Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Nilisema humu ni jambo la muda tu... wanaume wa Upinde🏳️‍🌈 wataanza kuonyesha waziwazi kujutia uanaume wao... Ni aibu kufuru laana na msiba mwanaume kufikiria au kujutia kuwa mwanaume... Vijana mnapenda maisha mteremko sana mtashikishwa sana ukuta... UNAJUTA KUWA MWANAUME..? 😳😳😳
 
Huyu jamaa harakati kaanza kitambo. Cheki baadhi ya comments zake
Screenshot_20230325-163747.jpg
Screenshot_20230325-164214.jpg
 
3. Kuna baadhi ya wanaume wanaofikiri kuwa mambo ni marahisi kwa wanawake, Swali ni je mtu hawezi kueleza changamoto za wanaume bila kutamani kuwa mwanamke?

Usituambie kuwa kwako wewe ni sahihi mwanaume kutamani kuwa mwanamke, okay inaweza kuwa sahihi sababu utasema kila mtu yuko entitled na anavyojisikia, lakini je ni normal...? Kama sivyo, basi ndio sababu ya watu kutoa comments hivi wanavyozitoa.
Hii ni comment bora kabisa niliyoisoma siku ya leo. You have my respect Madame!
 
Niliwahi kuwa na demu fulani akanambia

" Natamani sana ningekuwa mwanaume....."
Nikamuuliza umefikiria nini hadi kutamani hivyo?

Akasema " Ningehakikisha natomb mademu wengi sana....."

Hakuna mwanamke anayependa kuwa mwanamke

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wengi huwa wanawaza hivyo, nikamwambia kwahiyo ruksa mimi kuchapa yeyote akakubali, nilibaki nashangaa
 
Inashangaza sana, kwani alishindwa vipi kuelezea magumu tunayopitia wanaume pasipo kutamani kuwa mwanamke?.

Huyu anashida sehemu, pole sana kwa wazazi wake pengine wanaamini mtoto wao ni bonge la dume kumbe lenyewe linatamani kuwa na K lipate mseleleko.
3. Kuna baadhi ya wanaume wanaofikiri kuwa mambo ni marahisi kwa wanawake, Swali ni je mtu hawezi kueleza changamoto za wanaume bila kutamani kuwa mwanamke?

Usituambie kuwa kwako wewe ni sahihi mwanaume kutamani kuwa mwanamke, okay inaweza kuwa sahihi sababu utasema kila mtu yuko entitled na anavyojisikia, lakini je ni normal...? Kama sivyo, basi ndio sababu ya watu kutoa comments hivi wanavyozitoa.
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Ni wewe kweli Mpwayungu tunaye mfahamu au mtu au mtu ka- hack account yako? Kama ni wewe, hili bandiko lako limekuja wakati mbaya sana. Wakati umma wa Africa unalaani na kupiga wimbi la LGBTQ. Mtu alisoma bandiko hili mtu anahisi unatamani vitu vyote ambavyo mwanamme anamfanyia mwanamke likiwemo swala zima la 'jigi jigi'. Sijui ni mimi tu nimekuelewa vibaya?
 
HALI INATISHA👹👺👹👺👹👿👿👿
Kama mtoa mada ni mwanaume, basi ameshaleft group la wanaume.
Katika orodha ya viumbe walio hatarini kutoweka ukiachana na faru na wengineo, wanaume nao tuongezwe kwenye orodha.
NB:
Mtoa ukiweza futa post yako kwa faida ya wanaume wote.
 
Ni wewe kweli Mpwayungu tunaye mfahamu au mtu au mtu ka- hack account yako? Kama ni wewe, hili bandiko lako limekuja wakati mbaya sana. Wakati umma wa Africa unalaani na kupiga wimbi la LGBTQ. Mtu alisoma bandiko hili mtu anahisi unatamani vitu vyote ambavyo mwanamme anamfanyia mwanamke likiwemo swala zima la 'jigi jigi'. Sijui ni mimi tu nimekuelewa vibaya?
Ni mimi kiongozi, sioni baya nililoandika apo
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
dalili za upinde
 
Back
Top Bottom