The successful women I know in my circle ni hustlers, whether kwa kisomo au biashara, they got a long history nawaona tangu zamani.
Sijawahi kuwaza they're successful coz they're women! If anything ni majukumu ya ndoa zao na familia zao ndo zinawarudisha nyuma!
We Sema una roho ya umarioo vivulana siku hizi vivivu havitaki kuchoka wala kutokwa jasho, vinataka vishibe vizunguke na kiti kwenye kwenye AC vimiliki kila kitu watupostie mitandaoni mwishowe vinakuwa vishoga kwasababu ya tamaa.
Kama ulikuwa unasajili line wasichana wakawa wanapata wateja kuliko nyie si mngehama eneo! Ukaona wanafaidi attention ya wanaume ukatamani hiyo attention?
Kuna rijali anamuonea mwanamke wivu kupata attention ya wanaume?????