Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Nafkiri msingi wa mjadala huu ungefaa kuwa;

Kati ya mtoto wa kiume na wa kike yupi ana fursa ya kufanikiwa zaidi kimaisha.?

Think about your female classmates wa chuo kwa sasa life lao lipoje?

Mambo ya ushoga,laana,upinde ni porojo tu ambazo zimeharibu huu uzi.

Tujifunze kuchangia mada sio kushambulia mtoa mada.
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Na hivi una traaako basi akili yote imeyumba....🤣
 
Nafkiri msingi wa mjadala huu ungefaa kuwa;

Kati ya mtoto wa kiume na wa kike yupi ana fursa ya kufanikiwa zaidi kimaisha.?

Think about your female classmates wa chuo kwa sasa life lao lipoje?

Mambo ya ushoga,laana,upinde ni porojo tu ambazo zimeharibu huu uzi.

Tujifunze kuchangia mada sio kushambulia mtoa mada.
Una akili sana nifate pm nikupe pesa ya nyama choma
 
Niliwahi kuwa na demu fulani akanambia

" Natamani sana ningekuwa mwanaume....."
Nikamuuliza umefikiria nini hadi kutamani hivyo?

Akasema " Ningehakikisha natomb mademu wengi sana....."

Hakuna mwanamke anayependa kuwa mwanamke

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Na hakuna mwanaume rijali anayetamani kuwa mwanamke.
 
Niliwahi kuwa na demu fulani akanambia

" Natamani sana ningekuwa mwanaume....."
Nikamuuliza umefikiria nini hadi kutamani hivyo?

Akasema " Ningehakikisha natomb mademu wengi sana....."

Hakuna mwanamke anayependa kuwa mwanamke

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Huyo mwanamke wako ndio ana shida,mm najivunia kuwa mwanamke na sijawah kutaman kuwa mwanaume.
 
Nafkiri msingi wa mjadala huu ungefaa kuwa;

Kati ya mtoto wa kiume na wa kike yupi ana fursa ya kufanikiwa zaidi kimaisha.?

Think about your female classmates wa chuo kwa sasa life lao lipoje?

Mambo ya ushoga,laana,upinde ni porojo tu ambazo zimeharibu huu uzi.

Tujifunze kuchangia mada sio kambulia mtoa mada.
Pole chief wafikiria mada wameidadavua kwa mapna zaidi ya ulipofikiri
 
acha kutuchafulia jukwaa kwa nyuzi za kishoga, unamlilia nani choko wewe, kama unataka kutatuliwa na wanaume wenye hela mbona simplo tu, unasema unatafutiwa basha upewe kitu rinda linapenda, ila vilio vya kichoko ukamlilie basha huko,
huko mtaani kwako umekosa wa kumkatia viuno?
mijitu kama hii wala sio ya kubembeleza, ni mishoga sugu inayotafuta faraja, rotten pawpaw wewe.
 
Daah wewe jamaa utakuwa una matatzo mm sijawahi kuona Wala kusikia mwanaume kamili eti anatamani angekuwa mwanamke.mashoga ndo Wana Tabiia izo za kutamani kuwa wanawake ili watumike vizuri.
 
Back
Top Bottom