Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Unasema unajuta kuzaliwa mwanamme? Kwani shida Ni pesa au majamboz?
Bado hujachelewa. Tengeneza nywele, jipake mafuta ya kike, vaa suriali za kike, wanaojua watakufuata, utaolewa mpaka mwenyewe uwakatae wanaume.
 
Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Kwahiyo unapendelea nawe ungekuwa unahongwa chips yai na kidali cha kuku!!🙄🙄
Kupanga ni kuchagua🌈
 
Wewe jamaa utakuwa shoga
 
Bwabwa
 
mawazo ya kishetwain hayo, umewatamani mama zetu wanafaidi eee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…