Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Hadi kuandika kumeanza kukushinda masikini!!

Pole sana, mrudie Mungu ikingali mapema.
Fata maisha yako achana na mimi. Mimi Nina maisha yangu hata mvua isiponyesha miaka kumi mfululizo naishi, hata Unga uuzwe kilo laki moja nanunua, hata bei ya petrol ifike Lita Kwa laki moja najaza full tank kwenye gari yangu. Wewe hangaika na umasikin wako
 
Mkuu bora kuzaliwa mwanaume... Hakuna mwanamke anaependa kuwa mwanamke na kukojolewa ndani ,.. ni vile tuu hawana namna wanakubali tuu ili waweze kuishi...imagin unawekwa dogstyle huku unapigwa kofi la m^tak¢
Muulize pia mama ako raha ya kuwa mwanamke atakujibu usitake kuwajibia waulize wao maana ndowahusika
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Na bado unatamani kuwa mwanamke!! Sasa tukiachana na maisha yako huoni utatuharibia jamii!!

Basi hakikisha maisha yako hayatikisi maisha yetu, hakika tutaachana na wewe.
 
Huna hoja ya kupambana na mimi wewe tuliza matako
 
umetukosea sana wanaume la muhimu usijute hata kidogo mwanaume unatakiwa kuwa mpambanaji kwenye hii Tanzania yetu fursa kibao ila ni vile wanaume wengi hatutaki kujituma na kupambana hivi Kila mwanaume akijutia kama wewe Dunia si itawaka moto
Mbona wanawake hawapitii msoto mzito kama sisi???
 
Mbona wanawake hawapitii msoto mzito kama sisi???
Hawapitii msoto kwakuwa waliumbwa kukaaa nyumbani kuhudumia familia
Umesahau Historian ya kidato Cha kwanza mkuu,kwenye majukumu ya wanawake na wanaume wakati wa Early Stone Age,mkuu

We mwalimu wa wapi!!

Mwanaume yeyote hukamilika pale anapoweza kuhudumia familia yake
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na bado unatamani kuwa mwanamke!! Sasa tukiachana na maisha yako huoni utatuharibia jamii!!

Basi hakikisha maisha yako hayatikisi maisha yetu, hakika tutaachana na wewe.
Rudia kusoma tena thread yangu madam, I before was respecting you so much but from now on you are out of my model. Nilisema kabla ya kuzaliwa tungekuwa na machaguo basi ningetaka nizaliwe mwanamke ila ni ngumu kwakua mfumo wa uumbwaji hautupi ufahamu Wala option yoyote Ile.

Kumbuka shoga sio mwanamke hata ajibadili vipi hawezi kubadili gametes. Shoga ni wakiume hata akatwe kengere zake pamoja na nyundo ya kugongea akawekewa kisima bado ni mwanaume tuu

MIMI nilitamani niwe mwanamke ila ukishazaliwa mwanaume ndobasi tena hakuna namna. Nyie mnakuja kusema mimi shoga, kwanza nachukia mashoga kuliko shetani, yani ningekuwa Mungu ningesamehe shetani ila sio shoga.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] futuhiii
 
Achia ngazi wewe huu mziki huuwezi, uanaume ni kazi kazi ..siyo lazima uwe mwanamke, ata ivyo ulivyo unaolewa tu haina mbambamba
Tayari nimezaliwa mwanaume, kuwa mwanamke haiwezekani maana uumbwaji wa kike ni tangu kwenye muundo wa sperms zinapokutana na mbegu za kike nasio kukatwa kengere au kugeuzwa back huo niuchoko na ufirauni
 
Basi wao wanapata raha kuliko sisi, kuteseka sio sifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…