Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Nimeshafika kijiji cha mpwayungu, kule watu wanakula maboga, karanga mbichi, matango ya kienyeji, mahindi ya kuchoma/ kuchemsha, fulu n.k, vyote vya asili yaani watu wako fiti balaa, mtu ana miaka 30, watoto 15, sipati picha Mkuu mpwayungu ungekua kule kwenu sasa hivi, ungekua umechakaa kiasi gani...[emoji23][emoji23]
 
Una kichwa kizuri sana, unajua maana halisi ya kuzaliwa mwanaume.

Wengine tumepitia changamoto kubwa sana lakini hatukutamani hata siku moja eti tuwe wanawake, tulitatua changamoto zetu na tukasimama tena, sasa nashangaa huyu ndugu yetu yeye kuombwa elfu saba kwa ajili ya chipsi eti ndo atamani kuwa mwanamke?.

Kinachonisikitisha zaidi ni kwamba inaonekana anahaki ya kutetea alichokiandika, Mimi naomba watu waliokaribu nae wajaribu kumpatia ushauri huenda kuna kitu kinamsumbua.
Mimi nataka niwe mwanamke
 
Nyoosha maelezo wewe, Maisha ni magumu ila hakuna mwanaume kamili anayetaka kuwa mwanamke.

We kama umeamua kutunuku choo tunuku tu usitafute visingizio.
 
I'm honored mkuu!

Wanaume wanachangamoto nyingi na kila mtu/watu wengi tunazifahamu. Itoshe kufundishana, kuelekezana na kusaidiana namna ya kuzitatua kuliko kuzikimbia.

Kuboresha afya ya akili ni pamoja na kuzifahamu changamoto zako na namna ya kukabiliana nazo.

Ngoja tuwekane sawa hapa, dunia inakabiliwa na tatizo la watu kuwa suicidal, kwa nchi zilizoendelea tafiti zinaonesha 60% ya attempt za suicides zinawahusu hawa ndugu na jamaa zetu waliokimbia jinsia zao, Swali ni kwanini? Pamoja na sababu zingine za ubaguzi inaonekana kwa kiasi kikubwa hawa wenzetu si wazuri katika kusolve changamoto zao zaidi ya kuzikimbia.
Hujui kitu Kaa kimya wewe [emoji57][emoji57][emoji57]
 
Madhara ya kuvuta bange siku ya kwanza, waambie ndugu zako wakununulie miwa utafune ikate hiyo makali ya bange laa sivyo Sasa hivi utatamani uwe Majani uliwe na mbuzi
Soma vizuri uzi wangu mkuu usiishie kwenye kichwa cha Habari tu
 
I'm honored mkuu!

Wanaume wanachangamoto nyingi na kila mtu/watu wengi tunazifahamu. Itoshe kufundishana, kuelekezana na kusaidiana namna ya kuzitatua kuliko kuzikimbia.

Kuboresha afya ya akili ni pamoja na kuzifahamu changamoto zako na namna ya kukabiliana nazo.

Ngoja tuwekane sawa hapa, dunia inakabiliwa na tatizo la watu kuwa suicidal, kwa nchi zilizoendelea tafiti zinaonesha 60% ya attempt za suicides zinawahusu hawa ndugu na jamaa zetu waliokimbia jinsia zao, Swali ni kwanini? Pamoja na sababu zingine za ubaguzi inaonekana kwa kiasi kikubwa hawa wenzetu si wazuri katika kusolve changamoto zao zaidi ya kuzikimbia.
Kwa kesi ya huyu dogo, ukiangalia mfululizo wa posts zake, utajua hayuko sawa kisaikolojia. Yuko na vitu vingi vinamsumbua. Faraja pekee, anaipata humu kwa kuwasemea hovyo watu fulani, au kwa kujikweza na kuziishi fantasy zake kwa maandishi.

Ila hii ya leo, he just hit a new low!
 
Back
Top Bottom