Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Huo ndo ukweli kila sehemu ina kazi yake mahususi ya asili hamna haja ya kutamani nyingine isio kua kazi yake
IMG-20230325-WA0013.jpg
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Ungezaliwa mwanamke,usingekuwa wewe,angekuwa mtu tofauti.
Hizo shuruba ulizozitaja,kwa wengine wetu,hiyo ndio furaha yetu,
 
Una kichwa kizuri sana, unajua maana halisi ya kuzaliwa mwanaume.

Wengine tumepitia changamoto kubwa sana lakini hatukutamani hata siku moja eti tuwe wanawake, tulitatua changamoto zetu na tukasimama tena, sasa nashangaa huyu ndugu yetu yeye kuombwa elfu saba kwa ajili ya chipsi eti ndo atamani kuwa mwanamke?.

Kinachonisikitisha zaidi ni kwamba inaonekana anahaki ya kutetea alichokiandika, Mimi naomba watu waliokaribu nae wajaribu kumpatia ushauri huenda kuna kitu kinamsumbua.

I'm honored mkuu!

Wanaume wanachangamoto nyingi na kila mtu/watu wengi tunazifahamu. Itoshe kufundishana, kuelekezana na kusaidiana namna ya kuzitatua kuliko kuzikimbia.

Kuboresha afya ya akili ni pamoja na kuzifahamu changamoto zako na namna ya kukabiliana nazo.

Ngoja tuwekane sawa hapa, dunia inakabiliwa na tatizo la watu kuwa suicidal, kwa nchi zilizoendelea tafiti zinaonesha 60% ya attempt za suicides zinawahusu hawa ndugu na jamaa zetu waliokimbia jinsia zao, Swali ni kwanini? Pamoja na sababu zingine za ubaguzi inaonekana kwa kiasi kikubwa hawa wenzetu si wazuri katika kusolve changamoto zao zaidi ya kuzikimbia.
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Astakafirurahh .... Unatamani ungekuwa unatombw@, eti!!! Duh.... Kajiunge na LGBTQ tu!!
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Jaribu kuwa mwanamke ili ujue kwamba hata wao wanavumilia mengi,unafikiri kunyanduliwa ni rahisi sana,kuzaa nako ni rahisi si ndio? Kubleed kila mwezi ni rahisi? Wanawake wanapitia mengi sana acha kutamani maumbile ambayo Mwenyezi Mungu hakukupa hiyo ni dhihaka kubwa sana. Ukipenda vitu rahisi siku si nyingi utageuzwa mwanamke pamoja na kuwa wewe ni wa kiume sikuizi vijana wameharibika sana
 
Jaribu kuwa mwanamke ili ujue kwamba hata wao wanavumilia mengi,unafikiri kunyanduliwa ni rahisi sana,kuzaa nako ni rahisi si ndio? Kubleed kila mwezi ni rahisi? Wanawake wanapitia mengi sana acha kutamani maumbile ambayo Mwenyezi Mungu hakukupa hiyo ni dhihaka kubwa sana. Ukipenda vitu rahisi siku si nyingi utageuzwa mwanamke pamoja na kuwa wewe ni wa kiume sikuizi vijana wameharibika sana
Mbona mnalenga kwenye ngono tuu
 
Hapa umeandika kidole Cha kusuta kikiwa juu kama Aisha Mashauzi...mwanaume popote ulipo inatakiwa iji proud kuwa kiumbe wa jinsia ya Me....regardless unapitia magumu kiasi Gani ila hakuna ku give up....hapa umetuangusha aysee
I regret
 
Back
Top Bottom