Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Huyu ngoja tumgonge nyundo tu hatumpi ushauri, Mbona juzi juzi tu hapa alikuwa anaandika mada zenye point kabisa, Jana alishindwaje kudigest alichotaka kuwasilisha kwa umma?.
 
Umejiunga juzi tu mwaka huu tayari unatukana wakongwe akina mpwayungu village. Kwa lugha hii unaonekana huna busara Dada angu jifunze kuandika kistarabu
 
Kuna faida gn kama unateseka? Hapo penyewe unatawaliwa na mwanamke (Samia suluhu). Tuache sifa zinazoumiza miili yetu tunachoka nakuchakaa eti uanaume [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Kwangu Mateso ni kusubiria Pesa ya kuomba au kupewa.
Ni Bora nifanye kazi nipate Mia mbili kuliko nisubiri kuomba laki mbili
 
Lakin hata ukibadilisha jinsia huwezi kufanya ngono si ndio.? Mana siyo original k.
 
Sijadanganya mkuu,

Jiulize kwa nini huyo Mondi hatulii na mke mmoja?. Kila baada ya miaka michache anachumbia mpya na kuacha. Tena bora ungemtolea mfano mtu mwingine sio huyo.

Dogo tafuta fedha, Pisi kali zitajileta kwako kufuata mafanikio yako, hawaolewagi na wasukuma mkokoteni hao.
 
Yote kwa yote hatuwez wote kuwa na mawazo sawa due to changamoto tunazopitia hence kila mtu atabaki kama alivyo with his/her own perspective... mtoa mada upo sahihi kwa upande wako but kwa wengine ni tofauti so nazani ni bora wakuache tuh cuz wao sio wewe and the opposite ingawa wana haki ya kuhoji but sio kukosoa
 
Wewe utakuwa walewale wa rainMBORO. Hata sasa haujachelewa. Nenda Mombasa uishi kama unavyotaka
 
Kwahiyo hata Bibi na mama yako diamond anawakata tu akiwataka maana nao ni wanawake. Yaani hadi Saa100 naye. Wewe ni mpuuzi wahed, kwa maandishi yako jsmaa anaweza hata wewe kukukata
 
Mungu akubariki [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mpaka unaweza kuwa mwanamke daah sio poa kinomaaa Yani Sina hakika kama una marindaaa bro mpwayungu umekuwa mpwa ubwabwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…