Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Mwingine tena 😳Acha udwanzi. Akiolewa si ni yeye kwani wewe?! Mwenyewe natamernee ningezaliwa mwanamke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwingine tena 😳Acha udwanzi. Akiolewa si ni yeye kwani wewe?! Mwenyewe natamernee ningezaliwa mwanamke.
Nishazaliwa tiari siwez kuwa mke tenampwayungu village mwanamke mtarajiwa
Mwanamke weweI regret
Mimi nataka niwe mwanamkeUna kichwa kizuri sana, unajua maana halisi ya kuzaliwa mwanaume.
Wengine tumepitia changamoto kubwa sana lakini hatukutamani hata siku moja eti tuwe wanawake, tulitatua changamoto zetu na tukasimama tena, sasa nashangaa huyu ndugu yetu yeye kuombwa elfu saba kwa ajili ya chipsi eti ndo atamani kuwa mwanamke?.
Kinachonisikitisha zaidi ni kwamba inaonekana anahaki ya kutetea alichokiandika, Mimi naomba watu waliokaribu nae wajaribu kumpatia ushauri huenda kuna kitu kinamsumbua.
[emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Hahahahahahaha....kumbe chokoooo
Poa poa mkuu let me pull up my socksUsisahau kuwa haki ya kuwapigania wanawake inaombwa kwa wanaume, pambana uwe hao wanaume.
Walimu walimtatua marindaLabda kagongwa ba walimu huko nyuma hewa wamechafua
Hujui kitu Kaa kimya wewe [emoji57][emoji57][emoji57]I'm honored mkuu!
Wanaume wanachangamoto nyingi na kila mtu/watu wengi tunazifahamu. Itoshe kufundishana, kuelekezana na kusaidiana namna ya kuzitatua kuliko kuzikimbia.
Kuboresha afya ya akili ni pamoja na kuzifahamu changamoto zako na namna ya kukabiliana nazo.
Ngoja tuwekane sawa hapa, dunia inakabiliwa na tatizo la watu kuwa suicidal, kwa nchi zilizoendelea tafiti zinaonesha 60% ya attempt za suicides zinawahusu hawa ndugu na jamaa zetu waliokimbia jinsia zao, Swali ni kwanini? Pamoja na sababu zingine za ubaguzi inaonekana kwa kiasi kikubwa hawa wenzetu si wazuri katika kusolve changamoto zao zaidi ya kuzikimbia.
🤣🤣Nani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini
Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
Sindoapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huu uzi umekuja kipind kibaya... lengo lako ni zuri tuu umeonesha mwanaume anavyopambana
sasa umeleta kipindi [emoji304] umeshika kasi[emoji1787]kila mtu anakuon member sasa mkuu
Inawezekana, asingetamani hayo..Wewe ni SHOGA hata ukatae hadharani
Hakika. Najaribu kuwaza kwa sauti hii mentality ndo inayowafanya wanaume wenzetu wanakubali kuwa mashoga sasa hivi..that mentality can lead into one being gay...be watchful
Soma vizuri uzi wangu mkuu usiishie kwenye kichwa cha Habari tuMadhara ya kuvuta bange siku ya kwanza, waambie ndugu zako wakununulie miwa utafune ikate hiyo makali ya bange laa sivyo Sasa hivi utatamani uwe Majani uliwe na mbuzi
Mi nikishaonaga viashiria vya upinde hata uzi siwezi kuusoma sanasana ntapata hasira tuSoma vizuri uzi wangu mkuu usiishie kwenye kichwa cha Habari tu
Kwa kesi ya huyu dogo, ukiangalia mfululizo wa posts zake, utajua hayuko sawa kisaikolojia. Yuko na vitu vingi vinamsumbua. Faraja pekee, anaipata humu kwa kuwasemea hovyo watu fulani, au kwa kujikweza na kuziishi fantasy zake kwa maandishi.I'm honored mkuu!
Wanaume wanachangamoto nyingi na kila mtu/watu wengi tunazifahamu. Itoshe kufundishana, kuelekezana na kusaidiana namna ya kuzitatua kuliko kuzikimbia.
Kuboresha afya ya akili ni pamoja na kuzifahamu changamoto zako na namna ya kukabiliana nazo.
Ngoja tuwekane sawa hapa, dunia inakabiliwa na tatizo la watu kuwa suicidal, kwa nchi zilizoendelea tafiti zinaonesha 60% ya attempt za suicides zinawahusu hawa ndugu na jamaa zetu waliokimbia jinsia zao, Swali ni kwanini? Pamoja na sababu zingine za ubaguzi inaonekana kwa kiasi kikubwa hawa wenzetu si wazuri katika kusolve changamoto zao zaidi ya kuzikimbia.