Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Umeona wanawake wanafaidi? wenzako wanasuguliwa mashavu
IMG_20230730_211436.jpg
 
🤣😂 sasa hivi watu wamejaa inbox kwa Mpwayungu wanamuomba tigo... Biashara matangazo...
ila ni aibu sana tena aibu ya mwaka kizazi na kizazi huwa nasikia wanawake wakitamani kuwa mwanaume ila sio mwanaume...
Kwa hiyo wanaume wengi sana humu JF wanapenda tigo? Sasa hawa wanaomlaani hivi ni kina nani?
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
wewe lazma utakuwa chakla!!!!!!!!!!!!!!
 
Ebu imajini wewe ni mwanamke afu una kazi Yako lakini umeolewa unaletewa kila kitu na mme wako, unalishwa, unavishwa, unadekezwa yani raha tupu.

Kwahiyo hapa sasa nimejikita kwenye faida za kuwa mwanamke kiuchumi, fursaaa sio mengine. Yani hapa nilipo napambana kutafuta chakula changu na cha mpenzi wangu ebu ona hii michosho yani hadi keroo, nakereka vibaya mnoo

Why wanawake wanafaidi kiasi hiki jamani [emoji848]
 
Mkuu unawaonea wivu wanawake.

Unafanya mchezo na leba, kwenda kujiosha shahawa bada ya kugongwa, kunyonyesha, kubeba ujauzito miezi9, ada ya mwezi nk(wanawake wanachangamoto nyingi sana ni watu wakuwaheshimu na kuwatunza si kutamani kuwa wao)

Jitathmini upya wanaume tuna nafasi kubwa kuendelea ukijitambua pia unaweza kuwawezesha mabinti hata watatu ndani
 
Mtoto wa kiume kuanza kuwaza jinsi dada yako anavyopata favour kwa kigezo cha jinsia yake hizo ni dalili mbaya sana, siyo dalili nzuri at all.

Mleta mada nakushauri kama uwezekano upo ikiwa huwa unapata wasaa wa kukaa na wanaume wenzako mka-share kununua kitu eg pombe sitisha haraka sana ipo siku itafika iwe zamu yako kulipa ujilengeshe jamaa wafanye kweli.
 
Back
Top Bottom