one b
JF-Expert Member
- Jun 30, 2017
- 1,483
- 3,727
Nilijua tu utawacheka...😂😂😂Acha basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua tu utawacheka...😂😂😂Acha basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekudharau pia na sitakuheshimu tenaNakuheshimu sana ila nimekudharau
PoteleambaliNimekudharau pia na sitakuheshimu tena
Potelea potePoteleambali
I get your point and that's why Feminism was supposed kupunguza iyo burden kwa wanaume kila kitu wao but kinachonikera ni unafki wa many women who earn their money but bado kila kitu wafanyiwe na wanaume. Wanaume mkatae huu ufala 100% it's ok kusaidiana kw shida and iwe vice versa Km she feels entitled kila kitu Achana naye kuwa mkali. Hii tabia inawaharibia savings many men kulea limtu limekaa tu kheri kahaba kabisa anayejiuza u know u pay u JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala kuliko such women waliolelewa kw privilege, maisha mazuri, wamesoma Shule expensive wanalipwa vzuri bado yanataka yahudumiwe kila kitu; for such stupid women wasipopelekwa shule utakosea au kuwanyima urithi coz yanategemea wanaume tu? Siyapendi haya mawanawake kwa kweli na midume zoba inayowadekeza. Trade for Trade. Men kataeni huu uhuni.
Dah mkuu shukran sana chukua Pepsi Kwa mangiIfike hatua watu wajibu hoja waache kuattack mtu mbona wabongo hawajifunzi.
Yaaanii wote mnawaza ngono tuuuu [emoji28][emoji28]We unaenda kuwa Sholi ni suala la Muda tu
Hii comment dogo mpwayungu village imekumaliza vizuri sanaNani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini
Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
😂😂😂Kashaolewa huyuuuu[emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sio hedhi tu yapo mengi mnoo hajui tuTayari tayari tayari ameyakanyaga madude ungemwambia maumivu ya kwenda mwezini yalivyo mithili ya kubana Kendra zake siku 3 mfululizo angebadiri uelekeo
tatizo mpaka tumwambie ndo aeleweHii comment dogo mpwayungu village imekumaliza vizuri sana
Roho za ushoga zinaanza hivi hivi mtu anaanza kutamani kuwa mwanamke, kemea hiyo roho.Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
...Hujambo Binti ? [emoji846][emoji846]...
MAMBURULAAZIfike hatua watu wajibu hoja waache kuattack mtu mbona wabongo hawajifunzi.
Binti which [emoji851]...Hujambo Binti ? [emoji846][emoji846]...