Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Huyu ngoja tumgonge nyundo tu hatumpi ushauri, Mbona juzi juzi tu hapa alikuwa anaandika mada zenye point kabisa, Jana alishindwaje kudigest alichotaka kuwasilisha kwa umma?.
Sidhani kama anafaidika, kwa upeo wangu anahitaji tiba na mtu wa saikolojia.

Mtandaoni humu ni ngumu kujuwa mtu magumu anayopitia, tena bora huyu ametamani angekuwa mwanamke kuna wanaowaonea gere marehemu kwamba bora ya wao wamepumzika na shida za dunia.

Hapa issue ni umaskini uliokithiri ambao tunaita ufukara hata leo jumapili mtu pesa ya kutoka na kwenda kupata fresh air na kuachana na mitandao kwa muda hana.

Matokeo yake ndio haya mtu anaandika chochote bila kudigest na Wabongo hatujazoea kuwasaidia wenzetu wanaopitia magumu zaidi ya kuwacheka tu.
 
Mimi ni Mwanamke tena Mwanamke haswaa..ambae wewe TAAHIRA MJAA LAANA MWENYE MADEVU NA BALLS ZINAZOKUNING’INIA unalila lia MTANDAONI KUTAFUTA BWANA

BAHATI MBAYA WANAUME WANAOJITAMBUA WAMESHAKUSHTUKIA HAWANA HABARI NAWEWE

TENA KOMA KUNIQUOTE

SINA MDA WA KUPOTEZA JUU YAKO SHOGA
sipotezi mda kubishana na SHOGA..CHOKORAA MKUBWA WEE OVYOOO[emoji57][emoji57][emoji57]

Dume zima unalilia UANAMKE HUNA HAYA KUKU BWEGE WEEEE[emoji57]

Nitolee laana zako[emoji57][emoji57][emoji57]
Umejiunga juzi tu mwaka huu tayari unatukana wakongwe akina mpwayungu village. Kwa lugha hii unaonekana huna busara Dada angu jifunze kuandika kistarabu
 
Kuna faida gn kama unateseka? Hapo penyewe unatawaliwa na mwanamke (Samia suluhu). Tuache sifa zinazoumiza miili yetu tunachoka nakuchakaa eti uanaume [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Kwangu Mateso ni kusubiria Pesa ya kuomba au kupewa.
Ni Bora nifanye kazi nipate Mia mbili kuliko nisubiri kuomba laki mbili
 
Fanya hivi:

Nenda pale ubalozi wa Marekani. Kawaambie kuwa wewe kihisia ni mwanamke na kwamba unahitaji kubadilisha jinsia uwe mwanamke. Tafuta na makaratasi ya kufoji kutoka kwa madaktari kuonyesha una homoni nyingi za kike na Testosterone kiduchu sana.

Waambie hapo ubalozini kuwa Tanzania unateswa sana na maisha yako yamo hatarini; na kwamba ili kuokoa maisha yako inabidi ukimbilie Marekani. Tafuta na RB za polisi za uwongo kwamba ulishawahi kupigwa karibia ufe baada ya kufumwa umevaa gauni ukidengua badala ya suruali.

Kwa vile maisha yako yamo hatarini waambie wakuunganishe na NGO mojawapo inayoshughulika na mambo ya mashoga. Hawa watakulipia nauli kwenda Marekani.

Ukifika huko anza mchakato wa kujibadilisha kuwa mwanamke. Utafakamia mavidonge na sindano za homoni za kike. Ndevu zitapukutika, sauti itabadilika na kuwa ya kike na vititi vitaanza kuota. Abdallah kichwa naye ataanza kusinyaa pamoja na wenzake na hata ma bashite yako yataanza kukua na hips kupanuka...

Kama hiyo NGO yako itakuwa tayari kukulipia, au kama wewe mwenyewe utakuwa na hela zako basi anza mchakato wa operesheni ya kubadili jinsia yako kuwa ya kike. Operesheni hii ni ghali kidogo na inakwenda hatua kwa hatua na gharama zake ni kati ya dola za Kimarekani 20K - 100K+. Watatoa mfumo wote wa uzazi wa kiume na kuweka wa kike na ukija kurudi Bongo utakuwa bonge ya pisi kiasi kwamba utakuwa unatongozwa usiku na mchana na hakuna atakayejua kuwa huko nyuma uliwahi kuwa Mpwayungu Village. Sasa si ajabu utakuwa unajiita Mpwayungulicious......

Changamka sasa hivi kabla ma Democrats akina Biden hawajaondoka madarakani maana akija kuingia Trump au De Santis mwaka kesho haitakuwa rahisi maana ma Republican hawashobokei mambo ya ushoga na huu upuuzi wa LGBTQ...na kupata visa kwa sababu hiyo haitakuwa rahisi.

Kila la heri mkuu...

Na kila mwalimu na aseme Aaaamen! [emoji16]
View attachment 2564758
Lakin hata ukibadilisha jinsia huwezi kufanya ngono si ndio.? Mana siyo original k.
 
Huuu ni uongo mtamu mkuuuu ulisikia wapi hii kitu

Kwaiyo mond anaweza kudangwa na demu yoyote daaaaah hii ni pumba ya karne aseee


Ni hivi kama mwanaume tajiri hakumanyi hamna ke itakayoweza kumtegesha na nina mf hai mingi tu 😂😂😂😂😂😂😂
Sijadanganya mkuu,

Jiulize kwa nini huyo Mondi hatulii na mke mmoja?. Kila baada ya miaka michache anachumbia mpya na kuacha. Tena bora ungemtolea mfano mtu mwingine sio huyo.

Dogo tafuta fedha, Pisi kali zitajileta kwako kufuata mafanikio yako, hawaolewagi na wasukuma mkokoteni hao.
 
Yote kwa yote hatuwez wote kuwa na mawazo sawa due to changamoto tunazopitia hence kila mtu atabaki kama alivyo with his/her own perspective... mtoa mada upo sahihi kwa upande wako but kwa wengine ni tofauti so nazani ni bora wakuache tuh cuz wao sio wewe and the opposite ingawa wana haki ya kuhoji but sio kukosoa
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Wewe utakuwa walewale wa rainMBORO. Hata sasa haujachelewa. Nenda Mombasa uishi kama unavyotaka
 
Sijadanganya mkuu,

Jiulize kwa nini huyo Mondi hatulii na mke mmoja?. Kila baada ya miaka michache anachumbia mpya na kuacha. Tena bora ungemtolea mfano mtu mwingine, Huyo ana mnyororo wa wanawake pisi kali aliowazalisha na kuachana nao na wengine mfano Wema na Zuchu ndio hawajabaatika kubeba ujauzito. Kwa sasa wamekuwa Dada zake wa mchana tu, Usiku ukiingia anaweza kuwaita wakumbushie.
Kwahiyo hata Bibi na mama yako diamond anawakata tu akiwataka maana nao ni wanawake. Yaani hadi Saa100 naye. Wewe ni mpuuzi wahed, kwa maandishi yako jsmaa anaweza hata wewe kukukata
 
Yote kwa yote hatuwez wote kuwa na mawazo sawa due to changamoto tunazopitia hence kila mtu atabaki kama alivyo with his/her own perspective... mtoa mada upo sahihi kwa upande wako but kwa wengine ni tofauti so nazani ni bora wakuache tuh cuz wao sio wewe and the opposite ingawa wana haki ya kuhoji but sio kukosoa
Mungu akubariki [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mpaka unaweza kuwa mwanamke daah sio poa kinomaaa Yani Sina hakika kama una marindaaa bro mpwayungu umekuwa mpwa ubwabwaa
 
Back
Top Bottom