Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usicheke mkuu tumuonee huruma tu, jamaa ni mwalimu by professional hapo kajaribu katumia fasihi kufikisha ujumbe ila SI haba tumemuelewa, jf kwa mamende nahisi Pm yake itakuwa imefurika.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Uanaume ni raha sana licha ya ugumu tunaoupitia. Nature ya maumbile yetu yanaturuhusu kusurvive kwenye mengi.No way
Ungesema tundu lako smart,maana akili ni tope tu kichwaniLofa kweli wewe Wapi nimesema mm shoga
Ungezaliwa mwanamke,usingekuwa wewe,angekuwa mtu tofauti.Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Kashaolewa huyuuuu[emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini
Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
I'm honored mkuu!
Wanaume wanachangamoto nyingi na kila mtu/watu wengi tunazifahamu. Itoshe kufundishana, kuelekezana na kusaidiana namna ya kuzitatua kuliko kuzikimbia.
Kuboresha afya ya akili ni pamoja na kuzifahamu changamoto zako na namna ya kukabiliana nazo.
Ngoja tuwekane sawa hapa, dunia inakabiliwa na tatizo la watu kuwa suicidal, kwa nchi zilizoendelea tafiti zinaonesha 60% ya attempt za suicides zinawahusu hawa ndugu na jamaa zetu waliokimbia jinsia zao, Swali ni kwanini? Pamoja na sababu zingine za ubaguzi inaonekana kwa kiasi kikubwa hawa wenzetu si wazuri katika kusolve changamoto zao zaidi ya kuzikimbia.
Tayari vijana wanamsukuma tope😆😆😆Kashaolewa huyuuuu[emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Astakafirurahh .... Unatamani ungekuwa unatombw@, eti!!! Duh.... Kajiunge na LGBTQ tu!!Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Pole sana naihurumia akili yako haijui kituAstakafirurahh .... Unatamani ungekuwa unatombw@, eti!!! Duh.... Kajiunge na LGBTQ tu!!
Jaribu kuwa mwanamke ili ujue kwamba hata wao wanavumilia mengi,unafikiri kunyanduliwa ni rahisi sana,kuzaa nako ni rahisi si ndio? Kubleed kila mwezi ni rahisi? Wanawake wanapitia mengi sana acha kutamani maumbile ambayo Mwenyezi Mungu hakukupa hiyo ni dhihaka kubwa sana. Ukipenda vitu rahisi siku si nyingi utageuzwa mwanamke pamoja na kuwa wewe ni wa kiume sikuizi vijana wameharibika sanaKama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]Tayari vijana wanamsukuma tope[emoji38][emoji38][emoji38]
Amejizika mwenyeweWalimu wamepata pa kumsemea 😂😂
Mbona mnalenga kwenye ngono tuuJaribu kuwa mwanamke ili ujue kwamba hata wao wanavumilia mengi,unafikiri kunyanduliwa ni rahisi sana,kuzaa nako ni rahisi si ndio? Kubleed kila mwezi ni rahisi? Wanawake wanapitia mengi sana acha kutamani maumbile ambayo Mwenyezi Mungu hakukupa hiyo ni dhihaka kubwa sana. Ukipenda vitu rahisi siku si nyingi utageuzwa mwanamke pamoja na kuwa wewe ni wa kiume sikuizi vijana wameharibika sana
mpwayungu village mwanamke mtarajiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]
I regretHapa umeandika kidole Cha kusuta kikiwa juu kama Aisha Mashauzi...mwanaume popote ulipo inatakiwa iji proud kuwa kiumbe wa jinsia ya Me....regardless unapitia magumu kiasi Gani ila hakuna ku give up....hapa umetuangusha aysee
Kwani mwanamke sifa yake Kuu ni nini!?Mbona mnalenga kwenye ngono tuu