Najuta naombeni ushauri wenu, msinihukumu hali ni mbaya

Huyo mcha Mungu wako kaishia darasa la ngapi? Halafu inaonekana na yeye anapenda hiyo michezo ukisoma vizuri message yake. Ninadhani utapata wa kufanana nawe. Hicho unachokifanya hata kwa sheria za nchi ni kosa linalokupeleka jela endapo jamhuri itapata ushahidi.
 
Ni suala la muda tu, na wewe utageuzwa
 
Nataka nokusaidie rafiki, usijali kabisa
 
Donut, Nukta, Kiburushuti, kiboga, Ndogo...

Whatever you can call it.. you're addicted. Soon tu huyo mlokole nae utamlipua, hizo maquestion anauliza

Umeshakuwa Teja, Bado tu kutembea na Ganda la kibiriti lenye Nnya ndani
Unajua majina yotee
 
Oa lakini uwe na mtu anaekupa hivyo. Ninafahamu wengi wametumia hiyo approach kuliko kujidanganya utaacha.

Wengne wamebahatika kukutana na wake wenye hiyo fani wanaendelea na kwenye ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…