-TURN wakatia oestrogen ya kutosha Hadi leo hormone ya kike ni nyingi Sana kwenye vileo Ili wanaume TUWE wapole na humble na kweli walevi wakorofi wamepungua na Sasa walevi kibao wanaota matiti FULANI hivi vifuani yaani sio muscles bali matiti na UPUNGUFU wa nguvu za kiume hence USHOGA!!
 
Enjoy broo! I regret being a man, I survive terribly because of man identity
Khah! Yaani unajiita man? Kama unahofia changamoto za maisha,basi unapenda vya bure. Je,uliambiwa na nani wanawake wanapewaga vya bure? Kajinyonge basiii
 
Uzi was kupromot ushoga unakusanya maoni kuhusu wanaume wanaotamani kuwa wanawake....USHINDWE KWAJINA LA YESU...
 
Back
Top Bottom