Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Aiseee..!!! Hapa kuna dalili za mtu kuanza ushoga
 
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]

MAVILAZAAZZ na MAMBURULAZZZ yamekita kambi mitandaonii yakipeana SAFE REFUGE and COMFORT.

HAYA MATAKATAKA hayawezi kuelewa hizi vitu ndio maana serikali inapata nguvu ya kufanya lolote KIMSEREREKO.

NCHI IMEJAA MANYUMBU TUPU.
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
 
The successful women I know in my circle ni hustlers, whether kwa kisomo au biashara, they got a long history nawaona tangu zamani.

Sijawahi kuwaza they're successful coz they're women! If anything ni majukumu ya ndoa zao na familia zao ndo zinawarudisha nyuma!

We Sema una roho ya umarioo vivulana siku hizi vivivu havitaki kuchoka wala kutokwa jasho, vinataka vishibe vizunguke na kiti kwenye kwenye AC vimiliki kila kitu watupostie mitandaoni mwishowe vinakuwa vishoga kwasababu ya tamaa.

Kama ulikuwa unasajili line wasichana wakawa wanapata wateja kuliko nyie si mngehama eneo! Ukaona wanafaidi attention ya wanaume ukatamani hiyo attention?

Kuna rijali anamuonea mwanamke wivu kupata attention ya wanaume?????
Hujui Kaa kimya, Samia ni hustler???
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Dah !!! vipi kupakiwa mkongo putululu hivi navyo ungefkiria mkuu
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Kuliko kuwa mwanamke,wacha tu niendelee kubeba zege...
 
Unaweza kuvumilia kuvuja kila mwezi wewe
Dharau hizo sasa unatukana mama zetu, mpwayu anaogopa kuhonga yeye anataka ahingwe, anaogopa kufanya kazi yeye anataka afanyiwe kazi, anaogopa majukumu yeye anataka majukumu yake ampe mwanaume. Ila mpwayu kitu kimoja tu hauna uwezo nacho " haubebi mimba" afu huko chini hakuna pa kupenya, ungekuwa na uwezo huo hata mm ningekutongoza faster
 
You don't have to do some poutings;Say it!And,say it loudly;Do you want to be a super girl when you grow up?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
No I don't, iam already born a man. No chance anymore of being a woman. Remember transgender is only at physical appearance and external part of Sexual organ but it can't be internal Organ, spirit and mental ghost
 
Back
Top Bottom