Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Wewe jamaa ni mjinga na lengo lako kutangaza ushoga yaani unataka kutuaminisha Tanzania napo eti kuna wanaume wanatamani kuwa wanawake jinga kabisa. Huu upuuzi mnalipwa kuupandikiza bongo. Naona kuna mipusa kibao ime like uzi wako jinga mkubwa.
Kuwa shoga sio kuwa mwanamke mkuu
 
Sasa kulala kwenye mapori na madampo ni sifa [emoji22]
 
Huyu jamaa ushoga unamnyemelea kwa kasi sana, kama si tayari.
Binanadamu kwa Nature yetu ukizaliwa moja kwa moja unanza kupambana kutoka na maumbile yako,
Haya ni mapya.
Mkuu shoga ni mwanaume, mm nimesema natamani ningekuwa mwanamke
 
Haya MAVILAZZAZZ na MAMBURULAAZZ ya mitandaoni hayawezi kuelewa hizi sayansi za kimkakati.

Wao ni kubugia tu bia na kula matunda ya kimaskhara.

Hayajui kitu. Hii ndio faida ya SHULE ZA SENTI KAJAMBA.
 
Nashkru sana unajibu bila mihemuko, lakini swali dogo tu hauoni kwamba mtoa uzi inatakiwa akemewe zaidi kuliko sisi tunaokoment, maana kwenye mada yake kama umesoma vizuri ukaelewa basi utaona kwamba yeye ndio amemuchora mwanamke kama mtu asiyejiweza, mtu wa kupokea tu, halafu kuthibitisha hilo kasema angekuwa mwanamke angetumia K yake kufanikisha mambo yake.

Huoni yeye ndio kamchora mwanamke kuwa chombo cha starehe?
 
Akili huna bila shaka
 
Huyu kichwa chake kipo empty mkuu. Ila,si ajabu saana,maana kuna watoto wa kiume pia. Mmoja wapo huyu hapaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…