Najuta naombeni ushauri wenu, msinihukumu hali ni mbaya

Mh! kazi ipo despite the fact that it's new fashion in town...
 
Uchafu tuu sehem nzuri zipoo mnakimbilia Tundu jingine.
 
Stori za kutunga kuhamasisha Ushoga.

Tushawajua nyie wajinga badala.mfanye kazi mnalipwa na hap mabwabwa kusambaza fikra zenu mfu.
 
Hakuna mwalimu mzuri kama wakati wa tabu na mateso. Weka utaratibu wa kwenda hospitalini kuwatembelea wagonjwa hasa wenye maradhi ya zinaa utajifunza kitu.
 
Iko siku utanogewa zaidi utaona bora ujaribu kuingiliwa wewe mwenyewe!
 
Mkuu hapo sioni haja ya wewe kuteseka ili ubadilishe tabia hizo, kama unataka kuoa cha kufanya oa hao hao unaoenda nao mtaroni ili muendeleze uzao wenu huko huko nyuma.

Kama ni huyo mcha mungu nae mbembeleze atakutunuku pia huko nyuma uendeleze.
Sioni haja ya wewe kujihangaisha kubadilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…