Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
admin watu wanaleft shida nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3]Unaweza kuamua ukataftiwa tu mkuu, kuna wanaume wwnamudu hiyo kazi ila sharti moja tu ukubali kugeuzwa mwanamke kama unavyotamani wala maisha hayatakuwa magumu kwako.
Nimekuvumilia hii thread yako ya 2 ukitaman kuwa mwanamke, sina hakika sana kama una malinda
Kwa tuliokuwa tunamfuatilia Mpwayungu hii ni mara ya pili anatamani kuwa mwanamke.Mwenyewe kanishtua kweli kwa kutaman raha za wanawake [emoji3]ujue wadau wa upinde ndio wanaanza hvhv kutaman vtu vdg vdg
Walio like Uzi wako nimeshindwa kuwaelewa.Ebu imajini wewe ni mwanamke afu una kazi Yako lakini umeolewa unaletewa kila kitu na mme wako, unalishwa, unavishwa, unadekezwa yani raha tupu.
Kwahiyo hapa sasa nimejikita kwenye faida za kuwa mwanamke kiuchumi, fursaaa sio mengine. Yani hapa nilipo napambana kutafuta chakula changu na cha mpenzi wangu ebu ona hii michosho yani hadi keroo, nakereka vibaya mnoo
Why wanawake wanafaidi kiasi hiki jamani [emoji848]
😆😆😆 We ni pungaKumbe ulikuwa hujui, pole yako!
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kwa tuliokuwa tunamfuatilia Mpwayungu hii ni mara ya pili anatamani kuwa mwanamke.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Atujibu mapm ili tujue tupo nae uumeni au katuleft na kwenye orodha yetu tumfutehii hali umeanza kuipata lini
Naongea faida za mwanamke kiuchumiMwanaume rijali unawezaje kutamani kuwa mwanamke, inafikirisha sn 😳
[emoji3059][emoji3059][emoji3059]Halafu mbona kama vile watu wanakuwa hawaamini kama Mpwayungu anahusudu shoga wakati yeye mwenyewe analeta post za kishoga shoga? Kwani kuna mtu anamfahamu Mpwayungu uso kwa uso kwamba siyo shoga?
Angekuwa jamaa tu mwingine ameleta hii mada, moja kwa moja angejumuishwa kwamba ni shoga lakini kwa Mpwayungu watu wanasita. Hakika pini za walimu zimemjenga Mpwayungu iwe ngumu kuhitimisha kuwa yeye ni shoga hata kama analeta post za kishoga.
Ni mara ya pili Mpwayungu anatamani kuwa mwanamke lakini watu wanasita kuhisi yeye ni shoga!
Na unatamani kua nazo kama za mama yangu??Mimi ninazo kama zako
Ata hapa bado ajashindwa si anaomba visa tu anaendaUngekuwa ulaya ungetimiza ndoto zako maana fasta tu ungekuwa unachokitaka
sio shaft tu, ungeshapigwa na matukio kama 20 hivi, halafu tunapita hivi😁Unaweza ukawa mwanamke na usipigwe mashine, ni uamuzi wako tu