Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa hivo hivo mtu wa daslamu....Acha uongo Fala wewe. Tusifanyane watoto hapa.
Sasa unacholalamika ni nini mkuu?Mkuu kwa saa hizi nikiuza hayo majengo nitakua kama napata hasara tu maana Yako sehemu potential sana kwa baadae, baada ya miaka 10 pesa yake ni ndefu mno nikisema nipauze.
Hawa ndio wale wanaopata B wanaanza lalamika kwa wenzao waliopata D.Sasa unacholalamika ni nini mkuu?
Kunywa soda nitalipa jenga tu biashara hufaKujenga ni addictive sana, unaweza jengea mtaji usipokuwa makini ila it worth it, biashara unazoziona leo 25yr later unaweza usizikute ila nyumba unazoziona leo 25yrs zitakuwepo vilevile.
Weka maelezo yakutosha hapa, ili tujue wapi ulikose upewe namna yakutatua kuliko kuja na malalamikoHabari wakuu, nawashauri msifanye makosa kama niliyofanya, ukipata pesa wekeza katika biashara na si majengo. Fursa nyingi zimenipita kutokana na mtaji kuwa mdogo sababu ya sehemu kubwa ya faida nilipokuwa naipata haikurudi kuwekeza katika biashara zaidi.
Matokeo yake wakati fursa naziona Sasa mtaji hautoshi bidhaa zingine nashindwa kuzinunua sababu mtaji hautoshi, sehemu ya faida haikurudi ktk biashara zaidi ya kwenda kwenye maujenzi ambayo hayaniingizii pesa ya maana tofauti na ambayo hizo pesa zingekuwa katika biashara.
Mwizi tu au hela ya kutakatisha hiyo.Hiyo 500M uliipata kwa kudunduliza au ulipata kwa mkupuo?
Akili za kimaskni hizi..sasa umekuja kuinjoi watu humu au nini...Mkuu riba imekatazwa ktk vitabu vya dini zote
Hii itakua chai ya TATEPA...Yauze, kama una majengo yenye thaman ya 500m, huwezi kosa 350m urekebishe makosa yako.
Kwa mfanya biashara aliyepata pesa kwenye biashara, hawezi kuacha kuheshimu mtaji wa biashara.
Hii kama si chai ni bahati, nitakupa mfano:
1. Kama hiyo 500m imetoka kwenye biashara, then mtaji wako lazima uwe over 1.5bn.
2. Kama hiyo hela ya mtaji umetumia kwenye majengo, biashara ambayo imekupa pesa yote, unatakiwa u kafanye ct scan.
3. Mfanya biashara, mwenye ile akili ya kutengeneza hiyo pesa, hawezi kutokujua kwamba majengo (unless yako kwenye very prime area) hayana faida,
Hence:
Hii ni ya Tangawizi na cocoa, chai ya kibabe.
4.Mfanyabiashara ambaye aliweza kugenerate profit ya 500m hawezi kukosa mbinu ya kuukuza mtaji na kutengeneza profit ya 500m nyingine japo muda wa kuitengeneza utaongezeka.Yauze, kama una majengo yenye thaman ya 500m, huwezi kosa 350m urekebishe makosa yako.
Kwa mfanya biashara aliyepata pesa kwenye biashara, hawezi kuacha kuheshimu mtaji wa biashara.
Hii kama si chai ni bahati, nitakupa mfano:
1. Kama hiyo 500m imetoka kwenye biashara, then mtaji wako lazima uwe over 1.5bn.
2. Kama hiyo hela ya mtaji umetumia kwenye majengo, biashara ambayo imekupa pesa yote, unatakiwa u kafanye ct scan.
3. Mfanya biashara, mwenye ile akili ya kutengeneza hiyo pesa, hawezi kutokujua kwamba majengo (unless yako kwenye very prime area) hayana faida,
Hence:
Hii ni ya Tangawizi na cocoa, chai ya kibabe.
😀😀😀😀😀😀😀mwisho wa siku unajikuta umeumiza kichwa chako bureTatizo la jf unaweza kuwa unaemshauri mtu hii mipango mikubwa kumbe mwenzio yuko kwenye foleni kwa mama ntilie anasubiri dona lake la buku jero na dgaa kaamua kuchangamsha jukwaa
Habari wakuu, nawashauri msifanye makosa kama niliyofanya, ukipata pesa wekeza katika biashara na si majengo. Fursa nyingi zimenipita kutokana na mtaji kuwa mdogo sababu ya sehemu kubwa ya faida nilipokuwa naipata haikurudi kuwekeza katika biashara zaidi.
Matokeo yake wakati fursa naziona Sasa mtaji hautoshi bidhaa zingine nashindwa kuzinunua sababu mtaji hautoshi, sehemu ya faida haikurudi ktk biashara zaidi ya kwenda kwenye maujenzi ambayo hayaniingizii pesa ya maana tofauti na ambayo hizo pesa zingekuwa katika biashara.
Sio dini zote... Labda uislamMkuu riba imekatazwa ktk vitabu vya dini zote
[emoji23]Sema wewe mwamba thread zako nyingi unatupiga sana sound
Weka picha ya mjengo wa 500m ulizozizika hapo.Habari wakuu, nawashauri msifanye makosa kama niliyofanya, ukipata pesa wekeza katika biashara na si majengo. Fursa nyingi zimenipita kutokana na mtaji kuwa mdogo sababu ya sehemu kubwa ya faida nilipokuwa naipata haikurudi kuwekeza katika biashara zaidi.
Matokeo yake wakati fursa naziona Sasa mtaji hautoshi bidhaa zingine nashindwa kuzinunua sababu mtaji hautoshi, sehemu ya faida haikurudi ktk biashara zaidi ya kwenda kwenye maujenzi ambayo hayaniingizii pesa ya maana tofauti na ambayo hizo pesa zingekuwa katika biashara.
Ni kweli Mkuu..hata Serikali ilianzisha biashara pamoja na makampuni lakini mengi yamejifia..ila shirika la nyumba bado lipoKujenga ni addictive sana, unaweza jengea mtaji usipokuwa makini ila it worth it, biashara unazoziona leo 25yr later unaweza usizikute ila nyumba unazoziona leo 25yrs zitakuwepo vilevile.