Najuta zaidi ya Tsh. 500m nimezika katika majengo, mtaji wa kufanyia biashara umepungua pakubwa sana

Najuta zaidi ya Tsh. 500m nimezika katika majengo, mtaji wa kufanyia biashara umepungua pakubwa sana

Tupo watu tumepoteza kabisa pesa kwenye biashara fulani. Lakini wewe umewekeza kwenye kitu kipo kinachoonekana kipo.
.
Wakija watu kukufanyia valuation ya utajiri wako. Hata hiyo milioni 500 itaonekana ni sehemu ya utajiri wako. Kwa hiyo wewe huna cha kujutia hata kidogo,ksbb hata ukiamua kuuza tu baadhi ya majengo yako,tayari ni hela.

Kilichokuumiza wewe hapo ksbb ya kuzoea biashara unayoifanya na imejitokeza biashara nyingine kubwa ya hiyo inayotaka mtaji mkubwa.

Cha kufanya either uvumilie kuendelea na biashara unayoifanya sasa ili kuendelea kukuza mtaji na utakua. Au hizo dhamana za majengo nenda kakopee bank mojawapo ya majengo yako ili uifanye biashara hiyo kubwa
 
Yauze, kama una majengo yenye thaman ya 500m, huwezi kosa 350m urekebishe makosa yako.

Kwa mfanya biashara aliyepata pesa kwenye biashara, hawezi kuacha kuheshimu mtaji wa biashara.

Hii kama si chai ni bahati, nitakupa mfano:

1. Kama hiyo 500m imetoka kwenye biashara, then mtaji wako lazima uwe over 1.5bn.

2. Kama hiyo hela ya mtaji umetumia kwenye majengo, biashara ambayo imekupa pesa yote, unatakiwa u kafanye ct scan.

3. Mfanya biashara, mwenye ile akili ya kutengeneza hiyo pesa, hawezi kutokujua kwamba majengo (unless yako kwenye very prime area) hayana faida,

Hence:

Hii ni ya Tangawizi na cocoa, chai ya kibabe.
Mkuu acha kukariri..nimekuabia sehemu ya faida kwa biashara nimeanza tangu 2009 Sasa miaka yote 500 kwanin isifike...
 
Yauze, kama una majengo yenye thaman ya 500m, huwezi kosa 350m urekebishe makosa yako.

Kwa mfanya biashara aliyepata pesa kwenye biashara, hawezi kuacha kuheshimu mtaji wa biashara.

Hii kama si chai ni bahati, nitakupa mfano:

1. Kama hiyo 500m imetoka kwenye biashara, then mtaji wako lazima uwe over 1.5bn.

2. Kama hiyo hela ya mtaji umetumia kwenye majengo, biashara ambayo imekupa pesa yote, unatakiwa u kafanye ct scan.

3. Mfanya biashara, mwenye ile akili ya kutengeneza hiyo pesa, hawezi kutokujua kwamba majengo (unless yako kwenye very prime area) hayana faida,

Hence:

Hii ni ya Tangawizi na cocoa, chai ya kibabe.
Sio lazima uwe over 1.5b..nakupa tu mfano mdogo Kuna mtu nafahamiana nae ni agent wa coca sirali uko anachukua gari moja ya soda zatake away inamcost almost 40m akishusha mzigo mda huo huo unafaulishwa ktk magari madogo madogo wateja wakutoka nchi za jirani gari lote linaisha mda huo huo na gar moja inamuachia faida 2m nakwamwezi ananunua gar4 Sasa huyo vip hapo ana hiyo b uisemayo...nahapo nisehemu ya product moja
 
Sio lazima uwe over 1.5b..nakupa tu mfano mdogo Kuna mtu nafahamiana nae ni agent wa coca sirali uko anachukua gari moja ya soda zatake away inamcost almost 40m akishusha mzigo mda huo huo unafaulishwa ktk magari madogo madogo wateja wakutoka nchi za jirani gari lote linaisha mda huo huo na gar moja inamuachia faida 2m nakwamwezi ananunua gar4 Sasa huyo vip hapo ana hiyo b uisemayo...nahapo nisehemu ya product moja


Mtu mwenye hiyo akili ya biashara na mzunguko huo, hawezi chezea pesa kwenye majengo, na kuzizika, najua nachosema
 
Tupo watu tumepoteza kabisa pesa kwenye biashara fulani. Lakini wewe umewekeza kwenye kitu kipo kinachoonekana kipo.
.
Wakija watu kukufanyia valuation ya utajiri wako. Hata hiyo milioni 500 itaonekana ni sehemu ya utajiri wako. Kwa hiyo wewe huna cha kujutia hata kidogo,ksbb hata ukiamua kuuza tu baadhi ya majengo yako,tayari ni hela.

Kilichokuumiza wewe hapo ksbb ya kuzoea biashara unayoifanya na imejitokeza biashara nyingine kubwa ya hiyo inayotaka mtaji mkubwa.

Cha kufanya either uvumilie kuendelea na biashara unayoifanya sasa ili kuendelea kukuza mtaji na utakua. Au hizo dhamana za majengo nenda kakopee bank mojawapo ya majengo yako ili uifanye biashara hiyo kubwa
Mkuu bank sidhani kama ntasubutu maana nishapata detail zaid kwa mtu wabank nilitaka nijaribu kukopa 100m kwa mwaka mmoja.... aisee nkaambiwa ntarejesha jumla 118m Sasa piga hesa maana yake Kila mwezi natakiwa kurejesha 9,833,333=,tafsiri yake nikwamba niwe nauwezo wakuingiza faida ya zaid ya 14m ili niweze kurejesha 9.8m nanibakiwe na faida ambayo ndio itakua kama mtaji amabao nimeupata kutokana nahuo mkopo....
Sasa jiulize swali nibiashara Gani itakayo kuingizia faida consistency 14m Kila mwezi kwa mwaka mzima..
 
Mkuu bank sidhani kama ntasubutu maana nishapata detail zaid kwa mtu wabank nilitaka nijaribu kukopa 100m kwa mwaka mmoja.... aisee nkaambiwa ntarejesha jumla 118m Sasa piga hesa maana yake Kila mwezi natakiwa kurejesha 9,833,333=,tafsiri yake nikwamba niwe nauwezo wakuingiza faida ya zaid ya 14m ili niweze kurejesha 9.8m nanibakiwe na faida ambayo ndio itakua kama mtaji amabao nimeupata kutokana nahuo mkopo....
Sasa jiulize swali nibiashara Gani itakayo kuingizia faida consistency 14m Kila mwezi kwa mwaka mzima..
Wewe mwenyewe umesema umeona fursa za biashara. Sasa kama umeona hizo fursa maana yake ni nzuri za kukuingizia kiwango kizuri kiasi kwamba ukiifanya mpaka mwaka unaisha ukaja kugawana ile faida na bank bado unabakiwa na faida.

Halafu kwa mkopo wa milioni 100 kwa riba ya milioni 18 mbona ndogo tu kawaida sana hiyo. Milioni 100 kwa mwaka lazima itakuingizia faida isiyopungua milioni hata 35 mpaka 30 ukitoa matumizi yote ya mwaka. Sio mbaya ukawapa 18 wewe ukabakiwa na 12 wakati unaendelea ku- buy time.

Hapo hapo kwenye nyumba zako pia kuna kiwango utakuwa umekusanya kwa mwaka,ukichanganya na ile 12 ya bank inaweza kucheza kwenye 20 faida kwa mwaka. Sio mbaya.

Hapo utakopa tena 80 au 100 ile ile.
Muda mwingine ukiona urejeshaji kwa mwezi kwa mwaka mmoja utakuwa mtihani,unaweza kujihami rejesha kwa miaka miwili,japo riba itapanda kidogo.

Nyongeza hiyo milioni 100 ukiipeleka kwenye kukusanya mahindi na maharage na alizeti mbozi au mpunga kyela mwezi wa mavuno. Ukahifadhi mpaka miezi kuanzia wa pili,wa tatu unatoa inaweza kukuzalishia 50 mpya hapo. Lakini kwenye kununua lazima uingie na wewe front.
 
Ukipata fedha za miradi ni vizuri uwaone wataalam wa miradi ili wakushauri kwa ada ndogo sana.

Ukijisikiliza mwenyewe linaweza kuwa tatizo.
 
Mkuu kwa saa hizi nikiuza hayo majengo ntakua kama napata hasara tu maana Yako sehemu potentia sana kwa baadae baada ya miaka10 pesa yake nindefu mno nkisema nipauze
Kwanini uuze, chukua mkopo. Ila jiwekee ukomo. Sio unajenga tu.
 
Habar wakuu nawashauri msifanye makosa kama niliyofanya..ukipata pesa wekeza ktk biashara nasimajengo...fursa nyingi zimenipita kutokana na namtaji kuwa mdogo sababu ya sehemu kubwa ya faida nilipokua naipata haikurudi kuwekeza katika biashara zaid..
Matokeo yake wakat fursa naziona Sasa mtaji hautoshi bidhaa zingine nashindwa kuzinunua sabubu mtaji hautoshi sababu sehemu yafaida haikurudi ktk biashara zaid yakwenda kwenye maujenz ambayo hayaniingizii pesa yamaana tofauti na ambayo hizo pesa zingekua katika biashara
Pole!

Hiyo situation naijua niliwahi kuipitia lakini sio kwa kiwango Cha Hela zako!!

Hukukosea,ulifanya kwa msukumo was ndani (the gut)matunda utayaona in the long run kwa muda mrefu!!

Sijajua aina ya majengo uliyojenga!no lodge,frem za biashara,nyumba za kupangaw!!?

Kinachozingua ni nyumba za kupanga lakini frem na lodge hutegemea location!!kama location imebamba frem utazipenda mwenyewe,pia logde hivyo hivyo!!

Biashara ni upepo TU!hauna matokeo ya kudumu Sana!faida kubwa nje nje na hasara kubwa hivo ivo!!

Jipe muda halafu kama ni biashara Anza na mtaji mdogo huo huo unaoudharau!!
 
Majengo hayo nenda bank weka dhamana
Screenshot_20230430-121532.png
 
Back
Top Bottom