Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Hivi utawezaje kuwasema waalimu tena.


Ushajichanganya pakubwa, kila ukisema kitu watu wanapiga spana.
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Muanzisha uzi anatoa hoja za kiuchumi, wanaojibu wote wako kwenye ngono. Tz ngumu sana!
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]

We jamaa akili zako leo ziko sawa kweli?
 
Kuna jamaa m'moja alikuwa na mawazo ya kipopoma kama yako akawa anamlaumu sana MUNGU na na kuonyesha majuto ya kuwa mwanaume katika maisha yake. Akalalamika kuwa mkewe ni House wife tu na hakuna la maana anafanya zaidi ya kupika na kukaa na watoto tu nyumbani.

Siku moja MUNGU akasikia maombi yake. Alipolala akaamka akiwa mke na mkewe akawa mume. Yaani wakabadilishana jinsia.

Jamaa alipoamka akastaajabu sana lakini akaona alichokitaka ndio kimetimia so hakuwa na namna ila kukubaliana na hali.

So picha linaanza akaanza majukumu ya mke. Akaanza kuamka alfajiri sana kuandaa watoto kwaajiri ya shule na baadae kumuandalia mumewe kwaajiri ya kazini. Then akatakiwa kuanza purukushani za sokoni baada ya familia kuondoka.

Akatakiwa kuanza kukimbizana na ratiba za usafi wa ndani na jikoni, kufua nguo,kusafisha mazingira na kadhalika, manunuzi ya sokoni ni kuandaa chakula cha mchana kwaajiri ya watoto wakirejea toka shule plus cha jioni kwajiri ya familia nzima.

Na bado alipomaliza yote hayo mumewe akawa anataka mzigo. Na MUNGU ili kumuonyesha akampatia nguvu na tamaa kali sana huyu mwanaume akawa anataka gemu kila siku asubuhi na usiku tena round zaidi ya moja.

Baada ya siku kadhaa, akaanza sasa kuona kero kuwa mwanamke na kutamani kurudi hali yake ya kuwa mwanaume. Akamrejea MUNGU kwa sala na maombi akikiri kuwa kuwa mke ni jukumu zito sana ila linataka mtu kukubali kuwa mwanamke ndipo uliweze.

Jamaa aliomba sana bila kukata tamaa na alilia sana usiku na mchana akiomba kurejeshwa kwenye mwili wake kama awali.

Siku moja, malaika akamtokea katika ndoto na kumwambia, kazi ya MUNGU bado haijaisha kuna jambo bado haujapitia kama mwanamke, jamaa akaamka asubuhi akiwa anajisikia hovyo sana na kutapika sana. Hakuweza kufanya kazi yoyote siku hiyo hadi jioni mume wake aliporejea na kumkuta hivyo wakaenda hospital. Walipofika vipimo vikaonyesha ana ujauzito wa wiki kadhaa. Mumewe alifurahi sana. Jamaa akawa anawazia sasa itakuwaje swala la kubeba mimba hadi kujifungua. Story ikaishia hapo so jamaa anatakiwa kujifungua kwanza ndipo arejee kuwa mwanaume tena kama awali.

So story yetu inatufunza kuwa MUNGU ana kusudio lake kukuumba namna fulani. Kama amekuumba katika hali ya ufukara hebu jaribu kuridhia kuishi huko huku ukitafuta namna za kutoka kwa kumuomba yeye ila usianze kulaani na kulaumu kwann wewe uzaliwe mazingira hayo.

Sasa mleta uzi naona wewe unamlaumu MUNGU kwann amekuumba katika jinsia ya uanaume na unahisi alikosea kukuleta katika hiyo hali. Hilo ni kosa kubwa sana kwa binadamu kufanya.

Inawezekana kuna mambo mengi wewe kama mwanaume haujayafanya ambayo yatakufanya ufurahie maisha. Kuna fursa ambazo sisi wanaume tunazo ambazo wanawake hawawezi kuzisogelea. Kuna kazi mwanamke hata awezeshwe katu hawezi fanya.

Focus ya mwanamke katika kazi na biashara ni ya muda mfupi sana ndio maana hata biashara zao zikianza kuchanganya utaona wanaanza kuloose focus ya kumanage unless apate back ya kiume kusimamia.

So kuna advantages nyingi sana za kuwa mwanaume umezioverlook sababu unataka kupewa, kusaidiwa, kushikwa mkono, kubebwa, na kuwezeshwa kama mwanamke.
 
Kuna jamaa m'moja alikuwa na mawazo ya kipopoma kama yako akawa anamlaumu sana MUNGU na na kuonyesha majuto ya kuwa mwanaume katika maisha yake. Akalalamika kuwa mkewe ni House wife tu na hakuna la maana anafanya zaidi ya kupika na kukaa na watoto tu nyumbani.

Siku moja MUNGU akasikia maombi yake. Alipolala akaamka akiwa mke na mkewe akawa mume. Yaani wakabadilishana jinsia.

Jamaa alipoamka akastaajabu sana lakini akaona alichokitaka ndio kimetimia so hakuwa na namna ila kukubaliana na hali.

So picha linaanza akaanza majukumu ya mke. Akaanza kuamka alfajiri sana kuandaa watoto kwaajiri ya shule na baadae kumuandalia mumewe kwaajiri ya kazini. Then akatakiwa kuanza purukushani za sokoni baada ya familia kuondoka.

Akatakiwa kuanza kukimbizana na ratiba za usafi wa ndani na jikoni, kufua nguo,kusafisha mazingira na kadhalika, manunuzi ya sokoni ni kuandaa chakula cha mchana kwaajiri ya watoto wakirejea toka shule plus cha jioni kwajiri ya familia nzima.

Na bado alipomaliza yote hayo mumewe akawa anataka mzigo. Na MUNGU ili kumuonyesha akampatia nguvu na tamaa kali sana huyu mwanaume akawa anataka gemu kila siku asubuhi na usiku tena round zaidi ya moja.

Baada ya siku kadhaa, akaanza sasa kuona kero kuwa mwanamke na kutamani kurudi hali yake ya kuwa mwanaume. Akamrejea MUNGU kwa sala na maombi akikiri kuwa kuwa mke ni jukumu zito sana ila linataka mtu kukubali kuwa mwanamke ndipo uliweze.

Jamaa aliomba sana bila kukata tamaa na alilia sana usiku na mchana akiomba kurejeshwa kwenye mwili wake kama awali.

Siku moja, malaika akamtokea katika ndoto na kumwambia, kazi ya MUNGU bado haijaisha kuna jambo bado haujapitia kama mwanamke, jamaa akaamka asubuhi akiwa anajisikia hovyo sana na kutapika sana. Hakuweza kufanya kazi yoyote siku hiyo hadi jioni mume wake aliporejea na kumkuta hivyo wakaenda hospital. Walipofika vipimo vikaonyesha ana ujauzito wa wiki kadhaa. Mumewe alifurahi sana. Jamaa akawa anawazia sasa itakuwaje swala la kubeba mimba hadi kujifungua. Story ikaishia hapo so jamaa anatakiwa kujifungua kwanza ndipo arejee kuwa mwanaume tena kama awali.

So story yetu inatufunza kuwa MUNGU ana kusudio lake kukuumba namna fulani. Kama amekuumba katika hali ya ufukara hebu jaribu kuridhia kuishi huko huku ukitafuta namna za kutoka kwa kumuomba yeye ila usianze kulaani na kulaumu kwann wewe uzaliwe mazingira hayo.

Sasa mleta uzi naona wewe unamlaumu MUNGU kwann amekuumba katika jinsia ya uanaume na unahisi alikosea kukuleta katika hiyo hali. Hilo ni kosa kubwa sana kwa binadamu kufanya.

Inawezekana kuna mambo mengi wewe kama mwanaume haujayafanya ambayo yatakufanya ufurahie maisha. Kuna fursa ambazo sisi wanaume tunazo ambazo wanawake hawawezi kuzisogelea. Kuna kazi mwanamke hata awezeshwe katu hawezi fanya.

Focus ya mwanamke katika kazi na biashara ni ya muda mfupi sana ndio maana hata biashara zao zikianza kuchanganya utaona wanaanza kuloose focus ya kumanage unless apate back ya kiume kusimamia.

So kuna advantages nyingi sana za kuwa mwanaume umezioverlook sababu unataka kupewa, kusaidiwa, kushikwa mkono, kubebwa, na kuwezeshwa kama mwanamke.

[emoji23][emoji23]
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Kaleft
 
Mada kama hii iñafikirisha sana..kutamani kuwamwanamke ..maana yake unatamañi na majukumu yake kijinsi...😐😐😐😐
 
Back
Top Bottom