Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Halafu mbona kama vile watu wanakuwa hawaamini kama Mpwayungu anahusudu shoga wakati yeye mwenyewe analeta post za kishoga shoga? Kwani kuna mtu anamfahamu Mpwayungu uso kwa uso kwamba siyo shoga?

Angekuwa jamaa tu mwingine ameleta hii mada, moja kwa moja angejumuishwa kwamba ni shoga lakini kwa Mpwayungu watu wanasita. Hakika pini za walimu zimemjenga Mpwayungu iwe ngumu kuhitimisha kuwa yeye ni shoga hata kama analeta post za kishoga.

Ni mara ya pili Mpwayungu anatamani kuwa mwanamke lakini watu wanasita kuhisi yeye ni shoga!
Hivi mpwayawayu ndio aliekuwa analalamikia walimu kulana mabwenini kule tabora ?
 
Ebu imajini wewe ni mwanamke afu una kazi Yako lakini umeolewa unaletewa kila kitu na mme wako, unalishwa, unavishwa, unadekezwa yani raha tupu...
QUOTE "Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena"EOQ.

Hayo yameandikwa na Mpwayungu Village kwenye Uzi wake katika kipindi kifupi kilichopita. Hapa kuna tatizo na ingekuwa nje ya nchi huyu jamaa angepata ushauri wa kisaikolojia na kuambiwa yeye ni KE katika umbo la ME, hivyo angeshauriwa achukue hatua ya kubadiri jinsi yake ili awe KE kabisa.

Ni tatizo la kisaikolojia, yaani ME unatamani kuwa KE kwa kukimbia wajibu wako kama mwanaume na kutaka uwe KE ili uletewe kila kitu na kibaya zaidi unajuta kuzaliwa ME!
 
Bado ni mwanaume biologically, usoni tu na sehemu za nje mnamwona keshakuwa sister ila for sure mpaka kufa hataweza kuwa mwanamke
Ila mwenzako ametimiza ndoto zake. Hivyo na wewe bado hujachelewa. Unaweza tu kuwa kama yeye.

Na ukumbuke tu hakuna mwanaume rijali anayeweza kuwa na mawazo kama haya ya kwako. Hivyo utambue fika una matatizo ya kisaikolojia, au kibailojia.
 
Back
Top Bottom