Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Nani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini

Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
Huyu tayari anaolewaga,sema tu kwa mda.
 
Kwahiyo kazi ya mwanamke ni kupumuliwa kisogoni tu?

Mama ako alipumuliwa mara ngapi hadi akakuzaa wewe!?

Hii mitandao inafichua matatizo makubwa sana ambayo tulikuwa hhatuyajui.
Kwakweli sikumbuki maana hata huyo mama sijawahi kumuona ila kwa wanawake wa sasa ni kila kukicja kupumuliwa kisogoni
 
hakuna Mkuu hata kama huna K wapo wanaotumia ulichonachooo...tangaza dau
Hiyo ndo mbaya, ushindwe Kwa jina la Yesu shetani mwanaibilisi wewe unaewaza ngono za kimasikhara tu zenye uzinifu, ulaaniweee
 
Unakitia aibu kijiji chako cha Mpwayungu kule Dodoma, tena tunapanga kupeleka miradi ya maendeleo kijijini kwenu lakini ni afadhari tuache tu
 
Mkuu

Utambue kwamba

Bia za miaka ya 1995 kurudi nyuma zilikuwa na kiwango kikubwa cha testosterone homorne ya kiume ambayo iliwafanya WALEVI wa kiume kuwa wakorofi Sana!

Sasa kanisa katoliki likapiga marufuku viwanda kutengeneza vileo hivyo coz ya crimes na unyanyasaji majumbani wa hao WALEVI wanapolewa kuwafanyia wanafamilia,ndipo ikapigwa U-TURN wakatia oestrogen ya kutosha Hadi leo hormone ya kike ni nyingi Sana kwenye vileo Ili wanaume TUWE wapole na humble na kweli walevi wakorofi wamepungua na Sasa walevi kibao wanaota matiti FULANI hivi vifuani yaani sio muscles bali matiti na UPUNGUFU wa nguvu za kiume hence USHOGA!!
 
Enjoy broo! I regret being a man, I survive terribly because of man identity
Khah! Yaani unajiita man? Kama unahofia changamoto za maisha,basi unapenda vya bure. Je,uliambiwa na nani wanawake wanapewaga vya bure? Kajinyonge basiii
 
Uzi was kupromot ushoga unakusanya maoni kuhusu wanaume wanaotamani kuwa wanawake....USHINDWE KWAJINA LA YESU...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…