General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
- Thread starter
- #21
ππππUpwiru πππ€£π€£π€£,, famchezo nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππUpwiru πππ€£π€£π€£,, famchezo nini
Sasa kwnn usingeamua kubaki nayo tu km huwez kuelezea unayopitia,au amekukata vidole ghafla ukashindwa kuendelea kutypeHizi changamoto zina umiza ukiwa ni toomuch invested alafu unagundua kuwa umechochora
Ukaona ujivutie nyumbani kabisa ule bila kipimoπππ€£πππππ
Kiherehere na kukurupuka kwangu leo kunaweza nipa Presha na Msongo wa mawazo na hata kuwa Maskini tena.Huyo kiherehere chake tu ndo kinamponzaπ
Mnamo mwaka X weds nakumbuka nilibahatika kukutana na huyu bint uso kwa uso katika Phase flan katika kutafuta maisha.
Tulipoteana tena kama baada ya mwaka mmoja bila kutongozana kuzoeana wala bila kuongea neno lolote.
Dada huyu alikuwa mzuri kwa Sura na rangi nzuri.
Maisha kusonga tukiwa tumepoteana niko kwa online Facebook ndipo nikamuona tena akiwa na rangi yake nzuri mcheshi kwenye picha dah.
Kutokana na usingle wangu wakitambo nikamtongoza Facebook bhanaa nika mpa ahadi kuwa lazima nitakuoa.
Mwamba nikapata vijicent vyangu vya mahari nikaenda kwao chap nikavuta chombo ndani.
Yaani bila kukaa kwa uchumba live pasipo hata miezi 3.
Ndugu yenu ninayo pitia kwa sasa heeh.
Nikiorodhesha naweza msimalizie hii thread.
Sasa Age 40+ Sijui dah acha tuone
Yupo humuSasa kwnn usingeamua kubaki nayo tu km huwez kuelezea unayopitia,au amekukata vidole ghafla ukashindwa kuendeleakutypeYu
Mlipotezeana kwa mda gani Kwani ππKiherehere na kukurupuka kwangu leo kunaweza nipa Presha na Msongo wa mawazo na hata kuwa Maskini tena.
Maana Now 8Yrs
Aisee πππYupo humu
Now way to Divorce ndipo fimbo ikoKuanza upya sio ujinga 40+yrs kitu gani mkuu, mfano akifa sasa hivi utafanyaje? Lazima utaanza upya ee usiogope wewe.
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
We acha uboya usilazimishe nyota piga chini mara moja ndoa ni furaha amani na utulivu wa mwoyo vikitoweka ndoa inakua aina maana, hata asinge kua wa fb hao viumbe ndo walivo.Mnamo mwaka X weds nakumbuka nilibahatika kukutana na huyu bint uso kwa uso katika Phase flan katika kutafuta maisha.
Tulipoteana tena kama baada ya mwaka mmoja bila kutongozana kuzoeana wala bila kuongea neno lolote.
Dada huyu alikuwa mzuri kwa Sura na rangi nzuri.
Maisha kusonga tukiwa tumepoteana niko kwa online Facebook ndipo nikamuona tena akiwa na rangi yake nzuri mcheshi kwenye picha dah.
Kutokana na usingle wangu wakitambo nikamtongoza Facebook bhanaa nika mpa ahadi kuwa lazima nitakuoa.
Mwamba nikapata vijicent vyangu vya mahari nikaenda kwao chap nikavuta chombo ndani.
Yaani bila kukaa kwa uchumba live pasipo hata miezi 3.
Ndugu yenu ninayo pitia kwa sasa heeh.
Nikiorodhesha naweza msimalizie hii thread.
Sasa Age 40+ Sijui dah acha tuone
Ndo niko njiani kichukua UsingleWe acha uboya usilazimishe nyota piga chini mara moja ndoa ni furaha amani na utulivu wa mwoyo vikitoweka ndoa inakua aina maana, hata asinge kua wa fb hao viumbe ndo walivo.
We chukua hiyo maana mko humu Mashost mnitengenezee NomaπMlipotezeana kwa mda gani Kwani ππ
tunataka tumkanye atulie kwenye ndoa yake πWe chukua hiyo maana mko humu Mashost mnitengenezee Nomaπ
Too late nowtunataka tumkanye atulie kwenye ndoa yake π
Huwezi kuwa wa kwanza na hutokuwa wa mwisho, ye nani kwani hadi asiachike? Vinginevyo utuambie umeamua kukubaliana na pilipili uloiowa mwenyewe kwa gharama zako yaani kufa kiume.Now way to Divorce ndipo fimbo iko
Mkuu mimi nilikua na ndoa nne zote zilishindikana mimi kipao mbele changu ni amani na utulivu wa mwoyo "divorce is not murder" i don't care jamii inaniona je mwaka hu na oa tena ila sio guarantee kwamba ataka akishindwa kuleta amani na utulivu poa tu.Ndo niko njiani kichukua Usingle
UMetisha mkuuMkuu mimi nilikua na ndoa nne zote zilishindikana mimi kipao mbele changu ni amani na utulivu wa mwoyo "divorce is not murder" i don't care jamii inaniona je mwaka hu na oa tena ila sio guarantee kwamba ataka akishindwa kuleta amani na utulivu poa tu.
Sijakubaliana asee.Huwezi kuwa wa kwanza na hutokuwa wa mwisho, ye nani kwani hadi asiachike? Vinginevyo utuambie umeamua kukubaliana na pilipili uloiowa mwenyewe kwa gharama zako yaani kufa kiume.
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app