Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Kwa comment za Uzi huu nimegundua vitu kadhaa

1. Tatizo la afya ya akili litatuua sana wanaume maana tukieleza changamoto zetu tunaonekana tumelegea, tunataka mteremko, au tunakua mashoga??!;

2. Pia nimegundua wanaume wengi wanawachukulia wanawake kama chombo Cha starehe tu. Yaani 90% ya comment zinasema hawatamani kuzaliwa wanawake sababu tu wangekua wanatumika kitandani??.

Nadhani ifike mahala mtu akiwa na stress za jambo Fulani ajibiwe kama inavyopaswa sio kusema ni shoga au ana shida ya akili n.k kwa style hii wengi watakufa na tai shingoni kwa hofu ya kuonekana hawajikazi wakipitia shida!!

Cc Proved Kalamu
Unazipitia Kuna watu wa karibu unawaeleza ukizidiwa unaweka mtandaoni hapa hata kibarua Cha kupasua mawe mwanaume ule.
Sasa jamaa anaonea wivu ke,so angewekwq Kama migiro ili bata
 
Nenda wewe na demu wako Kariakoo mkaibe simu, halafu utajua kwann wewe uchomwe Moto ila demu wako anapelekwa polisi
Because you've muscles you can pull the cart with like horse power nigger while pussy hasn't no any muscles that's we become angry to kill you
 
Hivi baba yako mzazi angeweza kusoma huu upupu ulioandika hapa unadhani angejisikiaje we nguchiro?
Lile yai lake bora angekaangia chips
JamiiForums-1249404281.gif
 
MKUU

Nimecheka KWA nguvu Sana Hadi mwanangu kastuka!!
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]

MAVILAZAAZZ na MAMBURULAZZZ yamekita kambi mitandaonii yakipeana SAFE REFUGE and COMFORT.

HAYA MATAKATAKA hayawezi kuelewa hizi vitu ndio maana serikali inapata nguvu ya kufanya lolote KIMSEREREKO.

NCHI IMEJAA MANYUMBU TUPU.
 
Mumewekeza kwenye ngono tu, ko faida ya mwanaume au mwanamke ni kwenye ngono tu
Maisha Ni ngono ,kwani aliposema tuzaliane yeye alikuwa mjinga,sikia unajenga ili uishi na ke ,mzae matunda yenu ya ngono ili Yale,yaishi,yasome,yavae vizuri,yasafiri vizuri na mkatembee mambele yote Ni outcome ya ngono kwani unadhani Kuna Nini hapa duniani zaidi ya ngono na cheki ngono inapendwa hata kuliko pesa. Mana mwanaume unatoa hela ili upate ngono so ngono ndio Ina value kubwa kuliko hela zako.
 
Hiyo ndo mbaya, ushindwe Kwa jina la Yesu shetani mwanaibilisi wewe unaewaza ngono za kimasikhara tu zenye uzinifu, ulaaniweee
Mbona makasiriko wakati uanamke umeutamani mwenyew sema mpaka hapo hujachelewa maana kuna wenzio kama wew walitamani hicho unachokitamani na mpaka sasa wanapambaniwa na wamarekani
 
We unafikiri hatujaelewa lengo la thread ila sasa bila huu mjadala unafikiri thread ingetembea
Jamii forum kuna vichwa vingi ila inahitaji akili kuvitambua
 
Kwa comment za Uzi huu nimegundua vitu kadhaa

1. Tatizo la afya ya akili litatuua sana wanaume maana tukieleza changamoto zetu tunaonekana tumelegea, tunataka mteremko, au tunakua mashoga??!;

2. Pia nimegundua wanaume wengi wanawachukulia wanawake kama chombo Cha starehe tu. Yaani 90% ya comment zinasema hawatamani kuzaliwa wanawake sababu tu wangekua wanatumika kitandani??.

Nadhani ifike mahala mtu akiwa na stress za jambo Fulani ajibiwe kama inavyopaswa sio kusema ni shoga au ana shida ya akili n.k kwa style hii wengi watakufa na tai shingoni kwa hofu ya kuonekana hawajikazi wakipitia shida!!

Cc Proved Kalamu
Mkuu 'zitto junior', ninajua maana yako ya kuniita kwenye mada hii.

Niseme wazi kwamba kumbe katika kujibishana kwetu kwa muda mrefu hapa JF bado kabisa hunielewi ninaposimamia na kukiamini.

Kama mtu anauwezo na anaonyesha uwezo wake huo katika anayoyafanya haijalishi jinsia yake ni ipi, au kundi lake katika jamii ni lipi.

Ni hayo tu ninayoweza kueleza, nikitumaini umeelewa vizuri.
 
Back
Top Bottom